Demokrasia haileti maendeleo ila udikteta ndio unaleta maendeleo?

Demokrasia haileti maendeleo ila udikteta ndio unaleta maendeleo?

Nimekuambia Eastern Europe wametawaliwa mpaka 1990, Mbona wameendelea?

Wale waliokataa demokrasia wamebaki maskini mpaka leo.
Soviet Union ilikuwa imeendelea na kuwa taifa kubwa na kuzalisha vita baridi kati yake na marekani
 
Unatafuta visingizio vyote ila ukweli uko pale pale. Kwanini Poland iliyotawaliwa na Warusi mpaka 1990 iwe na maendeleo kuliko sisi tuliopata uhuru 1961?

Kwanini Nchi zile za Yugoslovakia ya zamani ziendelee kuwa nyuma kuliko hata Romania?
Nimetafuta visingizio au nimejibu yale unayo uliza ?
 
Demokrasia ipo. Labda useme hakuna absolute democracy.

Wenzetu wana uhuru wa kumtoa kiongozi kwa kura na kwa kufanya hivyo hupata viongozi wazuri.
Washangilie madikteta watakutenda wewe mpaka wajukuu wako.
wapi nimesema nawashangilia madictator...? huu ni mfumo tumeukuta...!
 
Uielewi Soviet!!! Aliyejenga Vita baridi ni Churchill na tamaa zake kwa kutaka kumzunguka mshirika wake katika kumkabili Adolf wa Ujerumani!!!
Vita baridi imeanza baada ya kutamatika kwa II WW
 
hizo nchi ulizo taja pia there's no democracy when it come usalama wa mataifa yao... kila nchi ina angles ambayo ikiguswa na yeyote ata kama ameifanyia vipi vyema serikali wanamu eliminate as a threat...

democracy ni wimbo mgumu kutekelezeka amini nakwambia...!​
Ishu za usalama hazina demokrasiA
 
Pia lazima tufahamu kati ya democracy na dictatorship kipi kianze. Nchi za magharibi zilianza na udikteta baada ya kupiga hatua katika nyanja za maendeleo na ustaharabu Wakashift kwenda Kwenye democracy.
Africa ni vice versa tumeanza na democracy [emoji1787][emoji1787]
Hakuna democracy kwenye jamii masikini na isiyostaharabika.
Misingi ya German ya Leo ilijengwa na Adolph Hitler.
Nchi gani za Africa zina demokrasia kwa sasa au hata zilianza na demokrasia?
 
Nimekuonyesha acha kuleta story za kutetea wachafuzi wa demokrasia kwa story za vijiwe vya kiccm.
Duuh! Changamoto. hebu soma swali tena halafu rudia kusoma ulicho jibu
 
Back
Top Bottom