Mzee wa Twitter
JF-Expert Member
- Nov 5, 2023
- 1,483
- 2,392
Nyingi sana ila SIO za AFRIKA .NCHI za AFRIKA VIONGOZI wake Demokrasia Wanalazimishwa tu sababu ya MIKOPO na MISAADA wao wanataka sana tena sana UDIKTETA ili wakae MADARAKANI wao na Watoto wao.VIONGOZI wa AFRIKA wakiingia Madarakani wanawaza Kubadili KATIBA ya Kuwafanya MIUNGU WATU Kuunda TUME za UCHAGUZI za KUWATANGAZA wao hata kama Wameshindwa tumejionea ya BONGO mwaka 2020 Mabango yakibandikwa ya MGOMBEA MMOJA utadhani UCHAGUZI wa chama kimoja kumbe kuna UTITIRI wa Vyama.Tumeshuhudia Danadana zikipigwa juu ya Mchakato wa KATIBA MPYA Katiba ya Wananchi na TUME HURU ya UCHAGUZI hiyo ndio Demokrasia ya NCHI za AfrikaNaomba mnisaidie wadau ni nchi gani duniani imepiga hatua za maendeleo ya kiuchumi kwa sababu ya demokrasia ?
Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app