Demokrasia haileti maendeleo ila udikteta ndio unaleta maendeleo?

Demokrasia haileti maendeleo ila udikteta ndio unaleta maendeleo?

Denmark Canada Sweden Finland Norway alimfanyia nani utumwa akawa na maendeleo.
Achana na chuki za panafricanist wameandika chuki nyingi kuliko ukweli halisi
Hakina chuki kwa alichokiandika ni actual facts, ametumia UTUMWA kwani katika nchi alizozitaja UTUMWA ulitumika Sana USA, Canada kwa wastani, India ni Ukoloni walitawaliwa na Uingereza. Na title ya post yake amezungumzia UDIKTETA NA UTUMWA, hizo nchi za SCANDINAVIA na JIRANI ZAO, Hugo kulikuwa na tawala za KIFALME, na hizo tawala ni UDIKTETA kwani amri ni ya mtu mmoja ( ONE MAN RULE )
 
Mimi nilifikiri ungeuliza nchi gani ya kidikteta imeendelea?

Nchi zaidi ya asilimia 90 zilizoendelea ni za kidemokrasia. Dictatorship labda China tu.

Afrika yote sehemu kubwa madikteta tu na huku ombaomba
HIZI NI ZA SASA:: Singapore, UAE, Qatar, Saudi Arabia, China, Taiwan, Vietnam, India, Cambodia, Indonesia,
HIZI NI ZILIZOTANGULIA: Great Britain, France, Italy, Spain, Portugal, Germany, Russia etc Tawala zote za ulaya maendeleo yalianzishwa na tawala za KIFALME .
 
Naomba mnisaidie wadau ni nchi gani duniani imepiga hatua za maendeleo ya kiuchumi kwa sababu ya demokrasia?
Kama ule wa jpm? Aliyekuwa anajua yeyote anayedhani ni threat kwake? Ben saanane, Gwanda nk na kuua watu kwa kuiba hela zao bank na kuwafanya kufa kwa kiharusi kama Nimrodi mkono nk. Sema we hukufikiwa tu. Na wanaomfurahia jpm ni makapuku ambao walikuwa hawana madhara juu ya uongozi wake au furaha yenu ilikuwa vifo vya wanaojituma kutafuta maendeleo. Jpm alichukia kila anayejituma alitaka kila mtu awe maskini ili mumuabudu
 
Democrasia kamwe haijawahi wala haitakuwa rafiki wa maendeleo,kwa mtizamo wangu,democrasia ni uhayawani unao mruhusu hata mpumbavu kufanya upumbavu wake kwa uhuru.hakuna kufanya kazi,kutwa kuchwa mnabishana hakuna kufanya kazi. Nitafutie ni wapi kuna democrasia?kwenye familia hakuna democrasia,makanisani hakuna democrasia,kwenye vyama vya kisiasa hakuna democrasia,hata wewe mwenyewe moyoni mwako huna democrasia.

Democrasia ni mfumo wa shetani.
 
Democrasia kamwe haijawahi wala haitakuwa rafiki wa maendeleo,kwa mtizamo wangu,democrasia ni uhayawani unao mruhusu hata mpumbavu kufanya upumbavu wake kwa uhuru.hakuna kufanya kazi,kutwa kuchwa mnabishana hakuna kufanya kazi. Nitafutie ni wapi kuna democrasia?kwenye familia hakuna democrasia,makanisani hakuna democrasia,kwenye vyama vya kisiasa hakuna democrasia,hata wewe mwenyewe moyoni mwako huna democrasia.

Democrasia ni mfumo wa shetani.
 
HIZI NI ZA SASA:: Singapore, UAE, Qatar, Saudi Arabia, China, Taiwan, Vietnam, India, Cambodia, Indonesia,
HIZI NI ZILIZOTANGULIA: Great Britain, France, Italy, Spain, Portugal, Germany, Russia etc Tawala zote za ulaya maendeleo yalianzishwa na tawala za KIFALME .
Ni sawa na kusema maendeleo yote ya Ulaya yalianzishwa na tawala za Kikristo hivyo Ukristo ndio dini ya maendeleo.
 
India nchi ya kidemokrasia na China isiyo ya kidemokrasia:

Miaka ya 1970 India ilikuwa imeizidi China kiuchumi

Miaka ya 1990 China na India zilikuwa sawa

Lakini sasa China is miles ahead of India. Hawaifikii kwa lolote

20240101_090358.png


INFOGRAPHIC: GDP ya India ya mwaka 2022 ni sawa na aliyokuwa nayo China mwaka 2006. Halafu angalia gap linavyozidi kuwa wide
 
Elimu yangu ndogo kabisa ya historia Japan kamtawala China miaka kibao kajichotea resources za kutosha.
Hizo ni hadithi. Ebu weka hapa thamani ya rasilimali zilizochotwa na Japan nchini China Vs zilizoachwa ambazo zipo mpaka leo?

Na kweli elimu yako ni ndogo sana.

Japan iliwahi kutawala eneo tu dogo la China, na siyo China yote.

US imewahi kutawaliwa na mataifa ya kigeni, lakini leo ni superpower.

Who colonized America?

Britain, France, Spain, and the Netherlands established colonies in North America. Each country had different motivations for colonization and expectations about the potential benefits.

Halafu ufahamu kuanzia leo kuwa natural resources haziifanyi nchi kuwa na maendeleo, japo inaweza kuwa ni ingridient. Utajiri mkubwa upo kichwani.


Wataalam wa Sayansi ya Saikolojia wanasema kuwa udikteta hufubaza akili na kuzuia ubunifu na ugunduzi. Ndiyo maana unaona mataifa kama China, hayagundui chochote. Wanaishia kuiga walivyogundua wenzao. Mifumo ya kidikteta ua Afrika, kuanzia ngazi za familia imefubaza akili ya Mwafrika. Hawezi kugundua wala hata kuiga.
 
Denmark Canada Sweden Finland Norway alimfanyia nani utumwa akawa na maendeleo.
Achana na chuki za panafricanist wameandika chuki nyingi kuliko ukweli halisi
Hizo zote zimeendelea zikiwa zinaongozwa kifalme.
 
Miaka ya 1770 kuendelea nchi za america zilipata uhuru
Marekani na canada zilichagua democracia na angalia zilipo leo
Nchi za america ya kusini zilikumbatia udikteta leo hii ni maskini baada ya miaka 200 ya uhuru
Canada imepata uhuru miaka ya 80, baada yetu. Marekani watu weusi wameruhusiwa kupiga kura miaka ya 1960's. Unasemaje ilikuwa ya kidemokrasia!!?
 
Unatafuta visingizio vyote ila ukweli uko pale pale. Kwanini Poland iliyotawaliwa na Warusi mpaka 1990 iwe na maendeleo kuliko sisi tuliopata uhuru 1961?

Kwanini Nchi zile za Yugoslovakia ya zamani ziendelee kuwa nyuma kuliko hata Romania?
Mkuu hili nalo unauliza wakati ulipaswa tu ujijibu mwenyewe.

Yani nchi iliyotawaliwa ikajengwa viwanda na wakoloni unataka uilinganishe na nchi ambayo ilitawaliwa na kufanywa wakulima wa mashamba ya malighafi???

Hao wameachiwa msingi wa uchumi na waliowatawala usiwalinganishe na sie
 
Hapo kwenye demokrasia pia hawana. Mfano uingereza coz mfalme akisema waziri mkuu huyu simtaki basi hata kama kachaguliwa na wananchi, unaitishwa uchaguzi mwengine au anateuliwa mtu mwengine.
Marekani nako uchaguzi wao ni kichekesho, rais anaweza kushinda hata kama ana kura chache, kama akishinda kura nyingi kwenye majimbo fulani yenye watu weupe wengi au kura za turufu.
Mbona hatujiulizi kwamba hakuna rais atakaetoa maoni kupinga ushoga halafu akaachwa salama! Mfano Uganda, kama wazungu wanataka demokrasia na uhuru wa kujieleza si wamuache?
Umeongea uongo. Ni bora usemi hujui kuliko kujidhalilisha kwa kuandika uongo kabisa.

Mfalme wa UK hana uwezo wa kumkataa kiongozi aliye shinda uchaguzi wa wabunge.
 
Mkuu hili nalo unauliza wakati ulipaswa tu ujijibu mwenyewe.

Yani nchi iliyotawaliwa ikajengwa viwanda na wakoloni unataka uilinganishe na nchi ambayo ilitawaliwa na kufanywa wakulima wa mashamba ya malighafi???

Hao wameachiwa msingi wa uchumi na waliowatawala usiwalinganishe na sie
Na zile nchi zilizotawaliwq na Soviet Union mpaka 1990 na zikaamua kukumbatia udikteta Mbona bado ni maskini sana mpaka Leo? Kwani hizo hazikuachiwq misingi ya viwanda? Mfano Belarus.
 
Democrasia kamwe haijawahi wala haitakuwa rafiki wa maendeleo,kwa mtizamo wangu,democrasia ni uhayawani unao mruhusu hata mpumbavu kufanya upumbavu wake kwa uhuru.hakuna kufanya kazi,kutwa kuchwa mnabishana hakuna kufanya kazi. Nitafutie ni wapi kuna democrasia?kwenye familia hakuna democrasia,makanisani hakuna democrasia,kwenye vyama vya kisiasa hakuna democrasia,hata wewe mwenyewe moyoni mwako huna democrasia.

Democrasia ni mfumo wa shetani.
Demon crasie- uhuru wa kipepo.

Anaiba hadharani na Kila mtu anamwona, naye anajua ameiba, ila anatumia DEMOKRASIA kujilinda kuwa SHERIA ufuatwe, ushahidi upatikane ndipo awe Mwizi.

Sasa Africa tutaweza kufika huko Kweli?

DEMOKRASIA Kwa wasiostaarabika, wasio na Maadili ni kupoteza muda.
 
Back
Top Bottom