Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,683
- 14,060
- Thread starter
-
- #41
Soviet Union ilikuwa imeendelea na kuwa taifa kubwa na kuzalisha vita baridi kati yake na marekaniNimekuambia Eastern Europe wametawaliwa mpaka 1990, Mbona wameendelea?
Wale waliokataa demokrasia wamebaki maskini mpaka leo.
Maendeleo yao yamechagizwa na ukoloni na utumwa. Hii ndiyo demokrasia ?America,Denmak,Ufaransa,Denmark,, ya kusini
Demokrasia ipo. Labda useme hakuna absolute democracy.hakuna democracy duniani kote amini nakwambia...!
Nimetafuta visingizio au nimejibu yale unayo uliza ?Unatafuta visingizio vyote ila ukweli uko pale pale. Kwanini Poland iliyotawaliwa na Warusi mpaka 1990 iwe na maendeleo kuliko sisi tuliopata uhuru 1961?
Kwanini Nchi zile za Yugoslovakia ya zamani ziendelee kuwa nyuma kuliko hata Romania?
Uielewi Soviet!!! Aliyejenga Vita baridi ni Churchill na tamaa zake kwa kutaka kumzunguka mshirika wake katika kumkabili Adolf wa Ujerumani!!!Soviet Union ilikuwa imeendelea na kuwa taifa kubwa na kuzalisha vita baridi kati yake na marekani
wapi nimesema nawashangilia madictator...? huu ni mfumo tumeukuta...!Demokrasia ipo. Labda useme hakuna absolute democracy.
Wenzetu wana uhuru wa kumtoa kiongozi kwa kura na kwa kufanya hivyo hupata viongozi wazuri.
Washangilie madikteta watakutenda wewe mpaka wajukuu wako.
Scandinavia walimtawala nani? Walimuuza nani?Maendeleo yao yamechagizwa na ukoloni na utumwa. Hii ndiyo demokrasia ?
Vita baridi imeanza baada ya kutamatika kwa II WWUielewi Soviet!!! Aliyejenga Vita baridi ni Churchill na tamaa zake kwa kutaka kumzunguka mshirika wake katika kumkabili Adolf wa Ujerumani!!!
Nimejibu kuhusu Marekani na Ufaransa hii nyingine umeandika wewe sasaScandinavia walimtawala nani? Walimuuza nani?
Kama ni hivyo Africa ndio ilipaswa liwe bara lenye maendeleo sana, maana huku demokrasia ni ya kutafuta kwa torch.Naomba mnisaidie wadau ni nchi gani duniani imepiga hatua za maendeleo ya kiuchumi kwa sababu ya demokrasia ?
Jibu lako ni lipiKama ni hivyo Africa ndio ilipaswa liwe bara lenye maendeleo sana, maana huku demokrasia ni ya kutafuta kwa torch.
Ishu za usalama hazina demokrasiAhizo nchi ulizo taja pia there's no democracy when it come usalama wa mataifa yao... kila nchi ina angles ambayo ikiguswa na yeyote ata kama ameifanyia vipi vyema serikali wanamu eliminate as a threat...
democracy ni wimbo mgumu kutekelezeka amini nakwambia...!
Nimekuonyesha acha kuleta story za kutetea wachafuzi wa demokrasia kwa story za vijiwe vya kiccm.Jibu lako ni lipi
Nchi gani za Africa zina demokrasia kwa sasa au hata zilianza na demokrasia?Pia lazima tufahamu kati ya democracy na dictatorship kipi kianze. Nchi za magharibi zilianza na udikteta baada ya kupiga hatua katika nyanja za maendeleo na ustaharabu Wakashift kwenda Kwenye democracy.
Africa ni vice versa tumeanza na democracy [emoji1787][emoji1787]
Hakuna democracy kwenye jamii masikini na isiyostaharabika.
Misingi ya German ya Leo ilijengwa na Adolph Hitler.
Duuh! Changamoto. hebu soma swali tena halafu rudia kusoma ulicho jibuNimekuonyesha acha kuleta story za kutetea wachafuzi wa demokrasia kwa story za vijiwe vya kiccm.
TanzaniaNchi gani za Africa zina demokrasia kwa sasa au hata zilianza na demokrasia?
Ishu za usalama hazina demokrasiA
Kwa nini uaminiwe?hakuna democracy duniani kote amini nakwambia...!
huo ndio ukweli...!Kwa nini uaminiwe?