Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Sasa kwanini walikuwa wanasema Magufuli amekopa sana?tafaoti ya samia na magu ni usiri tu samia anakopa mchana kweupe magu akikoea kizani lakini kukopa ni kukopa tu awenda kama angekuwepo magu angekuwa kasha kopa zaidi
Kina Zitto wako wapi siku hizi?