Deni la Taifa laongezeka kwa asilimia 7.6 ndani ya mwaka. Chanzo ni ukopaji wa fedha kwa ajili ya Miradi ya Maendeleo

Hilo deni la ndani ndio linanitisha, ni kama Serikali inashindana na wananchi wake kukopa katika taasisi za fedha.

Serikali ipunguze Deni la ndani, na inapaswa itoe dhamana ktk mabenki kwa ajiri ya mikopo nafuu kwa raia na wafanyabiashara... Mikopo nafuu yenye riba ndogo na gharama kdg... Mzunguko wa pesa utaongezeka...
 
CCM ni chama janja janja sana. Deni linazidi kupaa halafu tunaambiwa miradi yote mikubwa inatumia fedha za ndani na zinazotokana na makusanyo ya TRA!!

Wizi mtupu!! Miaka mitano hakuna kupanda madaraja wala nyongeza ya mishahara.
 
Huyo marekani mwenyewe anadaiwa na china, china mwenyewe anadaiwa, kwa hiyo ni jambo la kawaida tu
 
Ukikopa fedha kwa ajili ya miradi ya maendeleo hili ni jema sana mbaya ni kukopa pesa kwa ajili ya kulipa mishahara.
Ikiwa miradi hiyo ina faida ni sawa kabisa. Tatizo ni kama faida haipatikani.
Mfano ndege wanasema ni shida, wataalam wanasema
 

Atake asitake apewe miaka mingine 100 deni lifike Trilioni 900 itapendeza zaidi.
 
Hao Wadudu wakiwa sugu bado hatuwezi kuwakwepa maana ugonjwa hauna mipaka, tutaambukizwa haohao sugu...ndio maana umeenea kila nchi.
 
Jana niliasikiliza mahojiano kuhusu jambo hili.
Tahadhari inachukuliwa kwa sababu idadi ya chanjo ni ndogo kuliko idadi ya watu. Alijibu mtaalamu. Hii ni hata ya mwanzo, wanasayansi wanaendelea na utafiti zaidi
 
Reactions: Pep
Sjaelewa hii inahusikaje kwenye uzi wa deni la taifa
 
Mbona tuliambiwa kwa jinsi tulivyo vizuri kiuchumi sisi tutakopesha na miradi yote ya maendeleo ni fedha zetu za ndani. Kumbe JIWE ni muongo!
 
Hii taarifa ni ya kweli? tujilizishe kwanza chanzo chake maana kwa sasa tupo uchumi wa kati na tumeambiwa tutembee kifua mberee sisi ni matajiri...sasa hilo deni nani anakopa au wanatubambikia hawa mabeberu?
 
Ukikopa fedha kwa ajili ya miradi ya maendeleo hili ni jema sana mbaya ni kukopa pesa kwa ajili ya kulipa mishahara.
Tatizo ni uongo. Mnatwambia mnatumia fedha za ndani kumbe uongo mkubwa. Haipendezi jitu zima kuwa ongo.
 

Madeni haya yatalipwa na vitukuu wetu
 
 

Attachments

  • IMG_20210112_150518.jpg
    86.3 KB · Views: 1
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…