Deni la Taifa laongezeka kwa asilimia 7.6 ndani ya mwaka. Chanzo ni ukopaji wa fedha kwa ajili ya Miradi ya Maendeleo

Deni la Taifa laongezeka kwa asilimia 7.6 ndani ya mwaka. Chanzo ni ukopaji wa fedha kwa ajili ya Miradi ya Maendeleo

Mbona huwa anatuambia kwa ujasiri na sauti kubwa kuwa '''hii miradi inajengwa kwa pesa zetu wenyewe?''

Tunatekereza wenyewe, Mabeberu sio watu wazuri
 
Sjaelewa hii inahusikaje kwenye uzi wa deni la taifa
Huyu ametumwa kuharibu uzi

CCM hawataki kabisa watu wajadili maovu yao wanatumia kila njia kuhalalisha uharamia wanaofanya dhidi ya wananchi na kuwafunga midomo.
 
Si tulisema ss ni Dona kantre jaman
IMG_20210209_080547.jpg
 
Unadanganya wananchi kuwa unakusanya over 1.3t kila mwezi, kisha deni la taifa linavuka waliokusanya kidogo! Wakati JK anatoka madarakani deni la taifa lilikuwa 39t+, hii maana yake ni kuwa Magufuli kakopa 1/3 ya marais wote wanne walio tawala nchi hii ndani ya 5yrs, huku akiwa hana mradi wowote aliomaliza unaozidi 1t+. Halafu kuna watu wanasema tuna bonge la rais. Eti deni ni pesa zako, je ukishindwa kulipa? Huyu anayekopa analipa bila kujali athari za madeni huko mbeleni kwa kusaka political millage maana anajua hatakuwepo madarakani, na hilo deni halitomuumiza yeye na kizazi chake.
kukopa sio issue swala ni uwezo wa kulipa upo kama upo hakuna shida.Sasa anakopa halafu almost asilimia 80 inaenda miradi ya maendeleo hakuna shida zamani tulikuwa tunakopa kulipa mishahara na marupurupu ya wafanyakazi wa serikali ambao hawaingizi hata mia !!!! Sasa hivi mikopo inaenda kujenga mabwawa ya umeme miradi ya umeme kuhakikisha kila nyumba ina umeme mijini na vijijini matokeo watalipa bili pesa zitarudi ,miradi ya maji pia bili zitalipa pia miradi ya reli nk

tofauti ya Magufuli na watangulizi wake ni kuwa tulikuwa hatukopesheki ndio maana mikopo ilikuwa kiduchu na hata tukikopa nyingi zilikuwa zikienda serikalini tu kulipia wafanyakazi .Sasa hivi tunakopesheka ulitegemea deni la taifa lilingane na kipindi tulikuwa hatukopesheki hadli tunaunda tume za kwenda kuomba watupunguzie au kutufutia madeni kwa kuwa uwezo wa kulipa hatuna?
 
kukopa sio issue swala ni uwezo wa kulipa upo kama upo hakuna shida.Sasa anakopa halafu almost asilimia 80 inaenda miradi ya maendeleo hakuna shida zamani tulikuwa tunakopa kulipa mishahara na marupurupu ya wafanyakazi wa serikali ambao hawaingizi hata mia !!!! Sasa hivi mikopo inaenda kujenga mabwawa ya umeme miradi ya umeme kuhakikisha kila nyumba ina umeme mijini na vijijini matokeo watalipa bili pesa zitarudi ,miradi ya maji pia bili zitalipa pia miradi ya reli nk

tofauti ya Magufuli na watangulizi wake ni kuwa tulikuwa hatukopesheki ndio maana mikopo ilikuwa kiduchu na hata tukikopa nyingi zilikuwa zikienda serikalini tu kulipia wafanyakazi .Sasa hivi tunakopesheka ulitegemea deni la taifa lilingane na kipindi tulikuwa hatukopesheki hadli tunaunda tume za kwenda kuomba watupunguzie au kutufutia madeni kwa kuwa uwezo wa kulipa hatuna?

Twende taratibu ili ujue kuwa hujui. Ndani ya miaka hii mitano ya mwanzo amekopa 20t, huku akisema anakusanya zaidi ya 1.3t. Miradi pekee inayozidi 1t ni ya SGR na SG respectively. Miradi yake mingine ni chini ya 1t, ukiachia ndege zake 8 zilizofikia 1.8t ambazo huwa anasema amenunua kwa fedha za ndani. Hiyo miradi miwili ni ya 15t na hakuna wowote uliofikia 40% kwa mantiki kuwa hata kama ametoa hela, hazijafika 10t, je 10t nyingine aliyokopa kuingiza kwenye miradi gani? Na hiyo 1.3t+ - 1.8t huwa wanapeleka kwenye miradi gani? Hospitali Zote alizojenga na vituo vya afya na zilizoko kwenye hatua Za ujenzi hazijafikia 500b.Umeme wa rea ni kodi kila tukinunua umeme kuna 3% tunakatwa. Je unaweza kusema 10t aliyokopa kaipeleka wapi?
 
Twende taratibu ili ujue kuwa hujui. Ndani ya miaka hii mitano ya mwanzo amekopa 20t, huku akisema anakusanya zaidi ya 1.3t. Miradi pekee inayozidi 1t ni ya SGR na SG respectively. Miradi yake mingine ni chini ya 1t, ukiachia ndege zake 8 zilizofikia 1.8t ambazo huwa anasema amenunua kwa fedha za ndani. Hiyo miradi miwili ni ya 15t na hakuna wowote uliofikia 40% kwa mantiki kuwa hata kama ametoa hela, hazijafika 10t, je 10t nyingine aliyokopa kuingiza kwenye miradi gani? Na hiyo 1.3t+ - 1.8t huwa wanapeleka kwenye miradi gani? Hospitali Zote alizojenga na vituo vya afya na zilizoko kwenye hatua Za ujenzi hazijafikia 500b.Umeme wa rea ni kodi kila tukinunua umeme kuna 3% tunakatwa. Je unaweza kusema 10t aliyokopa kaipeleka wapi?
mfano umeenda benki kukopa milioni 200 ujenge nyumba kwani zote unazitumia mwezi mmoja?

pili kukopa waweza kopa kwa miradi tofauti mingine yaweza kuwa kwenye upembuzi au inatengelezwa miaka iliyobaki au iko kwenye stage ya tenda nk si kuwa iukikopa zote unazimaliza mara moja mara ingine haxitolewi zote mara moja hutolewa kwa instalments kuwa ukikamilisha stage unapewa zingine

Zikikopwa zipo zizonalipwa taratibu kutokana na progress ya miradi
 
mfano umeenda benki kukopa milioni 200 ujenge nyumba kwani zote unazitumia mwezi mmoja?

pili kukopa waweza kopa kwa miradi tofauti mingine yaweza kuwa kwenye upembuzi au inatengelezwa miaka iliyobaki au iko kwenye stage ya tenda nk si kuwa iukikopa zote unazimaliza mara moja mara ingine haxitolewi zote mara moja hutolewa kwa instalments kuwa ukikamilisha stage unapewa zingine

Zikikopwa zipo zizonalipwa taratibu kutokana na progress ya miradi

Nilijua lazima upagawe kwenye hili. Kwahiyo hiyo 20t tumekopa lakini hatujapewa yote ama? Au hiyo 20t aliyokopa kuna nyingine bado iko bank? Kama kweli hiyo 20t aliyokopa iko bank, mbona hata kipande cha SGR Dar-Moro kimeshindikana kukamilika ndani ya 3yrs?
 
Tunajenga kwa pesa za ndani kama mwenyekiti wenu anavyotudanganya?
ndio kwani tukikopa tunalipa kwa pesa zao? si za kwetu wenyewe ziwe dola au za Tanzania lakini tutawalipa wa pesa zetu ukisema tunajenga kwa pesa zao labda uwe msaada wametusaidia bure lakini mkopo ni tunajenga kwa pesa zetu
 
DENI la Taifa limefikia Sh. trilioni 59 hadi kufikia Disemba mwaka jana, ikilinganishwa na Sh. trilioni 54.8 kwa kipindi kama hicho mwaka 2019, sawa na ongezeko la asilimia 7.6, huku Bunge likitoa ushauri liwe himilivu.

Kati ya kiasi hicho, deni la ndani limefikia Sh. trilioni 16.2 na deni la nje Sh. trilioni 42.8. Ongezeko la deni limetokana na ukopaji kwa ajili ya kugharamia miradi mbalimbali ya maendeleo.

Pamoja na kwamba deni hilo ni himilivu kwa viashiria vyote muhimu, serikali imeshauriwa ione haja ya kujipima uhimilivu wake, kwa kutumia kiashiria cha makusanyo ya mapato ya ndani, kwa pato la Taifa ambacho kwenye mpango hakijaripotiwa.

Hayo yalibainishwa na Sillo Baran, Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti, alipokuwa akiwasilisha taarifa kuhusu tathmini ya utekelezaji wa mpango wa maendeleo wa miaka mitano (2016/17-2020/21), mapendekezo ya Mpango wa tatu wa Maendeleo wa Taifa wa miaka mitano (2021/22-2025/26) na Mwongozo wa maandalizi ya Mpango na bajeti ya serikali na mpango wa maendeleo wa taifa kwa mwaka wa fedha 2021/22, na kusema wanashauri hilo kwa sababu deni la taifa uhudumiwa na makusanyo ya ndani na ni malipo ya lazima katika matumizi ya serikali.

“Vilevile kamati inaishauri serikali kukamilisha haraka mchakato wa nchi yetu kufanyiwa credit rating (kiwango cha mkopo) ili kuiwezesha serikali kupata mikopo nafuu na kwa urahisi,” alisema mwenyekiti huyo.

Alisema Bunge kwamba kwa mujibu wa tathmini ya uhimilivu wa deni iliyofanywa Disemba 2020, deni, ni himilivu kwa vigezo vyote vya kimataifa na hivyo, nchi ina uwezo wa kukopa ndani na nje, na kulipa mikopo hiyo bila kuwa na athari hasi kwenye ukuaji wa uchumi.

Katika maoni ya jumla ya kamati hiyo ya bajeti, serikali imeshauriwa kutafuta njia ya kupunguza kukopa katika soko la fedha la ndani ili kuziba nakisi ya bajeti kwa kupitia dhamana ya serikali na hati fungani.

Badala yake, serikali ijikite zaidi katika kuongeza udhamini wa wakopaji wadogo (credit gurantee schemes) pamoja na kuongeza matumizi ya mikopo inayojidhamini yenyewe (lease finance).

Vilevile, serikali iangalie uwezekano wa kufungua zaidi soko la mitaji (liberization of capital market) ili kupunguza athari za serikali kukopa kwenye soko la ndani.

Chanzo: Nipashe
Kukopa sio tatizo hata kidogo, tatizo hilo deni unaenda kufanyia nini? Kama ni matumizi ya kawaida na sio ya uwekezaji na kukuza uchumi, basi hapo ni tatizo.
 
Ukikopa fedha kwa ajili ya miradi ya maendeleo hili ni jema sana mbaya ni kukopa pesa kwa ajili ya kulipa mishahara.
Inakuwaje kila siku unawaaminisha watu kuwa kila mradi unaoujenga ni kwa pesa za ndani?!!na hatukopi!!!siasa za kilagai za nini
 
Back
Top Bottom