Deni la Taifa laongezeka kwa asilimia 7.6 ndani ya mwaka. Chanzo ni ukopaji wa fedha kwa ajili ya Miradi ya Maendeleo

Mbona tuliambiwa/aminishwa ni hela za ndani.
Hii nchi ina hela kweli kweli.....
Nasema uongo ndugu zangu??
 
Wewe ni mtaalam wa kitu gani? Huna unalojua kwa haya uliyoandika hapa.

Kwanza mada iliyopo haihusiani kabisa na ulichoandika. Inawezekana hata kusoma na kuelewa ni kwa taabu sana kwako!
You shakes up thread low concentrations you should ignore thats means your brain could be treamed easly
 
Sie tumekalia kukamuana tu.

Hii VAT ya Tanganyika na Zenji utadhani sio TZ.
 
Mbona kila siku tunaambiwa miradi yote ni pesa za ndani?
 
unazumgumzia technology ya zamani (iliyozoeleka) ya kutengeneza chanjo yaani kutumia kirusi cha ugonjwa husika kilichofubazwa
"Vaccines such as the inactivated polio vaccine, or most flu vaccines, use inactivated viruses to trigger a personโ€™s immune system to respond to that disease-causing organism. In other vaccines, such as the hepatitis B vaccine, an individual protein made by that organism is injected instead to trigger a similar response."
Technology inayotumika sasa inaitwa mRNA "mRNA vaccines, however, trick the body into making the viral protein itself which, in turn, triggers an immune response."
. The (vaccine) mRNA will not enter the nucleus of the cells, where our DNA is.โ€™
Once the injected mRNA enters a human cell, it degrades quickly and only stays in the body for a couple of days. This is why people need two injections to develop the best immune response.
Nadhani umeona tofauti iliyopo na ndiyo maana hii ni ya haraka zaidi
 
Deni la ndani ndilo linaloharibu mzunguko wa fedha ndani ya nchi serikali ione jinsi gani inaweza kulipa madeni ya ndani
Serikali ya CCM inaongozwa na washamba na malimbukeni haiwezi kufikiria namna ya kupunguza hilo deni la ndani
 
Linahusiana vipi na huu uzi??
 
Reactions: BAK
Cha kushangaza Mkuu BOT March 2018 ilidai deni limefikia 59 trillions. Miaka mitatu baadaye pamoja na riba kubwa na mikopo mipya bado deni limebaki 59 trillions ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ wahuni hawa Mkuu ni hatari sana.

Hiyo mikopo ni fedha zetu za ndani...ambae hajaelewa apige simu kwa Magufuli aeleweshwe
 
Hapa kwenye miradi ndipo pesa zinapopigwa vibaya sana

Ndio maana wakafanya mbinu za kumuondoa Dr. Assad kama Controller and Auditor General kwani alikuwa anawawekea kiwingu kwenye ulaji wao kwa kuwauliza maswali magumu!!!!
 
Huyo uliyemjibu ni matokeo ya juhudi zinazofanywa na serikali kulipumbaza taifa.

Tanzania will pay heavily in years to come for what it is not doing today.

Wizara yenyewe inayotakiwa iwe mbele kuhimiza wataalam wetu wafanye kila liwezekanalo kutumia janga hili kujinoa vyema, ndiyo wizara iliyo mbele kuwakatisha tamaa!

Hata hizo miti shamba wanazohimiza na kujifukizia, hawatafuti njia za kuzifanyia utafiti angalau kuzipa kiasi cha maelezo kwa nini zina/hazifanyi kazi!
 
yaan nchi na wana nchi wake hawajui matumizi ya mkopo, akikopa meananchi kwenye Taasisi ya kifedha matumizi kibao na kula bata majigambo mtaa mzima mtamkoma, baada ya muda mfupi unashangaa anatafuta mkopo wa kulipa deni mata kauza nyumba mara gari yaani inakuwa vangarati tu mtu kuchanganyikiwa, na nchi nayo hivyo hivyo majigambo meengi kumbe deni linazid kupaa(Tafadhari kabla ya kuchukua mkopo jipange vizuri na uheshimu huo mkpo/sio tuogope mkopo)
 
"Tunajenga miradi hii kwa pesa zetu za ndani" alisikika Raisi Magufuli akisema jukwaani
 
kwani deni huwa unalipa kupitia pesa za wapi za kwako mwenyewe ulizokusanya kodi

Unadanganya wananchi kuwa unakusanya over 1.3t kila mwezi, kisha deni la taifa linavuka waliokusanya kidogo! Wakati JK anatoka madarakani deni la taifa lilikuwa 39t+, hii maana yake ni kuwa Magufuli kakopa 1/3 ya marais wote wanne walio tawala nchi hii ndani ya 5yrs, huku akiwa hana mradi wowote aliomaliza unaozidi 1t+. Halafu kuna watu wanasema tuna bonge la rais. Eti deni ni pesa zako, je ukishindwa kulipa? Huyu anayekopa analipa bila kujali athari za madeni huko mbeleni kwa kusaka political millage maana anajua hatakuwepo madarakani, na hilo deni halitomuumiza yeye na kizazi chake.
 
Kwani mtoto unapomvisha pampers ndio unamwambia ajisaidie tu anavotaka jwa vile umemvisha pampers? Chanjo si sababu usichukuwe tahadhari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ