Deni la Taifa laongezeka kwa asilimia 7.6 ndani ya mwaka. Chanzo ni ukopaji wa fedha kwa ajili ya Miradi ya Maendeleo

Deni la Taifa laongezeka kwa asilimia 7.6 ndani ya mwaka. Chanzo ni ukopaji wa fedha kwa ajili ya Miradi ya Maendeleo

Kipande cha Dar-Moro kilikuwa kiishe Nov 2019 corona ilikuwa bado, tafuta upotoshaji mwingine.
Tatizo chadema hamjawahi kuwa na mradi wowote wa ujenzi makao makuu tu mnapanga mradi wa ujenzi kuchelewa hasa miundo mbinu ni kawaida sana mfano mvua kubwa zikinyesha mkandarasi husimama kujenga ndio maana mikataba yote huwa na kipengele cha kusema ikiwa conditions zote zitakuwa costant mradi utaisha muda huu.Kwa hiyo kwa uelewa wako mdogo ukiambiwa barabara itajengwa miaka mitatu ikajengwa miaka mitano kwako tatizo linakuwa malipo?

mfano mzuri Chadema iliajiri wafanyakazi wake kama madereva nk kwa mikataba ya kudumu wakikenua meno kwa ruzuku kubwa waliyokuwa wakipata sasa ruzku imeshuka wanapunguza wafanyakazi conditions hazijabaki the same !!! huwezi tu kukomaa kuwa ohhh si mlisema permanent!!! wewe mwenyewe kibarua chako chadema kiko hatarini .Wakishamaliza kupunguza sababu na wewe umo kwenye timu ya nani aondoke lakini nakupa siri ukishamaliza hilo zoezi wanakaa wanakutoa na wewe
 
Tatizo chadema hamjawahi kuwa na mradi wowote wa ujenzi makao makuu tu mnapanga mradi wa ujenzi kuchelewa hasa miundo mbinu ni kawaida sana mfano mvua kubwa zikinyesha mkandarasi husimama kujenga ndio maana mikataba yote huwa na kipengele cha kusema ikiwa conditions zote zitakuwa costant mradi utaisha muda huu.Kwa hiyo kwa uelewa wako mdogo ukiambiwa barabara itajengwa miaka mitatu ikajengwa miaka mitano kwako tatizo linakuwa malipo?

mfano mzuri Chadema iliajiri wafanyakazi wake kama madereva nk kwa mikataba ya kudumu wakikenua meno kwa ruzuku kubwa waliyokuwa wakipata sasa ruzku imeshuka wanapunguza wafanyakazi conditions hazijabaki the same !!! huwezi tu kukomaa kuwa ohhh si mlisema permanent!!! wewe mwenyewe kibarua chako chadema kiko hatarini .Wakishamaliza kupunguza sababu na wewe umo kwenye timu ya nani aondoke lakini nakupa siri ukishamaliza hilo zoezi wanakaa wanakutoa na wewe

Yote uliyosema hapa ni kweli, ila bado hujajibu ni wapi 10t ya mkopo imeenda. Na sio kwamba umechomeka hiyo mada sijui ya madereva wa cdm kwa bahati mbaya, ila ukweli ni kuwa mada imekuwa nzito. Sasa namna pekee ni kutafuta njia rahisi ya kuchomoka. Nasema hivi, sema mahali huyu mlevi wa madaraka kapeleka 10t fullstop.
 
Nimemuuliza makusudi hao ndio wanaotuaminisha kwamba awamu ya tano watanzania wanaishi vizuri na mzunguko wa fedha uko vizuri kuliko awamu zote
Ukiwa empty set ni ngumu, kulijua hilo!!kwani hata kama ni wewe ni kula kulala lazima tu ungeshajua jibu!!
 
ndio hata ukikopa utalipa kwa pesa zako kwani wztakulipia?
Acha ukiazi ww tumesema tunajenga kwa fedha za ndani......mumeo anapata shida sana na ww....mwanamke huelewi kama kiazi kibovu
 
DENI la Taifa limefikia Sh. trilioni 59 hadi kufikia Disemba mwaka jana, ikilinganishwa na Sh. trilioni 54.8 kwa kipindi kama hicho mwaka 2019, sawa na ongezeko la asilimia 7.6, huku Bunge likitoa ushauri liwe himilivu.

Kati ya kiasi hicho, deni la ndani limefikia Sh. trilioni 16.2 na deni la nje Sh. trilioni 42.8. Ongezeko la deni limetokana na ukopaji kwa ajili ya kugharamia miradi mbalimbali ya maendeleo.

Pamoja na kwamba deni hilo ni himilivu kwa viashiria vyote muhimu, serikali imeshauriwa ione haja ya kujipima uhimilivu wake, kwa kutumia kiashiria cha makusanyo ya mapato ya ndani, kwa pato la Taifa ambacho kwenye mpango hakijaripotiwa.

Hayo yalibainishwa na Sillo Baran, Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti, alipokuwa akiwasilisha taarifa kuhusu tathmini ya utekelezaji wa mpango wa maendeleo wa miaka mitano (2016/17-2020/21), mapendekezo ya Mpango wa tatu wa Maendeleo wa Taifa wa miaka mitano (2021/22-2025/26) na Mwongozo wa maandalizi ya Mpango na bajeti ya serikali na mpango wa maendeleo wa taifa kwa mwaka wa fedha 2021/22, na kusema wanashauri hilo kwa sababu deni la taifa uhudumiwa na makusanyo ya ndani na ni malipo ya lazima katika matumizi ya serikali.

“Vilevile kamati inaishauri serikali kukamilisha haraka mchakato wa nchi yetu kufanyiwa credit rating (kiwango cha mkopo) ili kuiwezesha serikali kupata mikopo nafuu na kwa urahisi,” alisema mwenyekiti huyo.

Alisema Bunge kwamba kwa mujibu wa tathmini ya uhimilivu wa deni iliyofanywa Disemba 2020, deni, ni himilivu kwa vigezo vyote vya kimataifa na hivyo, nchi ina uwezo wa kukopa ndani na nje, na kulipa mikopo hiyo bila kuwa na athari hasi kwenye ukuaji wa uchumi.

Katika maoni ya jumla ya kamati hiyo ya bajeti, serikali imeshauriwa kutafuta njia ya kupunguza kukopa katika soko la fedha la ndani ili kuziba nakisi ya bajeti kwa kupitia dhamana ya serikali na hati fungani.

Badala yake, serikali ijikite zaidi katika kuongeza udhamini wa wakopaji wadogo (credit gurantee schemes) pamoja na kuongeza matumizi ya mikopo inayojidhamini yenyewe (lease finance).

Vilevile, serikali iangalie uwezekano wa kufungua zaidi soko la mitaji (liberization of capital market) ili kupunguza athari za serikali kukopa kwenye soko la ndani.

Chanzo: Nipashe
Mtuambie mmekusanya asilimia ngapi ya bajeti mpaka sasa ili tuelewe, mbona mna rukaruka mnaficha tuuuuuu
 
Tatizo chadema hamjawahi kuwa na mradi wowote wa ujenzi makao makuu tu mnapanga mradi wa ujenzi kuchelewa hasa miundo mbinu ni kawaida sana mfano mvua kubwa zikinyesha mkandarasi husimama kujenga ndio maana mikataba yote huwa na kipengele cha kusema ikiwa conditions zote zitakuwa costant mradi utaisha muda huu.Kwa hiyo kwa uelewa wako mdogo ukiambiwa barabara itajengwa miaka mitatu ikajengwa miaka mitano kwako tatizo linakuwa malipo?

mfano mzuri Chadema iliajiri wafanyakazi wake kama madereva nk kwa mikataba ya kudumu wakikenua meno kwa ruzuku kubwa waliyokuwa wakipata sasa ruzku imeshuka wanapunguza wafanyakazi conditions hazijabaki the same !!! huwezi tu kukomaa kuwa ohhh si mlisema permanent!!! wewe mwenyewe kibarua chako chadema kiko hatarini .Wakishamaliza kupunguza sababu na wewe umo kwenye timu ya nani aondoke lakini nakupa siri ukishamaliza hilo zoezi wanakaa wanakutoa na wewe
Hii kitu uliyoandika hapa ina ukweli, ila usiojitosheleza, umeulizwa vipi SGR haijakamilika ukajibu sababu ni Corona, sasa kwa hayo maelezo yako utuambie je, Corona ndio ilimaliza nguvu kazi ya kujenga huo mradi? au kile kipindi cha mashule, viwanda, na ofisi nyingine kufungwa sababu ya Corona kilikuwa miezi mitatu, unataka kusema hicho kipindi ndio kilisababisha SGR iwe haijakamilika mpaka leo?

Pamoja na maelezo yako mazuri, lakini bado unatakiwa urudie kujibu swali uliloulizwa mwanzo, kwanini SGR bado haijakamilika mpaka leo wakati pesa za ndani zipo?
 
Back
Top Bottom