Deo Kisandu kafungwa jela?

Deo Kisandu kafungwa jela?

Wakuu, kwema?
Nimemkumbuka mwamba Deo Kisandu na namna aliburudisha hapa jukwaani na ikabidi ni Google taarifa zake. Nimekutana na hukumu ya mahakama kuwa alifungwa miaka Saba jela kwa kosa la kumtukana mama yake kuwa ni mchawi baada ya kukatazwa kuuza kitanda alipo kuwa akiishi na mama yake kahama.

Natamani nikamsalimie, naomba mwenye taarifa za magereza aliopo atujuze.
Dead. Ukiweza mfuate ukampe hi
Wakuu, kwema?
Nimemkumbuka mwamba Deo Kisandu na namna aliburudisha hapa jukwaani na ikabidi ni Google taarifa zake. Nimekutana na hukumu ya mahakama kuwa alifungwa miaka Saba jela kwa kosa la kumtukana mama yake kuwa ni mchawi baada ya kukatazwa kuuza kitanda alipo kuwa akiishi na mama yake kahama.

Natamani nikamsalimie, naomba mwenye taarifa za magereza aliopo atujuze.
 
Nenda buhongwa sec ukamuulizie make alikuwa anafundisha pale
 
Nenda buhongwa sec ukamuulizie make alikuwa anafundisha pale
Alifukuzwa kazi mwaka 2017 nadhani na akashtakiwa kutukana mtandaoni Facebook, akafungwa miaka mitatu, 2020 alitoka ndio kafungwa tena 2022 miaka Saba kwa kumtangaza mama yake mchawi baada ya kikatazwa kuuza kitanda alocho kua analalia kwa mama yake
 
Mental health is real ,mimi naona aliyetoa hukumu na yeye ana matatizo ya afya ya akili kuliko hata Deo...Deo Kisandu aka Don Namilison aka Civilian Coin ana matatizo ya afya ya akili kwa muda mrefu.

Wadau wameshauri ilitakiwa apelekwe mirembe kwa matibabu zaidi ,kwa yeye naona wangempeleka mirembe angepona na kukaa sawa akitumia dawa.

Inasikitisha sana ,mimi namjua jamaa mmoja alipata tatizo la afya ya akili ila kwasasa amepona na yupo sawa anafanya kazi serikalini,ndugu wa Deo wakate rufaa kwamba ndugu yao mgonjwa na atolewe Chechela sege dansi nondo gereza inside ndichi ngome lupango na apelekwe mirembe kwa matibabu.
 
Mfungwa huwa hakai gereza moja anahamishwa hamishwa nenda gereza alilofungwa awali ukimkosa watakueleza walipomuhamishia lakini andaa budget unaweza kufika huko utakapoelekezwa ukakuta kahamishwa pia
 
Mental health is real ,mimi naona aliyetoa hukumu na yeye ana matatizo ya afya ya akili kuliko hata Deo...Deo Kisandu aka Don Namilison aka Civilian Coin ana matatizo ya afya ya akili kwa muda mrefu.

Wadau wameshauri ilitakiwa apelekwe mirembe kwa matibabu zaidi ,kwa yeye naona wangempeleka mirembe angepona na kukaa sawa akitumia dawa.

Inasikitisha sana ,mimi namjua jamaa mmoja alipata tatizo la afya ya akili ila kwasasa amepona na yupo sawa anafanya kazi serikalini,ndugu wa Deo wakate rufaa kwamba ndugu yao mgonjwa na atolewe Chechela sege dansi nondo gereza inside ndichi ngome lupango na apelekwe mirembe kwa matibabu.
I real second you brother. Natamani hata wanasheria wetu humu wangejitoa kumsaidia. Yule ndugu anahitaji matibabu ya akili, angekaa sawa kabisa
 
Wote wajinga tu, mnatukanana kisa kitanda, mama ana amani mtoto wake wa kumzaa anavyokaa gerezani miaka 7? Waafrika inabidi turudishe Mila zetu, tena Hawa wasukuma kabisa, haya mambo kinaitwa kikao Cha ukoo mtu anakula fimbo za kutosha maisha yanaendelea


Wamasai ni marufuku kupelekana hata polisi
 
Major depression itakuwa ina msumbua alipaswa apate matibabu ya afya ya akili.
 
Mental illness is real mkuu
Watu hawajalitambua hili suala kwa ukubwa wake

Unakutana na mtu ana kazi nzuri na ana maisha mazuri pamoja na familia yake ila kuna tabia na viashiria ambavyo vitakuonyesha kuwa huyu ana changamoto kubwa kwenye akili pamoja na utambuzi na maamuzi yake katika baadhi ya mambo
 
Back
Top Bottom