Aanataka kutufurahisha tena March 2022Kaanza tena uchuro????
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aanataka kutufurahisha tena March 2022Kaanza tena uchuro????
😅😅😅wachumia tumbo hawaHuyu mjomba ake johnthebaptist aliwahi kusema pombe awe rais kwa miaka 100.
MaCCM akili zao hazina akiliYaani MA CCM sijui huwa yana akili za namna gani
Toa sababuMnafiki sana uyu mbena
Mbona atake asitake imeanza mapema sana===
Mhe Deogratias Sanga Mbunge wa Njombe Kaskazini|Makambako amesema Rais Samia Suluhu ni mpango wa Mungu mwenyewe kupitia kwa Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli,
<<<Hebu msikilize kwa makini>>>
View attachment 2013246
Mungu wangu!! "...so that it's tough to explain... we americans ppls... she led that nation exellency" - a Tanzanian illiterate impersonating an American, admiring a Tanzanian female ruler! Balderdash...Nothing could I say the way president #SSH led Tanzania,its so amaizing,the country goes well,its personality came in massively once again, so that it's tough to explain what I can say we american ppls admire the way she led that nation excellency.
Nchi hii inawatu vichwani hamna kitu na wanafikiri kwa kutimia Masaburi===
Mhe Deogratias Sanga Mbunge wa Njombe Kaskazini|Makambako amesema Rais Samia Suluhu ni mpango wa Mungu mwenyewe kupitia kwa Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli,
<<<Hebu msikilize kwa makini>>>
View attachment 2013246
Hivi huyu kuna mtu anamchukulia serious?===
Mhe Deogratias Sanga Mbunge wa Njombe Kaskazini|Makambako amesema Rais Samia Suluhu ni mpango wa Mungu mwenyewe kupitia kwa Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli,
<<<Hebu msikilize kwa makini>>>
View attachment 2013246
Hivi huyu kuna mtu ananchukulia serious?h
Wewe kinakuuma nini?Kwani huyu mbunge Hana ya kuongea kuhusu Jimbo lake?
Kwa akili yake anategemea anaweza kupewa uwaziri?
Huyu si chini kidogo ya Taletale.
Tangu lini matamshi ya mtu mjinga yakapewa seriousness? Umewahi kukutana naye ukaongea naye japo kwa dakika 5? Jamaa ni low IQ hasa.Hivi huyu kuna mtu anamchukulia serious?
Labda anategemea atakua waziri wa ulinzi au waziri mkuuWewe kinakuuma nini?
Deo mzee wa midundo===
Mhe Deogratias Sanga Mbunge wa Njombe Kaskazini|Makambako amesema Rais Samia Suluhu ni mpango wa Mungu mwenyewe kupitia kwa Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli,
<<<Hebu msikilize kwa makini>>>
View attachment 2013246
Kwa mfumo zuzu, ni lazima upate BUNGEZUZU.Kipindi cha Magu alisema aongoze hadi achoke Magufuli
Sasa Samia kama ni chaguo la Mungu ikiwa Magufuli hayupo, Deo mkiwa faragha atamsema vibaya Magufuli.
Njombe Kaskazini hakuna vijana wasomi 2025.Au wote ni chawa wa Deo