ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,050
- 6,199
Labda miungu yao.Hii Sasa Kali, inamaana Kila aliyewahi kuwa rais wa nchi hii ni chaguo la mungu!?.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda miungu yao.Hii Sasa Kali, inamaana Kila aliyewahi kuwa rais wa nchi hii ni chaguo la mungu!?.
CHADEMA wewe unaakili gani?MaCCM akili zao hazina akili
😂😂😂😂😂😂😂===
Mhe Deogratias Sanga Mbunge wa Njombe Kaskazini|Makambako amesema Rais Samia Suluhu ni mpango wa Mungu mwenyewe kupitia kwa Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli,
<<<Hebu msikilize kwa makini>>>
View attachment 2013246
Ipi?Labda miungu yao.
Wanaijua wao na washirika wao katika imani zao.Ipi?
Anakahotel kake dodoma so anapromote hiyo kituYule alikua Chaguo LA shetani? Huyu nae akili zake anazijua mwenyewe
Kufuru zenu hizi ndiyo maana nchi imekuwa kame namna hii na bado, Mungu hadhihakiwi kamwe!===
Mhe Deogratias Sanga Mbunge wa Njombe Kaskazini|Makambako amesema Rais Samia Suluhu ni mpango wa Mungu mwenyewe kupitia kwa Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli,
>>
View attachment 2013246
Kwa hiyo ilikuwa sahihi kabisa Magu kufa ili Samia Mpango wa Mungu atawale?===
Mhe Deogratias Sanga Mbunge wa Njombe Kaskazini|Makambako amesema Rais Samia Suluhu ni mpango wa Mungu mwenyewe kupitia kwa Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli,
>>
View attachment 2013246
Ngoja Waje WatujuzeHuyu ndo alieugua uchizi bungeni?
Huyo no mvuta bangi maarufuHuyu ndo alieugua uchizi bungeni?
Ukweli mtupu Deo,===
Mhe Deogratias Sanga Mbunge wa Njombe Kaskazini|Makambako amesema Rais Samia Suluhu ni mpango wa Mungu mwenyewe kupitia kwa Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli,
<<<Hebu msikilize kwa makini>>>
View attachment 2013246
Wewe mchumia nini?😅😅😅wachumia tumbo hawa