Billie
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 13,588
- 22,752
TANO HAITOSHI AONGEZEWEWale wa mitano tena [emoji2772]sasa hivi tuweke kauli mbiu gani jamani[emoji849][emoji849]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TANO HAITOSHI AONGEZEWEWale wa mitano tena [emoji2772]sasa hivi tuweke kauli mbiu gani jamani[emoji849][emoji849]
Kwa taarifa yako Magufuli anataka sana kuendelea kukaa madarakani, ila anajua wengi hawatakubali, anachofanya ni kuwatumia hao vibaraka wake. Utakuja kusema hapa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Cha ajabu ana limwili kubwa alafu upstairs . . . . . . .
Wameanza tena na upumbavu wao!
Na wewe ni darasa la 7. Hii hoja mpaka sasa imeshikiwa na wabunge wajinga, darasa la 7 kushuka chini.Hakuna tatizo aongezewe tu ili mambo mazuri yakamilike.Mimi naamini siku raisi wetu atakapomaliza muda wake tutatamani aendelee
"Rais wetu Dkt. Magufuli amefanya kazi kubwa, ombi langu hapa ndani atake asitake tumuongezee muda ili aweze kufanya kazi yake vizuri ili mipango aliyoipanga ikamilike, nilisema kipindi fulani hata China walifanya hivyo si dhambi kumuongezea anayefanya vizuri" - Deo Sanga
#Bungeni
View attachment 1693592
Kumekucha sasa lile bunge la kijani linaanza kazi waliyoipigania .
Deo Sanga hakufika darasa la 7. Ameishia darasa la 2. Ukiona anavyoandika jina lake tu, huwezi kuamini hata anaweza kuwa Mwenyekiti wa Kijiji! Wizi ulimsaidia akapata hela. Na CCM, ukiwa na hela unaweza kupata cheo chochote alimradi uwe tayari kuwapa wabunge bahasha nene.Unategemea nini kutoka kwa Mbunge wa darasa la saba aliyepata mali yake kwa ujangili na uchawi wa MWAKIPANDE?
Siwezi kuja kusema wakati najua hataki nimeongea nae mara kwa mara hayuko tayari kwa hiyo jinai ya kuvunja katiba!
Safi sana kumbe kuna watu wanaona mbali japo katiba hairuhusu lakin si ni sisintulioitunga aongezewe tuMBUNGE WA MAKAMBAKO AT
Mbunge wa Makambako, Deo Sanga amesema Rais Magufuli amefanya kazi kubwa katika nafasi yake ya Urais.
Ametoa ombi la kuongezewa muda wa kubaki madarakani kama Rais ili mipango anayoendelea nayo aweze kuikamilisha.
Ameomba aongezewe muda hata kama asipotaka. Amesema hata China waliwahi kufanya hivyo kipindi fulani katika historia.
Katumwa huyo.
Bangi tu zinamsumbuaMBUNGE WA MAKAMBAKO AT
Mbunge wa Makambako, Deo Sanga amesema Rais Magufuli amefanya kazi kubwa katika nafasi yake ya Urais.
Ametoa ombi la kuongezewa muda wa kubaki madarakani kama Rais ili mipango anayoendelea nayo aweze kuikamilisha.
Ameomba aongezewe muda hata kama asipotaka. Amesema hata China waliwahi kufanya hivyo kipindi fulani katika historia.
Ndiyo maana kila akifa kiongozi wa CCM nafurahia kupunguza idadi ya wajingaNchi ina wajinga wengi sana hii. Kwani wakati huyo magufuli wake anaingia madarakani hakukuta miradi iliyoachwa na mtangulizi wake?
Katambi yule muunga juhudi?!!! Oops makubwa!! Anyway lazima asujudu kwa JPM kwani amemsadia kwa kumuondoa Masele ambaye ndo aliongoza kura za maoni akapewa yeye aliyeshika nafasi ya 12Nilikuwa nawa"mark" wabunge wa 2020 2025 waliotoa kauli hiyo huyu wa pili , wa kwanza alikuwa Katambi
Sent from my TECNO L9 Plus using JamiiForums mobile app
Mbona anaongea huku ameinamisha sura anaona aibu ya nini?"Rais wetu Dkt. Magufuli amefanya kazi kubwa, ombi langu hapa ndani atake asitake tumuongezee muda ili aweze kufanya kazi yake vizuri ili mipango aliyoipanga ikamilike, nilisema kipindi fulani hata China walifanya hivyo si dhambi kumuongezea anayefanya vizuri" - Deo Sanga
#Bungeni
View attachment 1693592
Kumekucha sasa lile bunge la kijani linaanza kazi waliyoipigania .
Hilo jamaa nimelishangaa sana.Eti “hata asipotaka”. Huyu hata akitamani, hatuwezi kusigina Katiba yetu ili kumuaccomodate mtu mmoja. Ni fedheha kufikiri kwamba kati ya Watanzania 58M+, ni Jiwe tu anayeweza kutuongoza
Lakini huu upuuzi upo hata kwenye vyama vyetu vya siasa.
Huyu ni mjinga.MBUNGE WA MAKAMBAKO AT
Mbunge wa Makambako, Deo Sanga amesema Rais Magufuli amefanya kazi kubwa katika nafasi yake ya Urais.
Ametoa ombi la kuongezewa muda wa kubaki madarakani kama Rais ili mipango anayoendelea nayo aweze kuikamilisha.
Ameomba aongezewe muda hata kama asipotaka. Amesema hata China waliwahi kufanya hivyo kipindi fulani katika historia.