Mbona kama umepaniki, furaha yako ni nini dhidi ya WaTanzania?Mshaambiwa aliji'quarantine mwenyewe
Mnaumwa kbs nyie
Mnajiona TZ keki kwamba hamuwezi ugua sio
gonjwa liko Marekani nk nyie mna nini..inahusuu?
Asisafiri alizuiwa kwani!!?
Unaogopa Yale ya daktari wa China aliyeugundua kisha ukamtafuna tulia mkuu mambo yamekuwa mambo!!
Hata yeye alikuwa anajua kuwa kuna ugonjwa kama ww na anajua nchi aliyotoka ina huo ugonjwa ndo maana labda akaamua kuchukua tahadhar .maana hakuwa na uhakika kama ameathirika au la .Watu wanasema huyo mama kafanya kusudi kuuleta ugonjwa. Kama sio kusudi
Wamfiche huko maana watu wana usongo nae mno wanasema anafaa apigwe shaba.
- Kwanini alipitilizia hotelini badala ya Kwake?
- Kwanini hakutaka aje apokelewe na ndugu zake wakati Ana gari?
hata mamlaka nazo zinahusika kwani bado hawajasitisha safari kutoka njeWatu wanasema huyo mama kafanya kusudi kuuleta ugonjwa. Kama sio kusudi
Wamfiche huko maana watu wana usongo nae mno wanasema anafaa apigwe shaba.
- Kwanini alipitilizia hotelini badala ya Kwake?
- Kwanini hakutaka aje apokelewe na ndugu zake wakati Ana gari?
Hii sasa burdani msibaniWaiter zungusha ,
NASUBILI VYUO VIKUU VIFUNGWE TU , MAANA NIME POSTPONE KISA KUSHINGWA KUMALIZIA ADA , THEN MWEZI WA 10 NDO VIFUNGULIWE .
Na akifa afanywe nini
Alishindwa nini kuwaambia Uhamiaji kabla ya kuingia nchini kwamba ana wasi wasi na afya yake pale pale uwanjani mpaka akajitenge hoteliniMshaambiwa aliji'quarantine mwenyewe
Mnaumwa kbs nyie
Mnajiona TZ keki kwamba hamuwezi ugua sio
gonjwa liko Marekani nk nyie mna nini..inahusuu?
Asisafiri alizuiwa kwani!!?
Huko kujihudumia mwenyewe watanzania wataweza kweli ?hata mamlaka nazo zinahusika kwani bado hawajasitisha safari kutoka nje
hivyo mwingine yoyote angeweza kuleta pia ukimuacha huyo mama
nivizuri tukiwaiga wachina ambao ndiko ugonjwa ulipoanzia huko ukiingia unapimwa na unapigwa karantini wiki mbili hata kama hukuonyesha dalili yoyote tena kwa garama zako mwenyewe baada wiki mbili ndio unaruhusiwa kuingia mtaani
Sent using Jamii Forums mobile app
Mshaambiwa aliji'quarantine mwenyewe
Mnaumwa kbs nyie
Mnajiona TZ keki kwamba hamuwezi ugua sio
gonjwa liko Marekani nk nyie mna nini..inahusuu?
Asisafiri alizuiwa kwani!!?
Hide hizo namba za simu
Mshaambiwa aliji'quarantine mwenyewe
Mnaumwa kbs nyie
Mnajiona TZ keki kwamba hamuwezi ugua sio
gonjwa liko Marekani nk nyie mna nini..inahusuu?
Asisafiri alizuiwa kwani!!?