Dereva wa Basi la Saratoga apigwa na Askari wa JWTZ

We nawe umezidi kuwaabudu hao wajeda, huoni aibu😲😲
 
Bila shaka wewe ndio ungembebea mimba siyo
 
hueleweki una maana gani, nyie sukuma gang jambo lolote angelikuwepo flani. Kamfufueni huyo mfu wenu au mfuateni tumewachoka. kenge nyie
 
kwa hiyo uliona waliogopa? Walikuwa wanasubiri nani wa kulianzisha
 
ushawahi kusikia raia kupiga mwanajeshi? we mwanajeshi unamchukulia sawa na hawa maplosi uliowazoea siyo?
 
Acha apigwe tu hakuna namna. Siku mkiacha kuogopa manguo yao mtaishi kwa kujiamini.

Kuna mwamba last year aliwakalisha chini askari 3 kwa upuuzi wao, walikosea wakamkadiria vibaya wakaingia cha kike
Mwaka 2016 kigoma
Kikosi number 24Kj Vamia

Niliwapa kichapo wanajeshi 7 mpaka kanal wa kipindi hicho hapo nyingo akaja kuniomba nisuwafundishe Raia style zangu za mapigano
 
Suala sio kulipita ila yawezekana ni namna alivyopita
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…