Dereva wa Basi la Saratoga apigwa na Askari wa JWTZ

Dereva wa Basi la Saratoga apigwa na Askari wa JWTZ

over take vs take over wenye hiyo tabia ni mabus au malori yanayochukua muda mrefu kuwa barabarani. Kufanya take over kwa magari ya hospital & ulinzi wa mipaka ya nchi unastahili kichapo kwani unakuwa unahatarisha usalama wa wananchi.
Usalama gani? Uonevu tu umewajaa.
Wanajeshii sijui wakojeee.
 
Yaani nihenye six week ng'aing'ai(jichojicho)then raia tu aikwangue gari yangu?ni mwendo wa ngumi tu.raia ujue kuwa,askari mmoja wa jw ni sawa na polisi 200 sasa wewe jichanganye kutu overtake utaona cha mtema kuni.

Sent using Jamii Forums mobile app
Basi hapo wee roho kwatuu?? Nafsi zenu ziwasutage kwa uonevuu. Lol
 
Ivi mjeda ukimpiga za usoo akaona wazungu mia mia Kuna kesiii[emoji1787][emoji1787][emoji1787],inamaana Jamaa hawapihiki mbona always wao Ndo hupiga....ukute hapo dogo anamiaka 28 kampiga baba 45....seeee mi namwonyesha ukengee labda wawe 7.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniiiii khaaah
 
Dereva wa basi la Saratoga linalofanya safari kutoka Dar es Salaam kwenda Kigoma, Yasini Shabani (45), ameshambuliwa kwa kupigwa maeneo mbalimbali ya mwilini na Askari wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), anayejulikana kwa jina la Emmanuel Peleka baada ya basi hilo kulipita gari la JWTZ katika eneo la Picha ya Ndege Kibaha mkoani Pwani.


Huu ujinga wa hawa Wanajeshi pia ulimpata Dereva wa daladala za Mlandizi pale Picha ya Ndege(nilikuwepo kwenye hiyo Daladala, nilimind sana hadi nikawa natokwa na jasho jembamba).

Huyo mwanajeshi alikuwa anaendelea IST, Daladala ilikuwa inapakia abiria hapo kituoni baada ya kumaliza ikaanza kuondoka, wakati inaingia barabarani, IST ya Mwanajeshi ikawa inakuja. Mwanajeshi badala ya kupunguza ili aipe nafasi daladala iingie barabarani akataka kulazimisha kupita, akashindwa akapunguza mwendo, Daladala ikaingia barabarani.

Baada ya hapo, Mwanajeshi kapita mbele fasta akaenda kuiblock daladala na IST yake halafu kashuka kwa hasira kaanza kumshambulia dereva kupitia dirisha la dereva(lilikuwa wazi), akampiga ngumi kazaa kichwani huku akiwa anamvuta Tshirt hadi akachana mkono wa Tshirt. Abiria tulibaki tumeduwa bila kumsaidia dereva, Mwanajeshi alipomaliza hasira zake huku arusha matusi juu akaondoka zake. Nilichukia hicho kitendo cha Mwanajeshi aisee endapo abiria wangeamua kumsaidia Dereva ningeunga tela kumuwajibisha huyo jamaa wa mabakamabaka. Wana ubabe usio na mashiko na wa kipuuzi sana.
 
Kazi kupiga raia tu ndicho tunachoweza, ila kupambana na wahalifu mhhhh...,....

Wewe mwanajeshi kama upo humu, kama nikweli umefanya haya, bac naomba kabisa hii tabia ya kupiga raia acha kabisa, narudia acha kabisa, siku ukijichanganya uraiani nadhani unajua kitakacho kukuta, aidha stand za mabasi au popote pale, aise utajuta kuzaliwa. Nakuomba acha kupiga raia,
 
Hawa hamna haja ya kusumbuka nao maana wana malizana wao kwa wao kambini ni mwendo wa kupigana juju tu na vipapai..kudadeki survival of the fittest
 
Kwahyo action tuu hata kam dereva wa bus anamakosa kias gan ndio apigwee??[emoji112]

Sisi tunalopng hapa ni uonevu/ uvunjifu wa Sheria/kuchukua hatua mkoni hatusemi kuw derev bas alikuw SAHIHI au sio sahihi
Tusikie na Upande wa pili ,si rahisi upigwe vibao kisa ku overtake ingekuwa hivyo Route ya Lugalo watu wangekuwa wanakula vibao daily.
 
1. Huyo dereva wa basi atakuwa alizingua (kusababisha ajali).
2. Kwanini iwe dereva wa Saratoga na sio wengine?
3. Wana fujo sana barabarani madereva wa mabasi.
4. Kuna mtu asiyejua fujo za madereva wa mabasi barabarani.
5. Kwanini tutetee hao wapuzi kupata mkong'oto toka kwa wanajeshi kwa rafu zao barabarani?

My take:
Sitetei wajeda kwa walilolifanya, ila mara nyingine tuwapongeze kuwa-discipline wapuzi kama hao madereva.

Wanakera sana hao na mipuuzi sana hao ndugu zetu madereva. Tutii sheria bila shuruti na hao wajeda hawatapiga mtu.
Kama alisababish ajar ingeripotiw Ajari
2:- atakam amesAbishwa Ajari Sheria inaelekeza apigwee asee!!!??
 
Hapana,ndo maana nimeshangaa mpaka MDA ule askar jeshi ajakamatwa.
Maana no jinai ile,Ila ndo ivo polisi wamenywea kijinga sana
Kwenye Taarfa alie ripot amessema Askari amehojiw (Taratbu zmefutwa)
 
Yaani wewe ningekuporomoshea matusi ya nguoni

Wewe ukilala unautwanfa usingizi unajua kuna wanajeshi majeshi yote wako shifti hawalali ili wewe ukorone usingizi mnono huku ukishika baby wako nkikia mintage vitandani mwenu hopeless wewe.

Jinga kabisa wewe Ukiona gari yeyote ya jeshi lolote pisha ukiwa na hicho kigRi chako kilichookotwa majalalani japani au ulaya ukauziwa kama used car

Mungu nisaidie mimi kiumbe dhaifu nisikuporomoshee matusi ya nguoni wewe
Acha ujingaaa wew hakuna mtu muhm kuliko mwingine

Umuhim utakuja kwenye swala la Radharula Tuu

[emoji613][emoji613][emoji613][emoji367]
 
Huu ujinga wa hawa Wanajeshi pia ulimpata Dereva wa daladala za Mlandizi pale Picha ya Ndege(nilikuwepo kwenye hiyo Daladala, nilimind sana hadi nikawa natokwa na jasho jembamba).

Huyo mwanajeshi alikuwa anaendelea IST, Daladala ilikuwa inapakia abiria hapo kituoni baada ya kumaliza ikaanza kuondoka, wakati inaingia barabarani, IST ya Mwanajeshi ikawa inakuja. Mwanajeshi badala ya kupunguza ili aipe nafasi daladala iingie barabarani akataka kulazimisha kupita, akashindwa akapunguza mwendo, Daladala ikaingia barabarani.

Baada ya hapo, Mwanajeshi kapita mbele fasta akaenda kuiblock daladala na IST yake halafu kashuka kwa hasira kaanza kumshambulia dereva kupitia dirisha la dereva(lilikuwa wazi), akampiga ngumi kazaa kichwani huku akiwa anamvuta Tshirt hadi akachana mkono wa Tshirt. Abiria tulibaki tumeduwa bila kumsaidia dereva, Mwanajeshi alipomaliza hasira zake huku arusha matusi juu akaondoka zake. Nilichukia hicho kitendo cha Mwanajeshi aisee endapo abiria wangeamua kumsaidia Dereva ningeunga tela kumuwajibisha huyo jamaa wa mabakamabaka. Wana ubabe usio na mashiko na wa kipuuzi sana.
Unawez kuta hapo alikuw anamuwah demu wake , Asee umri na sifa ya kazi zinawasumbua Ndio maan wanasabish ajar maan njian kama wew dereva huwez kupaki sana kwakosa la mwez limetokea hadi unashuk kweny gari yaan hujapoa nakumwambia mwenzAko sio sawa pale
 
...Suala la kupiga sio sahihi ila huyo dereva wa basi asifanye watu wajinga yani ka-overtake kaenda kasimama halafu kapigwa ?kuna kitu kafanya baada ya ku-overtake sababu hayo magari ya Jeshi kila siku tunaya-overtake na tunakula nayo ligi vizuri tu na hatupigwi, anaonekana kazoea tabia za hovyo barabarani na hii ni kwa madereva wengi wa mabasi.!
 
Huu ujinga wa hawa Wanajeshi pia ulimpata Dereva wa daladala za Mlandizi pale Picha ya Ndege(nilikuwepo kwenye hiyo Daladala, nilimind sana hadi nikawa natokwa na jasho jembamba).

Huyo mwanajeshi alikuwa anaendelea IST, Daladala ilikuwa inapakia abiria hapo kituoni baada ya kumaliza ikaanza kuondoka, wakati inaingia barabarani, IST ya Mwanajeshi ikawa inakuja. Mwanajeshi badala ya kupunguza ili aipe nafasi daladala iingie barabarani akataka kulazimisha kupita, akashindwa akapunguza mwendo, Daladala ikaingia barabarani.

Baada ya hapo, Mwanajeshi kapita mbele fasta akaenda kuiblock daladala na IST yake halafu kashuka kwa hasira kaanza kumshambulia dereva kupitia dirisha la dereva(lilikuwa wazi), akampiga ngumi kazaa kichwani huku akiwa anamvuta Tshirt hadi akachana mkono wa Tshirt. Abiria tulibaki tumeduwa bila kumsaidia dereva, Mwanajeshi alipomaliza hasira zake huku arusha matusi juu akaondoka zake. Nilichukia hicho kitendo cha Mwanajeshi aisee endapo abiria wangeamua kumsaidia Dereva ningeunga tela kumuwajibisha huyo jamaa wa mabakamabaka. Wana ubabe usio na mashiko na wa kipuuzi sana.

Kama nimekuelewa vizuri ni kuwa daladala alichomekea ist ya mjeda, na hii ni typical tabia ya daladala, bajaj, boda na mabasi ya abiria y’a mikoani kufanya hivyo kiasi kwamba usipokuwa na busara utajikuta unakwangaana nao kila siku, na anakusababishia Majanga mfukoni hana hata mia mbovu.
Same happens kwa madereva wa mabus, wako rafu sana barabarani: dereva wa bus anakuona kabisa unakuja na anaovertake anakuletea dude, inabidi utumie busara utanue apite na kama njia ni nyembamba basi utajikuta machakani na yeye katembea,
Dogo alifanyiwa hivyo na ka Raum kake na kisha dereva wa new force akatembea kamuachia msala hapo,
Hatubariki alichofanya mjeda, ila binafsi nikiweka mizania na hizi vurugu za hawa madereva wa mabus, naona sometimes kipigio cha namna hii ni muhimu sababu hata wakienda police wanahonga wanatoka.
Na hii iwe kama fundisho kwa madereva hawa wazembe na pia Jeshi la police liache kupokea rushwa na kuwapa viburi madereva,
Kuna madereva wa buses wengine wako juu ya sheria kabisa na ushahidi Upo wazi. Wapigwe tu siku mojamoja.
 
hawa wana hamu ya kupigana, watafutiwe vita. wapelekwe hata huko somalia, congo au msumbiji wakamalize hasira zao huko.
 
Back
Top Bottom