Smart911
Platinum Member
- Jan 3, 2014
- 135,167
- 160,806
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa huyo mkewe si ndio alikuwa kunda wakeKuna baadhi ya kazi mume wa mtu akiwa anaifanya unaweza mlia mke wake unamfanya kama wako,
Sasa kama hii dereva daladala saa 11 ameshaamka kurudi saa 4 usiku au na zaidi
mbwa kachoka tenaa😓😓😓😓Kifo cha mende na mbwa kachoka au sijui mboga nini vile
Mchina anatembea na dumu la asali anawalambisha tu hawa (honey burgers,) a.k.a nyegere wanavaa miwani ya mbao wanajifanya hawamuoniKwanini Yule mchina aliyeuwa mpenzi wake Hadi Leo hajakamatwa? Nashangaa wabongo wakifanya mauaji ni siku 3 Tu ameshadakwa ina maana Yule mchina anajua jinsi ya kukwepa POLISI tofauti na wabongo
Hiyo mbwa kachoka ni yakwako 😄😄Kifo cha mende na mbwa kachoka au sijui mboga nini vile
Umenena bwashee sijui uko wap nikuagizie k-vant kubwaYaan Aliya Jana akakimbilia Lind haraf leo kakamatwa ?? Sasa alijifichaje yaan unakamatwa mapema hivi?? Mapenz haya yatatumaliza tuspokuwa makini, hasa hasa cm znachangia Sana kugombanisha na kusababisha migogoro na vifo kwa wanandoa!! Zaman sm hazkuwepo na ndoa zlikuwa na aman, kwa hyo wanandoa tuwen Makin na cm zetu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] iyo mlete mthungu ndo balaa omba isikukuteItakuwa hizi style mpya za kufinyia ndani na mlete mzungu ndo zinachangia....zamani ilikuwa kifo cha mende tu[emoji1787]
Nimeyachukia kabisa yaan🙄😠
Usiyachukie jirani...Nimeyachukia kabisa yaan🙄😠
Unaizima eneo la tukio na huiwashi tenaaBas nae alikosea kuondoka na cm yake
🤣🤣🤣Panakuwa pakavu🤸Kwanza ya kulazimisha hata u*****oo hauingii vizuri
Naelekea kutupa na simu kabisa jirani😔Usiyachukie jirani...
Jirani basi tubadiliashane simu ili usitupe...Naelekea kutupa na simu kabisa jirani😔
Funguo acha pale ulipoacha Jana na simu niikute sitting room.Sitaki majaribu jirani😔Jirani basi tubadiliashane simu ili usitupe...
password yangu ni jina lako mwenyewe wewe la kuzaliwa...Funguo acha pale ulipoacha Jana na simu niikute sitting room.Sitaki majaribu jirani😔
We😳 ulibadilisha lini Tena? Mbona uliniambia ukiweka jina la yule aliyekuwa anakutandikia kitanda vyema au ulimkuta kajifunika shuka lako pendwa?🤔password yangu ni jina lako mwenyewe wewe la kuzaliwa...
Mbona unarudi kulekule kwamba simu ndo tatizo?Mkuu simu mnazisingizia tu. Watu wangekuwa waaminifu wala kusingekuwa na shida. Sema simu zinasababisha watu kushikwa (Kwa sababu ya kupekuliana simu). Unadhani zamani watu walikuwa hawapigani miti nje ya ndoa? Ilikuwa sana tu ila ilikuwa hawashikwi vile hamna viushahidi. Wanakutana njiani wanenda fanya yao kisha wanapanga tukutane jumatano ijayo saa tisa na robo hapa hapa, fullstop!
Sasa siku hizi jitu linakula mke wa mtu na kila saa linamtumia msg umekula, umevaaje leo? Nakumiss baridi hii nyoko kabisa!
Jirani mbona sikumbuki hayo...We😳 ulibadilisha lini Tena? Mbona uliniambia ukiweka jina la yule aliyekuwa anakutandikia kitanda vyema au ulimkuta kajifunika shuka lako pendwa?🤔