Mitandao ya kijamii nayo ni shida tupuMkuu simu mnazisingizia tu. Watu wangekuwa waaminifu wala kusingekuwa na shida. Sema simu zinasababisha watu kushikwa (Kwa sababu ya kupekuliana simu). Unadhani zamani watu walikuwa hawapigani miti nje ya ndoa?
Ilikuwa sana tu ila ilikuwa hawashikwi vile hamna viushahidi. Wanakutana njiani wanenda fanya yao kisha wanapanga tukutane jumatano ijayo saa tisa na robo hapa hapa, fullstop!
Sasa siku hizi jitu linakula mke wa mtu na kila saa linamtumia msg umekula, umevaaje leo? Nakumiss baridi hii!
Isingekuepo hata mimi ningekuwa mwaminifu kiasi .mfano hapa namcheat wife na binti nilie muona Facebook ni mzuri sana ,mfano mtaani hakuna wa kumfikia wife wala wote ninaowajua wa mkoa huu ila mitandao ya kijamii ilinikutanisha na kiumbe sijawahi ona kabla!
Pia mitandao ya kijamii eg wasap huko ma group mtu anaeza tafutwa na no mpya hata 20 kwa siku wote wakiwa mkoa nae mmoja na kuanza mtxt vishawishi vinaanzia hapo ni tofauti na kipindi haikuepo.. unakuta hata kama ni barabaran anaeza toka week nzima hajatoa namba hivo uwezekano wa kusalitiana unakuwa upo chini sana