Dereva wa Daladala aliyemuua mkewe Dar kisha kukimbia, akamatiwa Lindi

Kwanini Yule mchina aliyeuwa mpenzi wake Hadi Leo hajakamatwa? Nashangaa wabongo wakifanya mauaji ni siku 3 Tu ameshadakwa ina maana Yule mchina anajua jinsi ya kukwepa POLISI tofauti na wabongo
Ukiwa na pesa hata ukijificha pale karibia na central police hautoonekana, wachina ni wazuri sana wa kuhonga pesa haswa wakiwa na majanga au wakiwa na jambo lao
 
Yaani badala ya kuvuka boda aende Msumbiji eti kaishia Lindi ndo kaona kajificha🤣🤣 hapo atakaa mahabusu miaka 9 kisha kifungo cha maisha wacha akaolewe jela
 
Human experience management
Gender: Male
Status: Shit head
Hisia usiziletee mzaha
 
Ukifanya uhalifu kwa bahat mbaya, make sure unatupa cm yako, usiwasiliane na watu wote unaowajua na wanaokujua, nenda sehem ambayo haina watu ambao unaweza kukutana nao na wanakufaham, usitumie mitandao ya kijamii, badirisha jina, badirisha muonekano wako na uvaaji wako... Ndio maana mnasikia kuna watu wanatafutwa miaka na miaka hawapatikani cha ajabu wanazunguka tu...
 
Mume dereva na mke ni kondakta.......huo ndio ubaya wa mke na mume kufanya kazi za sehemu moja,kudanganya huwezi
 
Kabisaaa
 
Mume dereva na mke ni kondakta.......huo ndio ubaya wa mke na mume kufanya kazi za sehemu moja,kudanganya huwezi
Hakuna sehemu taarifa inasema ni sehemu/daladala moja. Kwani haiwezekani ikawa ni route tofauti?

Mfano dereva aendeshe route ya Kimara-Posra halafu mke awe konda wa daladala la Mbagala Rangi Tatu - Mawasiliano?
 
Kwanini Yule mchina aliyeuwa mpenzi wake Hadi Leo hajakamatwa? Nashangaa wabongo wakifanya mauaji ni siku 3 Tu ameshadakwa ina maana Yule mchina anajua jinsi ya kukwepa POLISI tofauti na wabongo
Kwani hakuna watanzania waliowahi kuuwa wakakimbia mpaka Leo hawajapatikana?, wewe umeona mchina tu au vipi
 
Kwanini Yule mchina aliyeuwa mpenzi wake Hadi Leo hajakamatwa? Nashangaa wabongo wakifanya mauaji ni siku 3 Tu ameshadakwa ina maana Yule mchina anajua jinsi ya kukwepa POLISI tofauti na wabongo

Tangu lini maskini akawa na mbio zenye akili?
 
Hapa nina mashaka mchana kutwa wanashinda wote kazini kwao wakirudi wote wamechoka au abiria kaomba namba kwa kondakta?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…