Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Ukiwa na pesa hata ukijificha pale karibia na central police hautoonekana, wachina ni wazuri sana wa kuhonga pesa haswa wakiwa na majanga au wakiwa na jambo laoKwanini Yule mchina aliyeuwa mpenzi wake Hadi Leo hajakamatwa? Nashangaa wabongo wakifanya mauaji ni siku 3 Tu ameshadakwa ina maana Yule mchina anajua jinsi ya kukwepa POLISI tofauti na wabongo
Huo ndio umri wa kuuana unakuwa huna nguvu na bibie ndio anakuwa na hamu utachapiwa na bodabodaYaani siku hizi badala ya kuachana wanauana, nasubiri nifike 45 Inshaallah nitafute mtu mzima mwenzangu tutulie tuanze kumcha ALLAH basi
😳 serious? Bas nimekosea jirani!Jirani mbona sikumbuki hayo...
Nimesoma tena ndo nikaelewa,asanteMume ni dereva.
Mke ni kondakta.
Wote wanakua pamoja siku nzima.
Kuwa muelewa, unavuta bange?
Nilikuwa sjaisoma vzurSasa huyo mkewe si ndio alikuwa kunda wake
Mume dereva na mke ni kondakta.......huo ndio ubaya wa mke na mume kufanya kazi za sehemu moja,kudanganya huweziJeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limemkamata Maarifa Hadith Matala (45), Dereva wa daladala, mkazi wa Kimara Suka Golani Wilaya ya Ubungo kwa tuhuma za mauaji ya mpenzi wake, Sharifa Twaha Nyamaishwa (31), Kondakta wa Daladala aliyekuwa mkazi wa Kimara Suka Golani Wilaya ya Ubungo.
Inadaiwa Maarifa alimshambulia sehemu mbalimbali za mwili mpenzi wake huyo na kusababisha kifo chake, tukio hilo limetokea tarehe 16 Agosti 2022 huko maeneo ya Kimara Suka, na mara baada ya tukio hilo mtuhumiwa alitoweka.
Jeshi la Polisi baada ya kupata taarifa hiyo lilianza upelelezi na ufuatiliaji wa haraka na kufanikiwa kumkamata mtuhumiwa Mkoani Lindi alipokuwa amejificha.
Uchunguzi wa awali umebaini kuwa wapenzi hao walikuwa na migogoro inayosababishwa na wivu wa kimapenzi na kupelekea kugombana mara kwa mara, na mwili wa marehemu ulikutwa na majeraha.
Uchunguzi wa shauri hili unakamilishwa na mtuhumiwa atafikishwa Mahakamani haraka iwezekanavyo baada ya tuhuma hizo za kikatili uliovuka kiwango.
KabisaaaYaan Aliya Jana akakimbilia Lind haraf leo kakamatwa ?? Sasa alijifichaje yaan unakamatwa mapema hivi?
Mapenz haya yatatumaliza tuspokuwa makini, hasa hasa cm znachangia Sana kugombanisha na kusababisha migogoro na vifo kwa wanandoa!!
Zaman sm hazkuwepo na ndoa zlikuwa na aman, kwa hyo wanandoa tuwen Makin na cm zetu
[emoji28][emoji28][emoji28] hasara sana.Itakuwa hizi style mpya za kufinyia ndani na mlete mzungu ndo zinachangia....zamani ilikuwa kifo cha mende tu[emoji1787]
Hakuna sehemu taarifa inasema ni sehemu/daladala moja. Kwani haiwezekani ikawa ni route tofauti?Mume dereva na mke ni kondakta.......huo ndio ubaya wa mke na mume kufanya kazi za sehemu moja,kudanganya huwezi
Kwani hakuna watanzania waliowahi kuuwa wakakimbia mpaka Leo hawajapatikana?, wewe umeona mchina tu au vipiKwanini Yule mchina aliyeuwa mpenzi wake Hadi Leo hajakamatwa? Nashangaa wabongo wakifanya mauaji ni siku 3 Tu ameshadakwa ina maana Yule mchina anajua jinsi ya kukwepa POLISI tofauti na wabongo
Kwanini Yule mchina aliyeuwa mpenzi wake Hadi Leo hajakamatwa? Nashangaa wabongo wakifanya mauaji ni siku 3 Tu ameshadakwa ina maana Yule mchina anajua jinsi ya kukwepa POLISI tofauti na wabongo
Kwanini Yule mchina aliyeuwa mpenzi wake Hadi Leo hajakamatwa? Nashangaa wabongo wakifanya mauaji ni siku 3 Tu ameshadakwa ina maana Yule mchina anajua jinsi ya kukwepa POLISI tofauti na wabongo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Itakuwa hizi style mpya za kufinyia ndani na mlete mzungu ndo zinachangia....zamani ilikuwa kifo cha mende tu🤣