Dereva wa Dangote auawa na Polisi Lindi

"Akashuka na kisu akawajeruhi askari watatu"
DHIMA YA MWANDISHI
Mwandishi wa maudhui hii ya kipolis
Ni kuwachora polisi kama viumbe wapole na wastaarabu na wasio na papara
Pia mwandish amemchora marehemu dereva kama kiumbe mwenye wenge, mapepe, asiye na simile wala mswalie Mtume

KUFAULU KWA MWANDISHI
mwandishi hajafauli kabisa andiko lako linatiashaka mwanzo katikati na mwisho

KUFELI KWA MWANDISHI
mwandishi kafeli mwanzo katikati na mwisho ,ameanyosha viashiria vyote muhimu vya uzandiki na ulafi katika hadithi yake
 
[emoji16][emoji16][emoji16]uko vizuri
 
 

This is a cooked story, I dont trust sirro and his henchmen
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…