minded tips
JF-Expert Member
- Apr 29, 2018
- 479
- 859
lakini askari alifanikiwa kumdhibiti kwa kumpiga risasi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂Polisi wameokoka lini Kwamba kuanzia lini ni wakweli?
Polisi hawa wa sasa wanaaminika kweli! Si kwamba wamempora fedha na mali alizokuwa nazo na hatimaye kuanza kuokoteza sababu za kuhalalisha dhuluma yao kwake?Dereva wa gari la Dangote Ibrahim Said ameuawa na polisi baada ya kutaka kumnyang'anya askari bunduki.
Kamanda wa polisi mkoa wa Lindi Mtatiro Kitinki anasema dereva huyo alifika eneo la kizuizi cha polisi akiwa kwenye mwendo mkali na hakusimama na alilenga walipokuwa wamekaa askari na askari hao walilikwepa kisha gari likaingia msituni.
Dereva alishuka katika gari na kuwafuata askari huku askari wakidhani dereva yule ana nia ya kuomba radhi kwa alichokifanya lakini haikuwa hivyo na dereva huyo alitoa kitu mwilini kinachosadikiwa kuwa ni kisu na kuanza kumshambulia askari na kumjeruhi huku akitaka kumnyang'anya silaha lakini askari alifanikiwa kumdhibiti kwa kumpiga risasi.
Askari watatu walijeruhiwa katika tukio hilo.
Bongo hiii hiii au nyingine mkuuBody cam footage za hao polisi ziwekwe hadharani tujue ukweli ni upi.
Acha bangi wewe...body cam bongo! Khenge!Body cam footage za hao polisi ziwekwe hadharani tujue ukweli ni upi.
Body cam footage za hao polisi ziwekwe hadharani tujue ukweli ni upi.
Kama kweli alifanya hayo amepata alichokitafuta. RIP davoo.
Haya ni maelezo ya polisi au mashahidi? Polisi sio wakweli huenda walitaka kumwibia makaa ya mawe wakizani mkaa wa miti.Asee nimeiona hii habari hapa ITV. Kwamba dereva alitaka kuwagonga polisi kwa gari na baada ya wao polisi kukimbia gari ikagonga kichaka kisha dereva akashuka na kitu kama kisu kutaka kuwashambulia polisi na kuwanyang'anya bunduki ndio wakamchapa ganzi. 😂😂
Uchunguzi utafanyika na yatajulikana. Lakini kama kweli alitaka kuchukua silaha kwa nguvu kwa polisi anastahili alichopata.Kama hakufanya?