Dereva wa Dangote auawa na Polisi Lindi

Dereva wa Dangote auawa na Polisi Lindi

Polisiccm kwanini hawasemi kweli kuhusu kumpora Hamza mali yake? Kwanini hakuna uchunguzi huru ili kujua chanzo halisi cha Hamza kuamua kuwaua polisiccm tu na siyo raia?
Polisiccm ni magaidi na wanafanya unyama na ukatili wa kutisha nchi nzima zikiwemo dhuluma. Nchi ingekuwa ina utawala wa sheria basi hili jeshi lisingekuwa hivi lakini pamoja na Watanzania kulalamika kuhusu polisiccm na kuonyesha chuki kubwa dhidi ya polisiccm Serikali imepiga kimya tu huku polisiccm wakiendeleza udhalimu wa kutisha kote nchini.
Hata Hamza angepigwa risasi kabla hajafanya aliyoyafanya mngesema polisi ni waongo waliokubuhu.

Sometimes jipe muda wa kulitafakari jambo kabla hujaropoka, ukishakuwa na vielelezo unaweza kuja kutoa maoni yako
 
Nawajua polisiccm unadhani kwanini HAMZA Watanzania wengi walimuona ni shujaa? Unadhani kwanini polisiccm wanachukiwa sana na Watanzania wengi?
Shujaa kwa lipi?

Shujaa kwa kuondoa uhai wa watu wasio na hatia?

Shujaa kwa kusababishia watoto kubaki yatima baada ya kuwauwa wazazi wao.... tena wakiwa katika majukumu ya kuwatafutia ugali wa kila cku?

Shujaa kwa kuleta taharuki kwa abiria waliokua eneo lile?

Huu ushujaa wa Hamza utaonekana machoni mwa wapumbavu wachache wasiojua kureason mambo.
 
Polisiccm kwanini hawasemi kweli kuhusu kumpora Hamza mali yake? Kwanini hakuna uchunguzi huru ili kujua chanzo halisi cha Hamza kuamua kuwaua polisiccm tu na siyo raia?
Polisiccm ni magaidi na wanafanya unyama na ukatili wa kutisha nchi nzima zikiwemo dhuluma. Nchi ingekuwa ina utawala wa sheria basi hili jeshi lisingekuwa hivi lakini pamoja na Watanzania kulalamika kuhusu polisiccm na kuonyesha chuki kubwa dhidi ya polisiccm Serikali imepiga kimya tu huku polisiccm wakiendeleza udhalimu wa kutisha kote nchini.
Wewe unayejua aliporwa mali zake, unafanya nn mpaka saivi hujaenda kufungua kesi? Walau familia ya hamza ikuite HERO
 
Polisiccm kwanini hawasemi kweli kuhusu kumpora Hamza mali yake? Kwanini hakuna uchunguzi huru ili kujua chanzo halisi cha Hamza kuamua kuwaua polisiccm tu na siyo raia?
Polisiccm ni magaidi na wanafanya unyama na ukatili wa kutisha nchi nzima zikiwemo dhuluma. Nchi ingekuwa ina utawala wa sheria basi hili jeshi lisingekuwa hivi lakini pamoja na Watanzania kulalamika kuhusu polisiccm na kuonyesha chuki kubwa dhidi ya polisiccm Serikali imepiga kimya tu huku polisiccm wakiendeleza udhalimu wa kutisha kote nchini.
Acha kuishi na umbea kichwani mwako ndugu, leta vielelezo hapa vya kuporwa Mali za hamza.

Umesikia tu umbea pahali huna hata muda wa kutafakari na kujiuliza unabeba kama ulivyo, hii tabia ukiiendekeza itakuja kukupa matatizo ndugu
 
I think this story is not clear!

1.Alitaka gonga polisi wakakwepa
2.Akashuka na kisu akajeruhi watatu
3.Akataka kunyang'anya bunduki Kwa askari
4.Akapigwa risasi
5.Akafa
Mmmmmh
1.Akateswa
2.Akafa
3.Akashuka kuzimu
4.Siku ya Tatu akafufuka
5Akapaa Mbinguni
6.Ameketi mkono wa kuume wa Mungu baba kutoka huko atakuja hukumu walio hai na wafu.
🤔🤔🤔🤔🤔
 
Mkuki kwa nguruwe. Yuko wapi Akwilina, uchunguzi wa kupotea Ben Saanane, Azory Gwanda, miili iliyookotwa ufukweni mwa bahari, shambulizi la Lissu imekuwaje polisiccm wameshindwa kufanya uchunguzi huo na wahusika kupandishwa kizimbani!? Naam kwa udhalimu kama huu ambao polisiccm inafumba macho Serikali inafumba macho akitokea mtu kama Hamza basi Watanzania wanaodhulumiwa humuona ni SHUJAA.

Shujaa kwa lipi?

Shujaa kwa kuondoa uhai wa watu wasio na hatia?

Shujaa kwa kusababishia watoto kubaki yatima baada ya kuwauwa wazazi wao.... tena wakiwa katika majukumu ya kuwatafutia ugali wa kila cku?

Shujaa kwa kuleta taharuki kwa abiria waliokua eneo lile?

Huu ushujaa wa Hamza utaonekana machoni mwa wapumbavu wachache wasiojua kureason mambo.
 
Kwa ufinyu wako wa akili Hamza ambaye alikuwa ccm na wote waliomfahamu walimzungumzia vizuri ALIKURUPUKA TU bila sababu yoyote ile ya msingi na kuwaua polisiccm.



Acha kuishi na umbea kichwani mwako ndugu, leta vielelezo hapa vya kuporwa Mali za hamza.

Umesikia tu umbea pahali huna hata muda wa kutafakari na kujiuliza unabeba kama ulivyo, hii tabia ukiiendekeza itakuja kukupa matatizo ndugu
 
Acha kuishi na umbea kichwani mwako ndugu, leta vielelezo hapa vya kuporwa Mali za hamza.

Umesikia tu umbea pahali huna hata muda wa kutafakari na kujiuliza unabeba kama ulivyo, hii tabia ukiiendekeza itakuja kukupa matatizo ndugu
Na ndo tatzo letu watanzania mkuu. Umbea unakua habari kuu.
 
Dereva wa gari la Dangote Ibrahim Said ameuawa na polisi baada ya kutaka kumnyang'anya askari bunduki.

Kamanda wa polisi mkoa wa Lindi Mtatiro Kitinki anasema dereva huyo alifika eneo la kizuizi cha polisi akiwa kwenye mwendo mkali na hakusimama na alilenga walipokuwa wamekaa askari na askari hao walilikwepa kisha gari likaingia msituni.

Dereva alishuka katika gari na kuwafuata askari huku askari wakidhani dereva yule ana nia ya kuomba radhi kwa alichokifanya lakini haikuwa hivyo na dereva huyo alitoa kitu mwilini kinachosadikiwa kuwa ni kisu na kuanza kumshambulia askari na kumjeruhi huku akitaka kumnyang'anya silaha lakini askari alifanikiwa kumdhibiti kwa kumpiga risasi.

Askari watatu walijeruhiwa katika tukio hilo.
Hahahaaa! Wenzangu na mie msioamini hii taarifa tujuane mapemaaa
 
Polixi wa Tanzania aisee kmmqe!! Tume huru ichunguze matukio haya ya ndugu zetu kuuliwa hovyo! Huyu jamaa sitashangaa Uchunguzi huru ukibaini alimiminiwa risasi gari ikiwa kwenye mwendo
 
Dereva wa gari la Dangote Ibrahim Said ameuawa na polisi baada ya kutaka kumnyang'anya askari bunduki.

Kamanda wa polisi mkoa wa Lindi Mtatiro Kitinki anasema dereva huyo alifika eneo la kizuizi cha polisi akiwa kwenye mwendo mkali na hakusimama na alilenga walipokuwa wamekaa askari na askari hao walilikwepa kisha gari likaingia msituni.

Dereva alishuka katika gari na kuwafuata askari huku askari wakidhani dereva yule ana nia ya kuomba radhi kwa alichokifanya lakini haikuwa hivyo na dereva huyo alitoa kitu mwilini kinachosadikiwa kuwa ni kisu na kuanza kumshambulia askari na kumjeruhi huku akitaka kumnyang'anya silaha lakini askari alifanikiwa kumdhibiti kwa kumpiga risasi.

Askari watatu walijeruhiwa katika tukio hilo.
Ni siro tena
 
Back
Top Bottom