Gwajima
JF-Expert Member
- Sep 6, 2018
- 253
- 406
Kiundani zaidi Mbowe ni gaidi[emoji849].Mhhh hebu waelezee kwaundani ilikuaje-kuaje yaani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiundani zaidi Mbowe ni gaidi[emoji849].Mhhh hebu waelezee kwaundani ilikuaje-kuaje yaani.
Bora niamini Mimi sio binadamu kuliko kuwaamini polisi. Waseme sasi amepigwa sehemu gani tuanzr kichunguza. Hii mada inanikumbusha muvi ya kiusilamu, pale Yusuph alipobambikiwa kesi ya kumbaka mke wa mfalme na wakati mke die aliyetaka kumbaka Nabii wa MunguDereva wa gari la Dangote Ibrahim Said ameuawa na polisi baada ya kutaka kumnyang'anya askari bunduki.
Kamanda wa polisi mkoa wa Lindi Mtatiro Kitinki anasema dereva huyo alifika eneo la kizuizi cha polisi akiwa kwenye mwendo mkali na hakusimama na alilenga walipokuwa wamekaa askari na askari hao walilikwepa kisha gari likaingia msituni.
Dereva alishuka katika gari na kuwafuata askari huku askari wakidhani dereva yule ana nia ya kuomba radhi kwa alichokifanya lakini haikuwa hivyo na dereva huyo alitoa kitu mwilini kinachosadikiwa kuwa ni kisu na kuanza kumshambulia askari na kumjeruhi huku akitaka kumnyang'anya silaha lakini askari alifanikiwa kumdhibiti kwa kumpiga risasi.
Askari watatu walijeruhiwa katika tukio hilo.
Utafiti wako ulifanyia wapi wa kuwa watanzania wengi walimuona Hamza shujaa?? Weka data hadharani mkuuNawajua polisiccm unadhani kwanini HAMZA Watanzania wengi walimuona ni shujaa? Unadhani kwanini polisiccm wanachukiwa sana na Watanzania wengi?
Uchunguzi utafanyika na yatajulikana. Lakini kama kweli alitaka kuchukua silaha kwa nguvu kwa polisi anastahili alichopata.
Kama alisimamishwa akakaidi anastahili pia.
Tanzania tunakua na tabia ya ajabu ya kuona sisi tuna haki kuliko wengine. Polisi wangegongwa wafe mngeshabikia. Lakini hamtaki kuona kwamba raia pia wana makosa.
Sikatai kuwa polisi wanazingua lakini ni ukweli kwamba na sisi raia tuna makubwa ya ajabu tunayowafanyia.
Hamza alichukua silaha kwa nguvu kwa polisi yakatokea yaliyotokea.
RIP DAVOOO. ILA KAMA ULIZINGUA JUA UMEACHA MAJONZI KWA WANAO
Uchunguzi utafanyika na yatajulikana. Lakini kama kweli alitaka kuchukua silaha kwa nguvu kwa polisi anastahili alichopata.
Kama alisimamishwa akakaidi anastahili pia.
Tanzania tunakua na tabia ya ajabu ya kuona sisi tuna haki kuliko wengine. Polisi wangegongwa wafe mngeshabikia. Lakini hamtaki kuona kwamba raia pia wana makosa.
Sikatai kuwa polisi wanazingua lakini ni ukweli kwamba na sisi raia tuna makubwa ya ajabu tunayowafanyia.
Hamza alichukua silaha kwa nguvu kwa polisi yakatokea yaliyotokea.
RIP DAVOOO. ILA KAMA ULIZINGUA JUA UMEACHA MAJONZI KWA WANAO
Kwa nn iwe hvyoUchunguzi usipofanyika na yasipojulikana au ukifanyika na bado yasijulikane je?
Labda ukweli unao ww. Tuambie hapaKAMA sio kweli?
Sio lazima kuwepo lakini maelezi ya Kamanda wa Polisi Lindi yanamkanganiko.We jamaa bana 😂😂😂😂😂 kwani we ulikuwepo eneo la tukio?
Kwa nn iwe hvyo
Kuamini hili jambo linataka uwe na akili sijui za wapi, labda uazime fisiemu. Japo inawezekana kuwa kweli lakini mhuuuAsee nimeiona hii habari hapa ITV. Kwamba dereva alitaka kuwagonga polisi kwa gari na baada ya wao polisi kukimbia gari ikagonga kichaka kisha dereva akashuka na kitu kama kisu kutaka kuwashambulia polisi na kuwanyang'anya bunduki ndio wakamchapa ganzi. [emoji23][emoji23]
Yaani jamaa alishuka na kisu kwenda kuwanyanganya salaha police [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We jamaa bana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwani we ulikuwepo eneo la tukio?
Asee nimeiona hii habari hapa ITV. Kwamba dereva alitaka kuwagonga polisi kwa gari na baada ya wao polisi kukimbia gari ikagonga kichaka kisha dereva akashuka na kitu kama kisu kutaka kuwashambulia polisi na kuwanyang'anya bunduki ndio wakamchapa ganzi. [emoji23][emoji23]
Kitu kama kisu kitumike kumnyang'anya polisi bunduki. Askari walikuwa zaidi ya mmoja.Kutaka kumnyang’anya polisiccm silaha ni uongo wa hao jamaa ambao ni waongo WALIOKUBUHU.
Hata Hamza angepigwa risasi kabla hajafanya aliyoyafanya mngesema polisi ni waongo waliokubuhu.Kutaka kumnyang’anya polisiccm silaha ni uongo wa hao jamaa ambao ni waongo WALIOKUBUHU.