Dereva wa Dangote auawa na Polisi Lindi

Jeshi la polisi nchini linatakiwa kufumuliwa loooote!!! Na kama Samia haamini siku yatakapomkuta yeye mwenyewe binafsi asitulilie. Polisi wetu hawafai aisse. Kuqnzia sheria, muundo na baadhi ya maafisa hasa wa vyeo vya juu hawafai kabisa kuonekana katika sura ya jeshi la polisi makini
 
Kwasasa serikali haiamini kwamba siron na jeshi lake ni Vimeo Ila siku wakizingua kwenu (gvt) msiombe tuwasaidie kulia.
 
Nawajua polisiccm unadhani kwanini HAMZA Watanzania wengi walimuona ni shujaa? Unadhani kwanini polisiccm wanachukiwa sana na Watanzania wengi?
Usilete uchama hap... mbon hawaandamani kupinga tozo na bei za korosho hafifu?
 
naunga mkono hoja mkuu Tena inahitajika reformation ya kufa mtu Hawa wanatia kinyaa aisee daaa!
 
Usijifanye unawajua watanzania wakati hata mikoa mitano ya Tanzania hujafikisha...

Hyo habari nimeiona ITV ,Ni Kama ina ukakasi flani Mara waseme Ni jambazi Mara Ni dereva..
Na mpk dereva anashuka kwenye Gari alikuwa tayari ameacha njia imeenda kusimamia porini

Hatuwezi jua Ni kwa namna gani wale Askari waliisimamisha Gari mpk lipotee njia...

Majeruhi wenyewe hawajahojiwa na mwandishi Wala kuoneshwa sura km tunavyoona kwenye matukio mengine.

Tazama marudio ya taarifa halafu uje hapa useme police wanaonewa au la
 
Askari watatu mnamshindwa kumdhibiti mtu mmoja asiye na bunduki tena dereva na si jambazi mnaua
 
Acha kuishi na umbea kichwani mwako ndugu, leta vielelezo hapa vya kuporwa Mali za hamza.

Umesikia tu umbea pahali huna hata muda wa kutafakari na kujiuliza unabeba kama ulivyo, hii tabia ukiiendekeza itakuja kukupa matatizo ndugu
Kwahiyo mkuu wewe unaamin taarifa za Polisccm?
 
Reactions: BAK
Hata kamanda wa polisi kakangamia sana....roho ilikubali ila mwili ulikataa kabisa kutamka kilichotokea. Polisi hawaaminiki aisee. Kuna motive gani dereva afanye unyang'anyi wa silaha?
Imagine dereva atoke na kisu kwenda kuwanyanganya Police silaha tena za moto[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
 
Reactions: BAK
Nawajua polisiccm unadhani kwanini HAMZA Watanzania wengi walimuona ni shujaa? Unadhani kwanini polisiccm wanachukiwa sana na Watanzania wengi?
Ww mbwiga unakera sana kila kitu unaongea mafi mafi yako u ccm na chandema we bwege.
Hilo tukio linahusiana nini na vyama?
 
Inafikirisha kwakweli,ukiangalia taarifa hata daktari aliyepokea majeruhi na mfu anaongea kwa wasiwasi maana anajua anaongopa.
Kamanda ndo kabisaa unaona tu huyu mwongo huyu.
 
ALONE YO CANT FIGHT WIUH WORLD...
haiingii akilini kuanzia mwanzo wa tukio mpaka mwisho kama wewe una utimamu wa 100% basi utajua hapa hakuna ukweli wowote ni muvi imetengenezwa ili raia aonekane mwenye makosa heti jamaa paap ametaka kuwagonga akawakosa... mara paap akatoka na kitu.. kama kisu.... mara paap akataka kumunyang'anya afwande silaha hahaha wajomba sio kila anaesoma hayo maandishi ni TAHIRA kama walioamini huu ujinga anyway pongezi sana kwenu, (IN MRISHO MPOTO VOICE) LILIKUWA LIKIPAMBANA POLISI TUKARISHINDA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…