Dereva wa Mamlaka ya Bandari na wenzake wafikishwa Kizimbani kwa Wizi wa Mafuta lita Milioni 9

Dereva wa Mamlaka ya Bandari na wenzake wafikishwa Kizimbani kwa Wizi wa Mafuta lita Milioni 9

Nchi hii mtu akilala anawaza kuiba, akiamka anawaza kuiba tu

But nimependa upigaji wao sio wa laki 5 Wala Mil. 1
 
Msimsingizie, uoigaji ulikoma lini?

Tena kabla yake ndiyo watu walikuwa wanadhulumiwa kimachomacho kabisa. Bila aibu wala uoga.

Rejea sakata la GSM na Makonda.
Ni kweli kwamba sisi waafrika ni wezi, wavivu na wapenda shortcut sana sana, upigaji haujaanza kipindi cha Samia. Ila sasa hivi umezidi na yeye anaonekana yuko happy ili tu awe na uhakika wa kuendelea kuwa rais.
 
Ukute baadhi yao hapo hawana kitu washa T*mbea zote.
Na kesi ya hivyo bila pesa kulimwa mvua ni hakika
 
Hilo la kuiba nimelikubali wabongo wanaiba aisee.
Hao hawajaiba chochote. Inawezekana iko hv;
1. Kuna fitina (Husda)eneo la kazi na hao watajwa wakawa ndo mbuzi wa kafara.
2. Waliobaini au kugundua uwepo wa wizi huo hawana Utaalam au sio Wataalam wa mahesabu ya Mali (Stores) au Wajuvi wa mahesabu ya kifedha.
3. Hilo bomba linalodaiwa kuharibiwa ni bomba hewa - na kama watuhumiwa wakimpata Wakili msomi watachomoa kirahisi mno. Mwizi anaweza kuwa ni Tajiri mwenyewe.
 
Hakuna cha haki hapo, si hao tu.

Mmoja akilambwa risasi watatajana mlolongo mzima.


Siyo huko tu, idara zote za serikali na mashirika yote ya umma kuna wezi.

Wasiojulikana ndiyo ingekuwa kazi yao, kama wao wenyewe siyo wezi.
Hahahaa. Pale mwizi anapewa kazi ya kumkamata mwizi; halafu mwizi anapewa jukumu la kumwadhibu mwizi.
 
Ni kweli kwamba sisi waafrika ni wezi, wavivu na wapenda shortcut sana sana, upigaji haujaanza kipindi cha Samia. Ila sasa hivi umezidi na yeye anaonekana yuko happy ili tu awe na uhakika wa kuendelea kuwa rais.
Mmeshindwa kutiana adabu miaka yote mnategemea nini kutoka kwake?

Wekeni sharia, muone kama kutakuwa na wezi namna hiyo.
 
DEREVA wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) ,Tino Ndekela na wenzake saba, wamefikishwa mahakamani wakikabiliwa na mashitaka 20 liliwemo la wizi wa mafuta ya Petrol na dizel zaidi ya lota milioni 9.9 na kuisababishia hasara Kampuni ya Kimataifa ya kuhifadhi Mafuta (TIPER) Tanzania ya zaidi ya sh bilioni 26.

Washitakiwa wengine katika kesi hiyo ni mfanyabiashara Fikiri Kidevu, Amani Yamba, Mselem Abdallah , Kika Sanguti, Twaha Salum, Gaudence Shayo na Hamisi Hamisi, ambao walisomewa mashitaka yao katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam jana, mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu Beda Nyaki.
Washitakiwa hao walisomewa mashitaka yao na wakili wa serikali Cathbert Mbilingi ambapo alidai walitenda makosa hayo kati ya Januari mosi mwaka 2019 hadi Desemba 31 mwaka 2022, eneo la Tungi, Kigamboni , Dar es Salaam.

Soma Pia: Wafanyakazi wa Boma la Mafuta (EACOP) wafikishwa Mahakamani kwa wizi wa Mafuta Lita 7,441

Akiwasomea mashitaka hayo ilidaiwa kwamba, wanakabiliwa na mshitaka mawili ya uharibifu wa mali wanayodaiwa kutenda kati ya Januari mosi mwaka 2019 na Desemba 31 mwaka 2022 Kigamboni ambapo waliharibu bomba la kusafirishia mafuta aina ya petroli na Dizel mali ya kampuni ya Tiper.
Kama walijipanga....kwa mzigo wote huo..!! issue ndogo sana hiyo.
 
Back
Top Bottom