Derick Derick Junior aliyemjeruhi mtu kwa Bastola (Club 1245) aachiwa kwa Dhamana

Naonakabisa
Naona kabisa mpk alietendewa keshakubali maana ili jamaa apewe dhamana ilitakiwa usalama wa yule aliepigwa ujulikane kaumia Kwa kisasi gani sasa kaka Hadi kafika mahakamani ni ili kukuonesha hakimu kua afya yake sio mbaya sana
 
Imekuwaje alipomjeruhi Bujuru alituonyesha hadharani na akiwa na Jeuri zote, ila leo huko Polisi katokea Mlango wa nyuma?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…