Derick Derick Junior aliyemjeruhi mtu kwa Bastola (Club 1245) aachiwa kwa Dhamana

Derick Derick Junior aliyemjeruhi mtu kwa Bastola (Club 1245) aachiwa kwa Dhamana

Watu wa Masaki walikua wanatusema Sana sisi wa Kimara.
",Eti siwezi kwenda bar za uswazi ambàko naweza kupasuliwa jicho na chupa ya pombe. Kumbe huko kwao Madaki ndio ovyo kabisa, unaweza ukashonwa risasi halafu kirahisi tu muuaji anapewa dhamana.
Kuanzia Leo pombe zangu no huku Kimara au nikienda mbali Ni Goba.
Inawezekana kila mlevi Masaki ana bastola ndio maana sikuona jamaa wakishangaa. Ingekua huku Kimara mtuhumiwa angekua kwenye friji Muhimbili.
 
Kwa maadili ya utumishi wa umma, alipaswa kunyang'anywa silaha na kupigwa marufuku kutotumia tena silaha, lakini kama ni mtumishi anapaswa kufukuzwa kazi na kulipwa haki kwa kosa la kukiuka maadili na kushindwa kuishi vyema na jamii akiwa mtumishi wa umma.

Kama ni usalama, ndio kabisaa, anapaswa kufukuzwa kazi kabisa bila discussion, Hawaii kuhudumu kitengo kwa tabia hiyo ya kuvimbisha shingo.
 
Hawa vijana wa TISS wapuuzi sana wote ninao wafahamu nkipiga nao story huwa wanajiona miungu watu wako juu ya sheria na njaa zao, tuna safari ndefu sana
Tatizo mnakuwa na Uvccm na visuti vyao vya mchongo wanajifanya Tiss.

Pamoja na mapungufu yote ya nchi yetu huyo Pimbi angekuwa Tiss kweli DSO angekwenda Polisi kuchukuwa kitambulisho chao na wanakuacha upambane na hali yako na ndio finito imetoka hiyo.
 
Kwa maadili ya utumishi wa umma, alipaswa kunyang'anywa silaha na kupigwa marufuku kutotumia tena silaha, lakini kama ni mtumishi anapaswa kufukuzwa kazi na kulipwa haki kwa kosa la kukiuka maadili na kushindwa kuishi vyema na jamii akiwa mtumishi wa umma.

Kama ni usalama, ndio kabisaa, anapaswa kufukuzwa kazi kabisa bila discussion, Hawaii kuhudumu kitengo kwa tabia hiyo ya kuvimbisha shingo.
Tanzania yetu bado ipo kwenye ujima,baadhi ya watu wapo juu ya sheria ikiwa hata nchi jirani tu washatoka kwenye ujima huo,yule jamaa ukiangalia mwenendo ulivyo hamna mwenye uwezo wa kumfukuza,sana atabadilishwa kituo,angalia matamko yaliyotoka huko juu baada ya tukio la jamaa na tukio ya yule dada aliempiga mwanae mbezi
 
Kuna mtu juzi kaonekana kumpiga kijana mujulu sijui ambaye alikua na binamu yake hawa ma vibinti vya mtaani slayqueen..
Ushahidi upo,alichofanya wakuja.
Cha kushangaza huyu jamaa yupo mtaani saa hii,yupo na kila kitu chake.
Kisa atalipa mil 8 fidia.
Mjaribu kuangalia hao watu wenu mtaani huku tusije kulaumiana.
Na badae msiseme hatukusema.
 
Tuseme ndo imeisha hvyo au..
Mtu yuko TRA unategemea nini? Huyo mtu ni hatari bado anapewa dhamana.
Aliyejeruhiwa aombee polisi wamkutanishe na mtuhumiwa wamalizane apewe chochote kitu la sivyo hata ambulia chochote.
 
Back
Top Bottom