Derick Derick Junior aliyemjeruhi mtu kwa Bastola (Club 1245) aachiwa kwa Dhamana

Derick Derick Junior aliyemjeruhi mtu kwa Bastola (Club 1245) aachiwa kwa Dhamana

Afisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Derick Derick Junior (36) amefikishwa katika Mahakama ya Kinondoni akikabilia na mashtaka mawili ikiwemo kutishia kwa silaha.

Mshtakiwa amefikishwa mahakamani hapo leo, huku akisomewa mashtaka yake mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi, Hakimu Mfawidhi Is-haq Kuppa huku aliyejeruhiwa pia akifika mahakamani hapo.

Inadaiwa alitenda makosa hayo Oktoba 27, 2024 maeneo ya Masaki ‘1245 night club’ Kinondoni jijini Dar es Salaam ambapo alimjeruhi kijana Julian Bujuru kwa kumpiga na kitako cha bastola.

Pia inadaiwa alimjeruhi Julian Bujuru sehemu ya jicho na pua.

Soma Pia: Polisi wamtia mbaroni anayedaiwa kuwa "Afisa Usalama" aliyemjeruhi raia kwa 'kitako cha bunduki'

Baada ya mshtakiwa kusomewa mashtaka hayo alikana makosa, huku mahakama ikimpa masharti ya dhamana ya mtumishi wa umma atakayesaini bondi ya Shilingi Milioni Nane.

Mtuhumiwa huyo alitimiza masharti hayo ambapo kesi hiyo imeahirishwa hadi Novemba 20, 2024 itakapoitwa tena mahakamani kwa ajili ya kutajwa.

Hata hivyo mtuhumiwa aliweza kutokea mlango wa nyuma ili kukwepa mapaparazi ambao walijipanga maeneo hayo.
Rip magufuli
 
Afisa na huyo mwenzake wote wapumbavu miaka hii kweli wanaume mnatukanana, kupigana na kutoana damu kisa malaya wa club za usiku?

Kizazi hiki cha wanaume kinazidi kuongezeka kwenye sifa ya ujinga.

Hata wanawake watakuwa wanatushangaa. Kweli malaya wa kufanya mtoane ngeu?

Mwanaume yoyote anayepigana na mwanaume mwenzake kwa sababu ya mwanamke ni simp

Usenge mtupu kmmmk
 
Imekuwaje alipomjeruhi Bujuru alituonyesha hadharani na akiwa na Jeuri zote, ila leo huko Polisi katokea Mlango wa nyuma?
Kwanza kwa nini mahakama iruhusu milango ya nyuma iruhusu kupitisha watuhumiwa? Mimi ndio maana sipotezagi muda wangu kukaa juani kupiga kura, wanaonufaika na mifumo ni watu wachache na familia zao huo ndio ukweli, wengine tupambane na maisha hadi kieleweke
 
Ila mahakama jamani tarehe inapangwa mbali au ndiyo imeisha hiyo.halafu lituhumiwa et linakana halijafanya.huyu alitakiwa kula kichapo cha nguvu kama alivyomuumiza jamaa
Kukana ni hatua ya kutengeneza mazingira mpaka itakapotajwa tena mahakamani. Angekubali tu maanake hakuna haja ya ushahidi na hakimu anasoma hukumu na mchezo unaisha. Jamaa atafungwa ila ataenda kutokea gerezani kwa rufaa ndani ya wiki tu
 
Afisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Derick Derick Junior (36) amefikishwa katika Mahakama ya Kinondoni akikabilia na mashtaka mawili ikiwemo kutishia kwa silaha.

Mshtakiwa amefikishwa mahakamani hapo leo, huku akisomewa mashtaka yake mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi, Hakimu Mfawidhi Is-haq Kuppa huku aliyejeruhiwa pia akifika mahakamani hapo.

Inadaiwa alitenda makosa hayo Oktoba 27, 2024 maeneo ya Masaki ‘1245 night club’ Kinondoni jijini Dar es Salaam ambapo alimjeruhi kijana Julian Bujuru kwa kumpiga na kitako cha bastola.

Pia inadaiwa alimjeruhi Julian Bujuru sehemu ya jicho na pua.

Soma Pia: Polisi wamtia mbaroni anayedaiwa kuwa "Afisa Usalama" aliyemjeruhi raia kwa 'kitako cha bunduki'

Baada ya mshtakiwa kusomewa mashtaka hayo alikana makosa, huku mahakama ikimpa masharti ya dhamana ya mtumishi wa umma atakayesaini bondi ya Shilingi Milioni Nane.

Mtuhumiwa huyo alitimiza masharti hayo ambapo kesi hiyo imeahirishwa hadi Novemba 20, 2024 itakapoitwa tena mahakamani kwa ajili ya kutajwa.

Hata hivyo mtuhumiwa aliweza kutokea mlango wa nyuma ili kukwepa mapaparazi ambao walijipanga maeneo hayo.
Si angewekwa kwenye mikono salama ya Polisi kama Boni Yai aisee!
 
Back
Top Bottom