Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hata mimi nimeambiwa hivyoImeisha iyo...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mimi nimeambiwa hivyoImeisha iyo...
Wanawake hawa hawa wa Kibongo wanaoridhika kwa kuombwa Msamaha wa Pesa na Kupigwa Pumbu ya maana?akifika nyumbani anakutana na kesi ya kujibu kwa mkewe
Hujui maana ya Mahakama??Kwahiyo Polisi wamemtoa kibosi kupitia mlango wa nyuma?..wapuuzi kweli!..
Unauliza utumbo gani hapa?.Hujui maana ya Mahakama??
Rip magufuliAfisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Derick Derick Junior (36) amefikishwa katika Mahakama ya Kinondoni akikabilia na mashtaka mawili ikiwemo kutishia kwa silaha.
Mshtakiwa amefikishwa mahakamani hapo leo, huku akisomewa mashtaka yake mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi, Hakimu Mfawidhi Is-haq Kuppa huku aliyejeruhiwa pia akifika mahakamani hapo.
Inadaiwa alitenda makosa hayo Oktoba 27, 2024 maeneo ya Masaki ‘1245 night club’ Kinondoni jijini Dar es Salaam ambapo alimjeruhi kijana Julian Bujuru kwa kumpiga na kitako cha bastola.
Pia inadaiwa alimjeruhi Julian Bujuru sehemu ya jicho na pua.
Soma Pia: Polisi wamtia mbaroni anayedaiwa kuwa "Afisa Usalama" aliyemjeruhi raia kwa 'kitako cha bunduki'
Baada ya mshtakiwa kusomewa mashtaka hayo alikana makosa, huku mahakama ikimpa masharti ya dhamana ya mtumishi wa umma atakayesaini bondi ya Shilingi Milioni Nane.
Mtuhumiwa huyo alitimiza masharti hayo ambapo kesi hiyo imeahirishwa hadi Novemba 20, 2024 itakapoitwa tena mahakamani kwa ajili ya kutajwa.
Hata hivyo mtuhumiwa aliweza kutokea mlango wa nyuma ili kukwepa mapaparazi ambao walijipanga maeneo hayo.
Kwanza kwa nini mahakama iruhusu milango ya nyuma iruhusu kupitisha watuhumiwa? Mimi ndio maana sipotezagi muda wangu kukaa juani kupiga kura, wanaonufaika na mifumo ni watu wachache na familia zao huo ndio ukweli, wengine tupambane na maisha hadi kielewekeImekuwaje alipomjeruhi Bujuru alituonyesha hadharani na akiwa na Jeuri zote, ila leo huko Polisi katokea Mlango wa nyuma?
Utumbo wa BabaakoUnauliza utumbo gani hapa?.
Mke gani anaachwa usiku mume anakwenda kutafuta wanawake asio wajua?
Atakua boya fulani tu linalala chumbani kwa Derick.
Ukiona mtu anaitwa 'junior' ujue huyu Ni Mama's boy, maadili Ni zero.
Kukana ni hatua ya kutengeneza mazingira mpaka itakapotajwa tena mahakamani. Angekubali tu maanake hakuna haja ya ushahidi na hakimu anasoma hukumu na mchezo unaisha. Jamaa atafungwa ila ataenda kutokea gerezani kwa rufaa ndani ya wiki tuIla mahakama jamani tarehe inapangwa mbali au ndiyo imeisha hiyo.halafu lituhumiwa et linakana halijafanya.huyu alitakiwa kula kichapo cha nguvu kama alivyomuumiza jamaa
Hii nchi ukiwa Mtumishi na unakacheo basi unalindwa yaani ni km upo juu ya shrea teyari..Amepewa dhamana polisi ama mahakamani?
Mahakama imempa dhamana, sasa kuhusu pa kutokea polisi wanahusikaje?
Anyway aje kitaa kuna mahakama ya wahuni aadhibiwe na jaji mhuni, hatumuachi salama
Si angewekwa kwenye mikono salama ya Polisi kama Boni Yai aisee!Afisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Derick Derick Junior (36) amefikishwa katika Mahakama ya Kinondoni akikabilia na mashtaka mawili ikiwemo kutishia kwa silaha.
Mshtakiwa amefikishwa mahakamani hapo leo, huku akisomewa mashtaka yake mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi, Hakimu Mfawidhi Is-haq Kuppa huku aliyejeruhiwa pia akifika mahakamani hapo.
Inadaiwa alitenda makosa hayo Oktoba 27, 2024 maeneo ya Masaki ‘1245 night club’ Kinondoni jijini Dar es Salaam ambapo alimjeruhi kijana Julian Bujuru kwa kumpiga na kitako cha bastola.
Pia inadaiwa alimjeruhi Julian Bujuru sehemu ya jicho na pua.
Soma Pia: Polisi wamtia mbaroni anayedaiwa kuwa "Afisa Usalama" aliyemjeruhi raia kwa 'kitako cha bunduki'
Baada ya mshtakiwa kusomewa mashtaka hayo alikana makosa, huku mahakama ikimpa masharti ya dhamana ya mtumishi wa umma atakayesaini bondi ya Shilingi Milioni Nane.
Mtuhumiwa huyo alitimiza masharti hayo ambapo kesi hiyo imeahirishwa hadi Novemba 20, 2024 itakapoitwa tena mahakamani kwa ajili ya kutajwa.
Hata hivyo mtuhumiwa aliweza kutokea mlango wa nyuma ili kukwepa mapaparazi ambao walijipanga maeneo hayo.