hahahah usijal eddy karibu sanaoh...nitakutafuta pengine na mimi nitaanza kuzitafuta kama wewe unavyozitafuta...mpendwa wangu
Hahahaaa! Nikipashwa utanitetea eeeacha woga shost we sifia tu
asante...wikiend wapi...?hahahah usijal eddy karibu sana
nitakutetea wala usiwe na hofuHahahaaa! Nikipashwa utanitetea eee
hahhahah unataka fakalava aje na povu mm sina ata no yakeNikajua utamwita maana una namba yake
kwaresma hii eddyasante...wikiend wapi...?
Hahahaaanitakutetea wala usiwe na hofu
Ha ha ha ndio tushatajwa wawil tu nyie wengne ni vionjoshost unataka kujaza bus ujue umeambiwa wawili tu [emoji23]
Kabisa mana kama nkujuavyo marafiki zako unaweza kujaza costa.acha si mtihani huo jamaan
sawa bossHa ha ha ndio tushatajwa wawil tu nyie wengne ni vionjo
hahaha Daby hajatutendea vizuri ujue angeweka ata list ya watu 10Kabisa mana kama nkujuavyo marafiki zako unaweza kujaza costa.
Nashukuru kwa kutambua uwepo wanguKwangu wa kwanza BAK kwanza nionavyo atakuwa umri umeenda kwani ana heshima zake pia ni mfuatiliaji mzuri wa mambo ya siasa , mpenda mpira pia nionavyo na kwenye muziki hayupo nyuma. Kiufupi huwa nafurahi nikiona michango yake popote lazima niipitie kwani najua nitapata kitu sitaondoka bure.
Wa pili ni huyu mtu mmoja Bonny sijui huwa anajichimbiaga wapi mana anaonekana kwa mikatiko , nionavyo naye huyu anajielewa ndio mana anapenda kuchagua thread za kucomment japo kwa upande mwingine naye ni kama Asprin mana ukiingia kwenye anga zake utajuta kwa hayo mashushu na maneno ya mkato.
Wapo wengine wengi ila ndio idadi inabana. Sakayo
Shunie
Raimundo
Numbisa
Asprin
Bob12
Transcend na wengine wengi pia nawakubali vibaya mno.
ngoja nianze na hawa
Daby huyu mtu nje ya jf anaonekana mtata yaan kama demu umetongozwa nae halaf umemlia hela yake atahakikisha mpk
akukule afidie hasara zake
STUNTER aisee huyu chalii anaonekana nje ya jf bonge la msela yaan muhuni flan hivi bangi mkononi mshaelewa mtu wa hivyo yupoje
Sakayo huyu kutokana na nilivyomzoea nje ya jf anaonekana mpole sana tofauti akiwa jf
Daby kwann watu wachache niruhusu bas kesho niendelee niwataje kina Emmyta
Mie kwa ruhusa yako ntaweka watatu kama hutajal maana wawil ni mtihanHahaha... nimemwona bonny anakuja
Huku
Yaani! Sijui kwa nini etihahaha Daby hajatutendea vizuri ujue angeweka ata list ya watu 10
hahahah ww nilivyokutaja upo hivyohivyo Emmy njo umsikie DabyTeh teh ....ungejua mimi kateksta haha.
Emmy hana tatizo najua roho haijamuuma.