Detention Register: Jaji Tiganga yuko Majaribuni - Kiza Kinene

Huyu jaji aweza kuvuliwa ujaji wake , subirini .
 

 
thubutu! nani awape wa utetezi? Hukusikia mwanasheria wa tigo akikuambia wanafuata maagizo ya watawala!?

1. Tupo sympathizers kibao hadi 92kj ije kuwa kwenye makampuni hayo?

2. Amri ya mahakama inaweza kutumika pia.

Kwanini kuandikia mate?
 
Kuna mhimili uliojichimbia chin zaid in jiwe voice
 
Mkuu itoshe tu kusema kule Dodoma, wakati Tundu Lisu anamiminiwa risasi, cctv zilikuwepo na zilikuwa zinafanya kazi!

Pamoja na yote. Kwa vile hawafai haki ni muda wa kuvaana nao head-on.

Movements zao Mosh - Arusha - Moshi - Dar - Mbweni hazitawaacha salama.

CCTV central Zije zipatikane pia.

Taabu iko wapi?
 
Nani atatoa hizo data,polisi haiwezi kujichunguza
 
Huyo Jaji yuko kwenye mission maalum ndiyo maana anafanya fyongo za wazi hadi yeye mwenyewe anaona aibu anaishia kutazama chini.
 
thubutu! nani awape wa utetezi? Hukusikia mwanasheria wa tigo akikuambia wanafuata maagizo ya watawala!?

Mpaka tuseme ma sympathizers tupo?

Mahakama hutoa amri pia.

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Daaah, wewe unaufumbuzi wa tatizo wasiloweza kulikubali wahusika wote wa upande huo.
Na kwa vile wao ndio waonyesha shoo yao, huwezi kupata ushirikiano wowote juu ya kazi hiyo.
 
Daaah, wewe unaufumbuzi wa tatizo wasiloweza kulikubali wahusika wote wa upande huo.
Na kwa vile wao ndio waonyesha shoo yao, huwezi kupata ushirikiano wowote juu ya kazi hiyo.
Hili jambo litakuja ibuka tu muda si punde maana hakuna namna ya judge kujua kama walikuwepo au hawakuwepo.. movement orders za radio calls haswa kwenye servers and minara ya mawasiliano. Movement za magari yaliyotumiwa kuwasafirisha sehemu mbalimbali , cctv ambazo zinaweza onesha magari ya polisi yakienda huko cetre , maadam wametaja muda , tarehe na mwaka , ushahidi uko wazi, si lazima utoke polisi (Wanaweza kuuchakachua, lakini computer itasema kama wali edit na kuchakua- wataalam wa comouter forensic wanajua nachosema), hata watu binafsi pia wanaweza leta kama wanazo hizo videos... ni lazima sasa tushirikiane ili mapolisi watuambie ni gari gani walitumia, number plates za magari hayo na , saa ngapi , walikuwa wapi , mahala gani, sehemu gani ili tuweze kukonect dots kama wanasema ukweli au la , vinginevyo hii kesi ni isidingo tu kwa mawakili wa serikali kuchukulia uzoefu wa kazi kutoka kwa wenzao wa private practice...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…