Nikupe siri moja ambayo watu wengi hawaifatilii.
Wakiendelea kufanya uonevu wa kiwango hiki wanachofanyiwa akina Mbowe.
Tena kwa kiburi,na zaidi kwa kutumia na kutegemea nguvu za dola,fedha ama mabavu waliyonayo.
Naye unayemuonea akawa hana namna ya kujitetea kwa namna yoyote ile.
Nakuhakikishia kwa kiapo.HAKI YA MUNGU,Mungu mwenyewe huingilia Kati kuja kujibu kwa niaba ya wanaoonewa..
Kwa kuthibitisha hilo la mtu "kumshudia" mtu mwingine uongo,yaani kutoa ushahidi wa uongo. Kama wafanyavyo hao mawakili wa serikali,majaji,mashahidi na Mapolisi.
Mungu alitunga Sheria kali(amri) isemayo usishuhudie uongo au usiseme uongo.
Kwa kuwa Wana nguvu watajiona hawajali,lakini subiri majibu ya Mungu.