Ninavyojua Azim na Gulam ni mtu na mdogo wake toka nitoke. Na Mo anamuita Azim Baba mdogo kwa maana ni mdogo wa Gulam ambaye Baba yake MoAzim dewji ni ndugu yake Gulamabbas dewji. Huyo Gulamabbas ndio Baba yake Mo Dewji. Huyo Gulam ndio muanzilishi wa hiyo kampuni ya familia ya akina Mo. Hao ndio waanzilishi wenye mzigo wenyewe, huyo Mo kaikutia kampuni katikati. Wengine wanasema Mo ni msimamizi wa mali, wengine wanasema Mo ni muuza duka tu.
Ninavyojua Azim na Gulam ni mtu na mdogo wake toka nitoke. Na Mo anamuita Azim Baba mdogo kwa maana ni mdogo wa Gulam ambaye Baba yake Mo
Hiyo historia nishawahi kusikia. Wanasema nchi nyingi za kiafrika zilivurugika baada ya wamatumbi kuwa na hela na kuamua kufadhili waasi kivita au kupindua viongozi. Labda mwalimu aliogopa kupinduliwaMwl Nyerere aliamua,watz asili ya Asia wawe matajiri kuliko wazawa!!
Dr.Reginald Mengi aliandika kwenye kitabu chake Cha I can,I must and I Will!
Ndio maana matajiri wanaoeleweka hapa tz no hao waaarabu na wahindi !sisi wamatumbi hata ufanyaje utaanguka tu!!
Vuta picha top five yote ni hao tu!
Nadhani
Unaushahidi?Hawa wezi walionunua mali za uma kwa bei za kutupa baada ya kutoa rushwa waache kuropoka.
Mi vijembe hivi ndonapenda!Haya nawe tuambie wewe ni bao la wapi? Kwa lugha hizi unaweza kuwa ni bao la kwenye chang'aa
Unawakumbuka wale wa vibubu?It's all about perception; As a Motivation to People well and good..., lakini kama msomaji kila ukiambiwa na mtu alichofanya usichukulie maneno anayokwambia kama ndio msaafu..... kuna Nuts and Bolts huwa hazisemwi....
🙌🏿Unawakumbuka wale wa vibubu?
Walivyokuja kuswendemwa maisha, ndo kila mtu alibakia ghaa!
Kitu cha kujifunza hapo huwezi kuwa tajiri kwa kupenda kusaidia kila mtuMfanyabiashara mkubwa nchini Azim Dewji, ameweka wazi kuwa biashara yake ya kwanza kuifanya ilikuwa ni kuuza mafuta ya Taa.
Akifanya mahojiano na CloudsTv Dewji amesema,
"Biashara yangu ya kwanza nilinunua gari kwa mkopo, nikawa na gari lakini tulikuwa tunanunua mafuta ya taa kwenye madebe tunapeleka vijijini kwenda kuuza, wale wanapata huduma sisi tunapata kipato, ndio biashara ya kwanza kufanya."-Azim Dewji
Kwa upande mwengine Dewji ameelezea maisha ya dhiki waliyokuwa wanaishi,
"Maisha yetu hayakuwa mazuri sana, baba alikuwa sio tajiri. Alikuwa mtu wa kipato cha kati lakini alifariki akiwa maskini kwa sababu alikuwa hapendi kukaa na mali. Alipokuwa anakuja mtu mwenye shida basi yeye alikuwa anampatia"-Azim Dewji
Written by Mjanja M1 [emoji3578]
Azim ni baba yake mdogo na mo dewji...azim nae alikua tajiri akayumba sijui kwasasa anafanya biashara ganiHahah Akija mo dewji na yeye atakuambia alianza kuuza njugu kama machinga
Mtu na baba yake mdogo,gullam dewji ni kaka yake azim dewji...mo ni mtoto wa gullamAzim Dewji na Mo dewji uhusiano wao ukoje ?
BORA LA CHANG'AA HILI NI LA CHOONI KABISA!Haya nawe tuambie wewe ni bao la wapi? Kwa lugha hizi unaweza kuwa ni bao la kwenye chang'aa
Mafuta ya taa yana rangi nyeupe?Mfanyabiashara mkubwa nchini Azim Dewji, ameweka wazi kuwa biashara yake ya kwanza kuifanya ilikuwa ni kuuza mafuta ya Taa.
Akifanya mahojiano na CloudsTv Dewji amesema,
"Biashara yangu ya kwanza nilinunua gari kwa mkopo, nikawa na gari lakini tulikuwa tunanunua mafuta ya taa kwenye madebe tunapeleka vijijini kwenda kuuza, wale wanapata huduma sisi tunapata kipato, ndio biashara ya kwanza kufanya."-Azim Dewji
Kwa upande mwengine Dewji ameelezea maisha ya dhiki waliyokuwa wanaishi,
"Maisha yetu hayakuwa mazuri sana, baba alikuwa sio tajiri. Alikuwa mtu wa kipato cha kati lakini alifariki akiwa maskini kwa sababu alikuwa hapendi kukaa na mali. Alipokuwa anakuja mtu mwenye shida basi yeye alikuwa anampatia"-Azim Dewji
Written by Mjanja M1 ✍️
Ninavyojua Azim na Gulam ni mtu na mdogo wake toka nitoke. Na Mo anamuita Azim Baba mdogo kwa maana ni mdogo wa Gulam ambaye Baba yake Mo
Mbona Manjagata anadai yupo top 5?Mwl Nyerere aliamua,watz asili ya Asia wawe matajiri kuliko wazawa!!
Dr.Reginald Mengi aliandika kwenye kitabu chake Cha I can,I must and I Will!
Ndio maana matajiri wanaoeleweka hapa tz no hao waaarabu na wahindi !sisi wamatumbi hata ufanyaje utaanguka tu!!
Vuta picha top five yote ni hao tu!
Nadhani
Mtu anayetoa msaada kwa kila anayemjia sio masikini!Mfanyabiashara mkubwa nchini Azim Dewji, ameweka wazi kuwa biashara yake ya kwanza kuifanya ilikuwa ni kuuza mafuta ya Taa.
Akifanya mahojiano na CloudsTv Dewji amesema,
"Biashara yangu ya kwanza nilinunua gari kwa mkopo, nikawa na gari lakini tulikuwa tunanunua mafuta ya taa kwenye madebe tunapeleka vijijini kwenda kuuza, wale wanapata huduma sisi tunapata kipato, ndio biashara ya kwanza kufanya."-Azim Dewji
Kwa upande mwengine Dewji ameelezea maisha ya dhiki waliyokuwa wanaishi,
"Maisha yetu hayakuwa mazuri sana, baba alikuwa sio tajiri. Alikuwa mtu wa kipato cha kati lakini alifariki akiwa maskini kwa sababu alikuwa hapendi kukaa na mali. Alipokuwa anakuja mtu mwenye shida basi yeye alikuwa anampatia"-Azim Dewji
Written by Mjanja M1 [emoji3578]