Dewji: Biashara yangu ya kwanza nilikuwa nauza Mafuta ya Taa, Baba yetu alikufa masikini

Dewji: Biashara yangu ya kwanza nilikuwa nauza Mafuta ya Taa, Baba yetu alikufa masikini

Gari yako ya kwanza ulienda Kukopa, ulikopa Wapi...!? Kwa dhamana gani....!?

Ulikopa Gari then ndo ukaanza biashara yako ya kwanza kuuza Mafuta ya Taa...!

Nyie hamkua Masikini, story za aina hii hazimsaidii ama kum motivate Masikini, ambaye hawezi hata kukopesheka kwa Pikipiki....!

Mimi nataka kusikia kama hivi....!

Nilichukua Gunia 3 za mahindi ambazo nilivuna baada ya kulima kwa mkono, Gunia 2 nikaenda kuuza, Gunia moja nikasaga Unga, nikanuua Mafuta, Dagaa, Panga, Shoka n.k.
Nikaenda msituni kukata miti na kuchoma mkaa, mkaa wangu wa kwanza kuchoma nikapata Gunia 15, nikauza nikapata laki 3, nikachoma tena mkaa nikapata laki 5...! Nikaenda wilayani kununua hiki na hiki, nikaenda kuuzachuku na huku n.k

Tunataka mifano halisi kama hii....!

Sio unatuambia tu Biashara ya kwanza ya Azam ilikua Bakery ya kutengeneza Mikate.....!

Alipata wapi pesa za kuanzisha kiwanda cha kutengeneza mikate hamsemi....!

Hatutaki hizo story.....! Tunataka mtiririko unaoeleweka tokea chini.

Kuna level za utajiri na umasikini pia .

Mwingine akiingiza mil 20 kwa mwezi atasema yeye ni masikini ,lakini wewe unaona ni mwenye pesa .



labda anamaanisha umasikini wa chini ya dola milioni moja wa baba yake .
 
Kuna level za utajiri na umasikini pia .

Mwingine akiingiza mil 20 kwa mwezi atasema yeye ni masikini ,lakini wewe unaona ni mwenye pesa .



labda anamaanisha umasikini wa chini ya dola milioni moja wa baba yake .
Mtu unaingiza 20 millions kila mwezi unawezaje kusema huyo ni Masikini...!?

Au kuna tafasiri mpya ya Umasikini..!?
 
Mtu unaingiza 20 millions kila mwezi unawezaje kusema huyo ni Masikini...!?

Au kuna tafasiri mpya ya Umasikini..!?
Wewe unasema sio masikini ,ila wapo wanaoona huyo ni masikini, kama azim dewji hapo anasema baba yake alikuwa masikini wakati anafariki ,lakini labda alikuwa anaingiza equivalent na hiyo . kumbuka hio ni dola 8000 na ni chini ya dola 100,000 kwa mwaka .
 
Back
Top Bottom