Dewji: Biashara yangu ya kwanza nilikuwa nauza Mafuta ya Taa, Baba yetu alikufa masikini


Kuna level za utajiri na umasikini pia .

Mwingine akiingiza mil 20 kwa mwezi atasema yeye ni masikini ,lakini wewe unaona ni mwenye pesa .



labda anamaanisha umasikini wa chini ya dola milioni moja wa baba yake .
 
Kuna level za utajiri na umasikini pia .

Mwingine akiingiza mil 20 kwa mwezi atasema yeye ni masikini ,lakini wewe unaona ni mwenye pesa .



labda anamaanisha umasikini wa chini ya dola milioni moja wa baba yake .
Mtu unaingiza 20 millions kila mwezi unawezaje kusema huyo ni Masikini...!?

Au kuna tafasiri mpya ya Umasikini..!?
 
Mtu unaingiza 20 millions kila mwezi unawezaje kusema huyo ni Masikini...!?

Au kuna tafasiri mpya ya Umasikini..!?
Wewe unasema sio masikini ,ila wapo wanaoona huyo ni masikini, kama azim dewji hapo anasema baba yake alikuwa masikini wakati anafariki ,lakini labda alikuwa anaingiza equivalent na hiyo . kumbuka hio ni dola 8000 na ni chini ya dola 100,000 kwa mwaka .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…