Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
No huyu ni chawa pure mrengo wake naujua.jamaa nyuzi huwa anaandika kinyume nyume
Anaumwa akili huyo sio bureeNafuatilia mahojiano aliyofanya mfanyabiashara tajiri kijana Mo Dewji na Bloomberg.
Mo anadai anapata furaha kubwa pale inapokuwa ni ndoto ya kila kijana wa Kitanzania kufanya kazi na Kampuni yake, amedai watu wengi wameacha kazi mitandao ya simu na Kampuni za uchimbaji madini na kuamua kujiunga na Kampuni yake. Kampuni hii imekuwa chaguo la kwanza kwa vijana karibia wote wanaomaliza vyuo nchini.
Mo amesema haikuwa kazi rahisi kufika hapo, lakini kutokana na sera Bora za ajira za kampuni yake imewezekana.
Mo ameendelea kusema regardless na kitengo alipo mfanyakazi, wafanyakazi wote wamekuwa covered na bima ambazo zinawazesha kupata matibabu ya mpaka milioni 5 kwa mwaka, allowance za nyumba pia Kampuni inatoa chakula Cha mchana kwa wafanyakazi wote, huduma ya usafiri, scholarship kwa watoto wa wafanyakazi nk.
Nampongeza Sana Dewji na niwakati kwa waajiri wengine kujifunza kitu kwa huyu jamaa.
Dah, unaweza kutukana hivi hivi. Why should i be so passionate to work at MeTL? Why?Nafuatilia mahojiano aliyofanya mfanyabiashara tajiri kijana Mo Dewji na Bloomberg.
Mo anadai anapata furaha kubwa pale inapokuwa ni ndoto ya kila kijana wa Kitanzania kufanya kazi na Kampuni yake, amedai watu wengi wameacha kazi mitandao ya simu na Kampuni za uchimbaji madini na kuamua kujiunga na Kampuni yake. Kampuni hii imekuwa chaguo la kwanza kwa vijana karibia wote wanaomaliza vyuo nchini.
Mo amesema haikuwa kazi rahisi kufika hapo, lakini kutokana na sera Bora za ajira za kampuni yake imewezekana.
Mo ameendelea kusema regardless na kitengo alipo mfanyakazi, wafanyakazi wote wamekuwa covered na bima ambazo zinawazesha kupata matibabu ya mpaka milioni 5 kwa mwaka, allowance za nyumba pia Kampuni inatoa chakula Cha mchana kwa wafanyakazi wote, huduma ya usafiri, scholarship kwa watoto wa wafanyakazi nk.
Nampongeza Sana Dewji na niwakati kwa waajiri wengine kujifunza kitu kwa huyu jamaa.
Bas hapo Bloomberg wanamchora tu maana mzungu haongopewi wala teknolojianiliwahi kwenda kiwandani vingunguti, watu Wana fanya kazi mazingira hatarishi, Wana vaa mayebo yebo,joto kwenye machine,hakuna kabisa usalama wa wafanyakazi, Yani kama upo sokoni kariakoo
Nonsense.Nafuatilia mahojiano aliyofanya mfanyabiashara tajiri kijana Mo Dewji na Bloomberg.
Mo anadai anapata furaha kubwa pale inapokuwa ni ndoto ya kila kijana wa Kitanzania kufanya kazi na Kampuni yake, amedai watu wengi wameacha kazi mitandao ya simu na Kampuni za uchimbaji madini na kuamua kujiunga na Kampuni yake. Kampuni hii imekuwa chaguo la kwanza kwa vijana karibia wote wanaomaliza vyuo nchini.
Mo amesema haikuwa kazi rahisi kufika hapo, lakini kutokana na sera Bora za ajira za kampuni yake imewezekana.
Mo ameendelea kusema regardless na kitengo alipo mfanyakazi, wafanyakazi wote wamekuwa covered na bima ambazo zinawazesha kupata matibabu ya mpaka milioni 5 kwa mwaka, allowance za nyumba pia Kampuni inatoa chakula Cha mchana kwa wafanyakazi wote, huduma ya usafiri, scholarship kwa watoto wa wafanyakazi nk.
Nampongeza Sana Dewji na niwakati kwa waajiri wengine kujifunza kitu kwa huyu jamaa.
Nafikiri Mo anazungumzia watu wenye diploma, digrii na kuendelea sio wale vibarua wa buku7 kwa sikuKama kuna ukweli wa tetesi kwamba mshahara wa dereva ni laki 1 tutabisha kwa lipi ?
Mkuu unatuharibia, unatoa Siri za kambiNa ndio hapo hata mtu asiejua wizi lazima atakuwa mwizi tu, lkwenye ndoo 20 za mafuta atachukua mafuta kidogo kidogo nae apate ndoo yake 1 auze, kwenye visarufeti vya sabuni nako hivyo hivyo...
siyo tetesi, nenda kiwanda chake, East Coast pale Kurasini, Engineer ( yule aliyemaliza 4 years UD ) anakunja 300k basic kwa Mwezi,Kama kuna ukweli wa tetesi kwamba mshahara wa dereva ni laki 1 tutabisha kwa lipi ?
Yaani niwe na ndoto ya kuajiriwa kwa Mhindi halafu nilipwe mshahara wa laki na nusu, na matusi juu!! Huo ujinga anauweza pwilo na OKW BOBAN SUNZU.Nafuatilia mahojiano aliyofanya mfanyabiashara tajiri kijana Mo Dewji na Bloomberg.
Mo anadai anapata furaha kubwa pale inapokuwa ni ndoto ya kila kijana wa Kitanzania kufanya kazi na Kampuni yake, amedai watu wengi wameacha kazi mitandao ya simu na Kampuni za uchimbaji madini na kuamua kujiunga na Kampuni yake. Kampuni hii imekuwa chaguo la kwanza kwa vijana karibia wote wanaomaliza vyuo nchini.
Mo amesema haikuwa kazi rahisi kufika hapo, lakini kutokana na sera Bora za ajira za kampuni yake imewezekana.
Mo ameendelea kusema regardless na kitengo alipo mfanyakazi, wafanyakazi wote wamekuwa covered na bima ambazo zinawazesha kupata matibabu ya mpaka milioni 5 kwa mwaka, allowance za nyumba pia Kampuni inatoa chakula Cha mchana kwa wafanyakazi wote, huduma ya usafiri, scholarship kwa watoto wa wafanyakazi nk.
Nampongeza Sana Dewji na niwakati kwa waajiri wengine kujifunza kitu kwa huyu jamaa.