Dhambi ambazo huwezi tubu peke yako bila kushirikisha watumishi wa Mungu

Dhambi ambazo huwezi tubu peke yako bila kushirikisha watumishi wa Mungu

Mbingu ni mali ya Mwenyezi Mungu, ni yeye ndiye huamua nani aingie na nani asiingie.

Toba hufanywa na mhusika mwenyewe mwenye dhambi akiwa na nia ya dhati ya kuacha matendo yake machafu.

Maombi/kuombewa huja pale mtu anapokiwa amezidiwa na ulaibu wa hayo matendo kiasi cha kuwa na pazia/giza kwenye nafsi yake na kutoona ubaya wa matendo yake, hapa either Mwenyezi Mungu mwenyewe akufunilie au neema ya bwana ikushukie kwa wanaokuzunguka kukufanyia maombi.

Mara nyingi yule anayeweza kuziona dhambi zake mwenyewe na kwenda kufanya toba huyu bado bwana yuko naye, giza likiingia kwenye nafsi basi hata fikra za toba kwenye kichwa chako haziwezi kuwepo, unaweza kupona tu kwa watu wa karibu yako kukufanyia maombi au kukulazimisha kwenda ibadani hata kwa fimbo kulingana na wao kuyaona matendo yako yanayokera mbele za mwenyezi Mungu kulingana na imani yako/yenu.

Dhambi za kudhulumu wengine kama kuwaibia, kudhulumu amana zao, kutembea na wake za watu kwa kujua kabisa binafsi naamini zinahitaji msamaha wa wahusika uliowatendea na kama ni mali basi inabidi uzitoe sadaka na wewe uanze upya..(wajuzi hapa watanisaidia)..
 
Dhambi tajwa hapo juu, maelekezo ni kumshirikisha Mtumishi wa Mungu wa Kweli.

Amen
Kila Anaweza kuwa mtumishi wa mungu Wa kweli kwaiyo hakuna haja ya ushirika wa mtu mwingine
 
Si uende tu kwa ulie mzinia umuombe msamaha?
Utakacho kutana nacho uwe tayari kukipokea
Ndo ujue UZINZI ni DHAMBI mbaya sana, kuitubia ni Hadi uombe radhi Kwa uliyemibia mke,

Na Kwakuwa kwenda direct ni risk Kwa maisha Yako, ndomana Mungu anashauri utumie mtumishi wa Mungu wa Kweli Ili BUSARA itumike kupata njia Bora ya kusuluhisha Hilo.

Kutubu sirini, hujamaliza tatizo la UZINZI Bado.

Amen
 
Ndo ujue UZINZI ni DHAMBI mbaya sana, kuitubia ni Hadi uombe radhi Kwa uliyemibia mke,

Na Kwakuwa kwenda direct ni risk Kwa maisha Yako, ndomana Mungu anashauri utumie mtumishi wa Mungu wa Kweli Ili BUSARA itumike kupata njia Bora ya kusuluhisha Hilo.

Kutubu sirini, hujamaliza tatizo la UZINZI Bado.

Amen
Kama ni hivyo na hiyo sadaka apewe huyo muathirika na siyo ale mchungaji
 
Kama ni hivyo na hiyo sadaka apewe huyo muathirika na siyo ale mchungaji
Muathirika hapewi sadaka,

Mwiba mke wa mtu atalipa Mahari ndo ADHABU ya kuzini na mke wa mtu.

Mtumishi anaweza kukusaidia kuyeyusha moyo wa muibiwa mke Ili apunguze.

Sadaka ni shukrani, Wala Si malipo ya lazima.
 
Muathirika hapewi sadaka,

Mwiba mke wa mtu atalipa Mahari ndo ADHABU ya kuzini na mke wa mtu.

Mtumishi anaweza kukusaidia kuyeyusha moyo wa muibiwa mke Ili apunguze.

Sadaka ni shukrani, Wala Si malipo ya lazima.
Kwa hiyo akilipa mahali na mke anachukua?
 
Kwa hiyo akilipa mahali na mke anachukua?
Hiyo ni faini mjomba, soma Waamuzi enzi ya Muda huko.

Muibiwa mke ndo ataridhia amuache mke au amsamehe waendelee na maisha.

Binti ambaye hajaolewa, kijana aliyembikiri ndo hupigwa fine na kuamriwa kumwoa.

Hata sasa, SHERIA hizo hazijabadilika, ndomana dhambi ya UZINZI Mungu ameelekeza ashirikishe mtumishi wa Mungu wa Kweli Ili kumaliza tatizo Hilo Kwa pande zote Kwa HAKI.

Kamwe usitubu sirini ukadhani umemaliza.

Amen
 
Nimefuatilia mada kwa ukaribu mno kwa sababu nimependa kujifunza mambo mapya katika Imani and it was epic. Sasa my request kwetu wote kwenye hii thread, mi naona imetosha haya mapishano ambayo tumeyadisplay humu.

Neno la Mungu linatuasa kujiepusha na mazungumzo yasiyokuwa na faida, maneno yote yanatakiwa yawe munyu...so, naona huu mjadala uishie hapa. Kwa maana, kila mmoja ameokolewa kwa Neema wala si kwa matendo, tusije tukajisifu.

Kwako Rabbon , umepewa ujumbe na Roho wa Bwana, well and good... as long as umeshapreach, jikung'ute mavumbi endelea na mengine. Maana apandae ni wewe na wengine wote kama Mfalme Sulemani , Proved and so forth, lakini akuzae ni Mungu pekee. Kama ujumbe ulikua wa kweli basi Roho Mtakatifu atashuhudiza ukweli individually mioyoni mwetu juu ya jambo hili, tena tumezidi kujichallenge juu ya uelewa wetu wa mambo ya sadaka, maagano, toba ya kweli, vifungo vya kiroho na mambo kama hayo.

Mi naona wote tuna aim ya kufika mbinguni, tumuache Bwana akachochee ukweli halisi mioyoni mwetu maana yeye anajua kilicho cha kweli na incase kuna corrections katika knowledge tulizosoma humu basi yeye atatufundisha yote. Ilimradi, mwisho wa siku..Utukufu uende kwa Yesu pekee, maana ndani yake yeye tunaishi, tunakwenda na kuwa na uhai wetu, Yeye ni Yote katika Yote.

Kila mmoja wetu azidi kujiimerse katika Kristo ili mambo haya yazidi kufunuliwa kwa ukubwa. Shalom!!
ukiona uovu, kemea, yale mambo ya zamani kuona uovu unasema tusikemee usijekuwa sio munyu ndio imepelekea manabii wa uongo kujaza watu wanaoelekea motoni, hasa kwa kile walichokuwa wanatutishia zamani kwamba "usimseme mtumishi wa Mungu", jambo lililopelekea hata wale ambao sio watumishi wa Mungu kupitia hapo kuibia watu pesa na kutumiwa na shetani wapendavyo.

kuna imani nyingi sana zimeibuka siku hizi, zingine hata ukiona kama zina muelekeo wa kupeleka watu mbinguni nyuma ya pasia ni mpango kabisa shetani alikaa akadraft namna ya kudanganya watu, namna ya kupindua injili, namna ya kupotezea watu muda badala ya kumwona Mungu watangetange kutafuta miujiza. na shida yake, waumini walio wengi ni uneducated, masikini na wagonjwa, wanaenda pale in good faith wakijua ni mtu wa Mungu kumbe ni ajenti kabisa anareport kwa shetani.

Kuuza miujiza, kutoa kiingilio kumwona mtumishi, na mengine yote yanayofanana na hayo, ni kinyume na injili, Yesu mwenyewe alisema tumepata bure tutoe bure. and this is the reason why wanapata kiburi cha pesa kama yule wa arusha hadi anajifanya kugawa pesa kwa watu wakati waumini wa mlemle wanazitolea mate izo pesa na hawajui hata watakula nini na wengien hawana hata nauli ya kurudia nyumbani, na yeye akisimama pale anasema hizo pesa ni za kwangu, zilezile walizotoa sadaka masikini. ninyi ndio wachungaji mashetani mlioharibu injili na kuuchekea uovu.

worse enough, fanya yote lakini never undervalue/downgrade the Blood of Jesus. usije hata siku moja ukabeza uzito wa kafara la Damu ya Yesu. lina thamani kuliko vitu vyote na ndio maana lina uwezo kuokoa wanadamu wote duniani, everyone is included ni yeye tu kuamua kulipokea au la.

mtu akija na kusema uchukue sadaka nenda nayo kwa mtumishi ukatubu, hili ni fundisho linalopuuza kafara la Damu ya Yesu, kama vile halitoshi? sisi sote tulishindwa kulipa Garama ya dhambi zenu, Mungu akauliza nimtume nani akaja Yesu, yale aliyopitia, hakuna mwanadamu aliwahi kuyapitia, kafara lake lili cover kila kitu, na alitupatia bure kwa neema tu though hatukustahili. shetani sasa anakuja na kuwaambia watu wabebe sadaka wakati wa kutubu ili within time watu waone kumbe kafara la Yesu halikutosha.

kama kanisa la SILOAM lilivyokuja na doctrine kwamba Jina la Yesu na Damu ya Yesu imepungua nguvu, mashetani yamezoea ndio maana hayakimbiii (kumbe hawajui shetani hawaogopi hata wakitaja Jina la Yesu kwasababu mioyoni mwao hawana Mungu). wamefikia mahali hata wanapoomba hawatumii Jina la Yesu, na awali alipoanza mwanzilishi wao MUNUO pale mbezi makonde, alionekana mtu wa Mungu na watu walikuwa wanaonywa wasimseme, sasaivi limeshakuwa kanisa limesambaa Tanzania nzima, ni wale wanadamu wanaovaa nguo zote hadi viatu vyeupe kama ulishawahi kuwaona. anavaa kiatu cheupe, suruali nyeupe, shati jeupe (ila sura yake nyeusi)....kwahiyo tunawaasa watu, hao manabii na mitume wa kisasa wanaouza vipawa, hauna haja ya kuuliza kama ni watu wa Mungu au la, hao ni matapeli kimbia mara moja. na wewe kama ni mmoja wao ushindwe kwa Jina la Yesu Kristo.
 
Salaam shalom.

INTRODUCTON.

Imeandikwa, Tukiziungama dhambi zetu, Yeye ni mwaminifu na haki, hata atuondolee dhambi zetu na kutusafisha na udhalimu wote.( 1 Yoh 1:9).

Dhambi ni kutotii, kwenda kinyume na maelekezo ya Mungu. Na Roho mtakatifu yupo kutukumbusha dhambi zetu Ili tuzitibie Ili tuendelee kuwa WATAKATIFU.

DHAMBI AMBAZO KAMWE HATIA YAKE HAITAKUONDOKA HADI USHIRIKISHE WATUMISHI WA MUNGU ILI UOMBEWE UKIAMBATISHA NA SADAKA YA UKOMBOZI NI ZIFUATAZO:


1. ZINAA NA UASHERATI.

UASHERATI ni kufanya Tendo la zinaa na mtu nje ya NDOA asiye mkeo au mumeo.

UZINZI ni kufanya tendo la uchafu, zinaa kabla ya Kuoa au Kuolewa.

Ukizini na mke wa mtu au mume wa Mtu, usijidanganye kuwa ukitubu sirini utasamehewa, HATIA itaendelea kuwepo Hadi uwatafute watumishi wa Mungu wa Kweli Ukiwa na sadaka ya Ukombozi. Watumishi Wana BUSARA ya kusuluhisha dhambi hiyo pande zote mbili Ili ufunguliwe.

Kuzini na mke wa mtu, faini ya juu ni kulipa Mahari aliyotoa muoaji Ili akusamehe, kushirikisha mtumishi ni kutumia BUSARA ya Mungu Ili muibiwa mke aridhie kukusamehe kutomlipa, au akupunguzie faini.

(Mithali 6:20-35,) UZINZI hufunga NAFSI, Amri ya Mungu usizini (Kumbukumbu la torati 5:1-21)

2. USHOGA.

Ikiwa uliwahi kuwa shoga, ukaamua kuacha, kamwe usitubu sirini na kuishiwa hapo, USHOGA huambatana na mapepo na kufungwa NAFSI, mfungwa kamwe hawezi jifunguanpingu mwenyewe, unawahutaji watumishi wa Kweli Ili UOMBEWE na kuwekwa huru, sadaka ni LAZIMA Ili itolewe huko. ( Mwanzo 38:9-10) Mungu alimwua Onani Kwa kumwaga shahawa nje ya uke makusudi Ili asizae na mke aliyepewa.

3. USAGAJI.

Mwanamke pia aliyewa kufanya dhambi hiyo, huwezi kufunguliwa na Utumwa na HATIA hiyo pekeako Kwa kutubu sirini, nenda Kwa watumishi wa Kweli, Ukiwa na sadaka ya Ukombozi. mwanzo 38:9-10, Onani aliuwawa Kwa dhambi hiyo, ( kumbukumbu la torati 5:1-21) Amri za Mungu Usiue.

4. PUNYETO/ KUJICHUA.

Ikiwa uliwahi kujichua, ukaamua kuacha, unahitaji kwenda Kwa mtumishi wa Mungu wa Kweli Ukiwa na sadaka ya Ukombozi Ili ufunguliwe, Mpiga PUNYETO ni mfungwa, ni mke au mume wa Roho chafu katika Ulimwengu wa Roho, hivyo kufunguliwa ni LAZIMA utoe sadaka, uvunje NDOA chafu hiyo ya kiroho na hati ya NDOA chafu ya kiroho iondolewe, usipofanya hivyo, unajidanganya. Mbinguni huingii ng'o!! (Mwanzo 38:1-25) Mungu alimwua Onani Kwa kumwaga shahawa nje ya uke Ili asizae na mke wa marehemu kaka yake.
Neno Hilo hapo juu ni ROHO. Amen.

5.MWANAMKE KUOA MWANAMKE/MWANAUME KUOA MWANAUME MWENZIE.

Kutubu dhambi hii sirini bila watumishi wa Mungu ni kujidanganya. Chukua sadaka, nenda Kwa mtumishi, Sema Kweli Ili UOMBEWE na kufunguliwa, NDOA haramu ivunjwe na ufungwa wako kiroho uondolewe. ( Mwanzo 38:9-10, (Mithali 6:20-35)Amen.

6. ORAL SEX.

Ikiwa uliwahi kushiriki oral sex, kunyonya au kuramba Kwa mdomo sehemu za Siri za mwanamke au Mwanaume na ukatambua ni DHAMBI, ukaacha, Bado u kifungoni.

Chukua sadaka, mwone mtumishi wa Kweli wa Mungu ufunguliwe na Mungu.

(1 Wakorintho 6:9-11), (Ufunuo wa Yohana 21:8) (Mzo 38:9-10) Mungu alimwua Onani Kwa kutenda Tendo la NDOA kinyume.

7. ABORTION./ UTOAJI MIMBA/ KUFUNGA UZAZI/ KUTUMIA VIDONGE VYA KUPANGA UZAZI.

Kimbia haraka Kwa mtumishi wa Mungu wa Kweli ,beba sadaka kulingana na uwezo wako, UOMBEWE ufunguliwe.

(Kumbukumbu la torati 5:1-21) Usiue ni Amri ya Mungu.

Ukipuuza Utakataliwa GETI la Mbinguni.

9. IKIWA ULIWAHI TUMIA DAWA ZA KUONGEZA NGUVU ZA KIUME/ KIKE.

(Mwanzo 38-9-10) Mungu alimwua Onani Kwa kutenda kinyume na Utaratibu wa Tendo la NDOA na taratibu za UZAZI alizoweka Mungu.


Chukua sadaka, mwone mtumishi wa Kweli UOMBEWE na kufunguliwa.

10. MAUAJI.

Ikiwa uliwahi kuua bila kukusudia ,ukahukumiwa JELA ukatoka, ikiwa uliua Kwa Siri na hukubainika, ikiwa ulishiriki kuua, usijidanganye kuwa unaweza kutubu sirini, HATIA Ili ikuondoke uwe na Amani, Tafuta kiongozi wa Mungu wa Kweli mwenye BUSARA za Mungu, akuongoze Cha kufanya, utoe pia sadaka ya Ukombozi. ( Acts 9:3-6) Sauli alikuwa mwuaji, Yesu alimwelekeza aende Kwa mtumishi.

(Kumbukumbu la torati 5:1-21) Mungu ameamrisha " Usiue".

11. IBADA ZA SANAMU, KUSHIRIKI IBADA ZA WAFU NA KUTOA SADAKA KWA MIZIMU KIMILA NK NK.

Kushiriki Ibada za KIMILA na Kutoa sadaka Kwa Roho za kishetani za Mababu, ni DHAMBI pia, ni kufungwa ni Utumwa ambao huwezi kujifungua pekeako.

(Mithali 6:20-35) kifungo Cha NAFSI sababu Ibada ya sanamu ni UZINZI kiroho mbele za Mungu, ( UFUNUO 21:8, (1 korinthians 6:9-11) watendao uchawi na Ibada ya sanamu watatupwa Jehanum.

Ukiamua kuacha na kuokoka, hatua inayofuata ni kushirikisha watumishi kukusaidia kukutenga na madhabahu hizo.

Sadaka ni LAZIMA, sababu, Ulimwengu wa Nuru na Giza sadaka ni inevitable. Amen

HITIMISHO.

Dhambi nilizotaja hapo juu, ni baadhi tu ya dhambi ambazo huwezi tubu pekeako, zimetajwa sawasawa na Ruhusa ya Roho mtakatifu Kwa mtumishi wake sawasawa na ufunuo wake apendavyo.

NB: Si DHAMBI zote zinahitaji kuona mtumishi wa Kweli kukusaidia kufunguliwa pingu za dhambi, ni baadhi ya dhambi ambazo Zina vifungo na attachment na maagano ya kipepo na kishetani.

ANGALIZO: Sadaka tutoazo Si Kwa ajili ya kununua Muujiza, au kununua Msamaha wa Mungu, Yesu msalabani alikwisha maliza yote Kwa Damu yake msalabani. Sadaka tunatoa kama shukrani tu na kuonyesha Upendo Kwa Yale Mungu alikwisha tutendea.

Mungu awabariki.

Source: Nabii Justine Ibrahim, U-Tube., Promover Tv channel U-Tube.

Ikiwa hujampokea Yesu kuwa BWANA na Mwokozi wako, fuatisha Sala hii,

EE YESU, NINAKIRI KWAKO KUWA MIMI NI MWENYE DHAMBI, NINAOMBA UNISAMEHE, ULIFUTE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA HUKUMU,ULIANDIKE KATIKA KITABU CHA UZIMA, NINAOMBA UWEZO WA KUSHINDA DHAMBI, NIWEZESHE NIISHI MAISHA MATAKATIFU.

Ameen
Dhambi anaepaswa kutubiwa dhambi ni Mungu peke yake kwa kuwa katika agano jipya pazia la kuingia kwenye kiti cha rehema ambapo aliingia kuhani mkuu akiwa na dhabihu za waungamaji liliondolewa na dhabihu ya Yesu na kukomesha ibaada ya kikuhani ya Haruni.
Mpatanishi kati ya Mungu na wanadamu ni Kristo Yesu pekee. Kutubu kwa mtumishi ili akufanyie upatanisho ni kurudi kwenye ibaada za ukuhani wa Haruni.
Lazima tutambue tofauti ya ukuhani wa kiharuni na ukuhani wa Melchizedek.
Tulicho agizwa katika agano jipya ni kuungamania sisi kwa sisi yaani kama umemkosea ndugu yako uungame kosa lako kwake na sii umkosee Fred akaungame kwa John.
Pia lazima tutambue utofauti uliopo kati ya dhambi na makosa yafanywayo na mdhambi.
Vitu hivi viwili vinachanganywa sana. Hili husukumwa zaidi na maslahi binafsi ya makasisi( watumishi).

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Muathirika hapewi sadaka,

Mwiba mke wa mtu atalipa Mahari ndo ADHABU ya kuzini na mke wa mtu.

Mtumishi anaweza kukusaidia kuyeyusha moyo wa muibiwa mke Ili apunguze.

Sadaka ni shukrani, Wala Si malipo
N
Hiyo ni faini mjomba, soma Waamuzi enzi ya Muda huko.

Muibiwa mke ndo ataridhia amuache mke au amsamehe waendelee na maisha.

Binti ambaye hajaolewa, kijana aliyembikiri ndo hupigwa fine na kuamriwa kumwoa.

Hata sasa, SHERIA hizo hazijabadilika, ndomana dhambi ya UZINZI Mungu ameelekeza ashirikishe mtumishi wa Mungu wa Kweli Ili kumaliza tatizo Hilo Kwa pande zote Kwa HAKI.

Kamwe usitubu sirini ukadhani umemaliza.

Amen

Hiyo ni faini mjomba, soma Waamuzi enzi ya Muda huko.

Muibiwa mke ndo ataridhia amuache mke au amsamehe waendelee na maisha.

Binti ambaye hajaolewa, kijana aliyembikiri ndo hupigwa fine na kuamriwa kumwoa.

Hata sasa, SHERIA hizo hazijabadilika, ndomana dhambi ya UZINZI Mungu ameelekeza ashirikishe mtumishi wa Mungu wa Kweli Ili kumaliza tatizo Hilo Kwa pande zote Kwa HAKI.

Kamwe usitubu sirini ukadhani umemaliza.

Amen
Nimekusoma
Kumbe wewe ni wa Musa!mtu wa sheria ndiyo maana hatuwezi kuelewana
Mchana mwema
 
Kwani hilo andiko la Yakobo ni kipindi cha akina nani?
andiko la kwenye yakobo limesema upeleke sadaka wakati wa kutubu, kama wale wa zamani walivyokuwa wanapeleka sadaka ya wanyama wakachinjwe badala yao kufunika dhambi? Yesu kwa kipindi hiki alichinjwa kwa ajili ya wote hivyo tunasamehewa bure bila kulipa pesa.
 
Salaam shalom.

INTRODUCTON.

Imeandikwa, Tukiziungama dhambi zetu, Yeye ni mwaminifu na haki, hata atuondolee dhambi zetu na kutusafisha na udhalimu wote.( 1 Yoh 1:9).

Dhambi ni kutotii, kwenda kinyume na maelekezo ya Mungu. Na Roho mtakatifu yupo kutukumbusha dhambi zetu Ili tuzitibie Ili tuendelee kuwa WATAKATIFU.

DHAMBI AMBAZO KAMWE HATIA YAKE HAITAKUONDOKA HADI USHIRIKISHE WATUMISHI WA MUNGU ILI UOMBEWE UKIAMBATISHA NA SADAKA YA UKOMBOZI NI ZIFUATAZO:


1. ZINAA NA UASHERATI.

UASHERATI ni kufanya Tendo la zinaa na mtu nje ya NDOA asiye mkeo au mumeo.

UZINZI ni kufanya tendo la uchafu, zinaa kabla ya Kuoa au Kuolewa.

Ukizini na mke wa mtu au mume wa Mtu, usijidanganye kuwa ukitubu sirini utasamehewa, HATIA itaendelea kuwepo Hadi uwatafute watumishi wa Mungu wa Kweli Ukiwa na sadaka ya Ukombozi. Watumishi Wana BUSARA ya kusuluhisha dhambi hiyo pande zote mbili Ili ufunguliwe.

Kuzini na mke wa mtu, faini ya juu ni kulipa Mahari aliyotoa muoaji Ili akusamehe, kushirikisha mtumishi ni kutumia BUSARA ya Mungu Ili muibiwa mke aridhie kukusamehe kutomlipa, au akupunguzie faini.

(Mithali 6:20-35,) UZINZI hufunga NAFSI, Amri ya Mungu usizini (Kumbukumbu la torati 5:1-21)

2. USHOGA.

Ikiwa uliwahi kuwa shoga, ukaamua kuacha, kamwe usitubu sirini na kuishiwa hapo, USHOGA huambatana na mapepo na kufungwa NAFSI, mfungwa kamwe hawezi jifunguanpingu mwenyewe, unawahutaji watumishi wa Kweli Ili UOMBEWE na kuwekwa huru, sadaka ni LAZIMA Ili itolewe huko. ( Mwanzo 38:9-10) Mungu alimwua Onani Kwa kumwaga shahawa nje ya uke makusudi Ili asizae na mke aliyepewa.

3. USAGAJI.

Mwanamke pia aliyewa kufanya dhambi hiyo, huwezi kufunguliwa na Utumwa na HATIA hiyo pekeako Kwa kutubu sirini, nenda Kwa watumishi wa Kweli, Ukiwa na sadaka ya Ukombozi. mwanzo 38:9-10, Onani aliuwawa Kwa dhambi hiyo, ( kumbukumbu la torati 5:1-21) Amri za Mungu Usiue.

4. PUNYETO/ KUJICHUA.

Ikiwa uliwahi kujichua, ukaamua kuacha, unahitaji kwenda Kwa mtumishi wa Mungu wa Kweli Ukiwa na sadaka ya Ukombozi Ili ufunguliwe, Mpiga PUNYETO ni mfungwa, ni mke au mume wa Roho chafu katika Ulimwengu wa Roho, hivyo kufunguliwa ni LAZIMA utoe sadaka, uvunje NDOA chafu hiyo ya kiroho na hati ya NDOA chafu ya kiroho iondolewe, usipofanya hivyo, unajidanganya. Mbinguni huingii ng'o!! (Mwanzo 38:1-25) Mungu alimwua Onani Kwa kumwaga shahawa nje ya uke Ili asizae na mke wa marehemu kaka yake.
Neno Hilo hapo juu ni ROHO. Amen.

5.MWANAMKE KUOA MWANAMKE/MWANAUME KUOA MWANAUME MWENZIE.

Kutubu dhambi hii sirini bila watumishi wa Mungu ni kujidanganya. Chukua sadaka, nenda Kwa mtumishi, Sema Kweli Ili UOMBEWE na kufunguliwa, NDOA haramu ivunjwe na ufungwa wako kiroho uondolewe. ( Mwanzo 38:9-10, (Mithali 6:20-35)Amen.

6. ORAL SEX.

Ikiwa uliwahi kushiriki oral sex, kunyonya au kuramba Kwa mdomo sehemu za Siri za mwanamke au Mwanaume na ukatambua ni DHAMBI, ukaacha, Bado u kifungoni.

Chukua sadaka, mwone mtumishi wa Kweli wa Mungu ufunguliwe na Mungu.

(1 Wakorintho 6:9-11), (Ufunuo wa Yohana 21:8) (Mzo 38:9-10) Mungu alimwua Onani Kwa kutenda Tendo la NDOA kinyume.

7. ABORTION./ UTOAJI MIMBA/ KUFUNGA UZAZI/ KUTUMIA VIDONGE VYA KUPANGA UZAZI.

Kimbia haraka Kwa mtumishi wa Mungu wa Kweli ,beba sadaka kulingana na uwezo wako, UOMBEWE ufunguliwe.

(Kumbukumbu la torati 5:1-21) Usiue ni Amri ya Mungu.

Ukipuuza Utakataliwa GETI la Mbinguni.

9. IKIWA ULIWAHI TUMIA DAWA ZA KUONGEZA NGUVU ZA KIUME/ KIKE.

(Mwanzo 38-9-10) Mungu alimwua Onani Kwa kutenda kinyume na Utaratibu wa Tendo la NDOA na taratibu za UZAZI alizoweka Mungu.


Chukua sadaka, mwone mtumishi wa Kweli UOMBEWE na kufunguliwa.

10. MAUAJI.

Ikiwa uliwahi kuua bila kukusudia ,ukahukumiwa JELA ukatoka, ikiwa uliua Kwa Siri na hukubainika, ikiwa ulishiriki kuua, usijidanganye kuwa unaweza kutubu sirini, HATIA Ili ikuondoke uwe na Amani, Tafuta kiongozi wa Mungu wa Kweli mwenye BUSARA za Mungu, akuongoze Cha kufanya, utoe pia sadaka ya Ukombozi. ( Acts 9:3-6) Sauli alikuwa mwuaji, Yesu alimwelekeza aende Kwa mtumishi.

(Kumbukumbu la torati 5:1-21) Mungu ameamrisha " Usiue".

11. IBADA ZA SANAMU, KUSHIRIKI IBADA ZA WAFU NA KUTOA SADAKA KWA MIZIMU KIMILA NK NK.

Kushiriki Ibada za KIMILA na Kutoa sadaka Kwa Roho za kishetani za Mababu, ni DHAMBI pia, ni kufungwa ni Utumwa ambao huwezi kujifungua pekeako.

(Mithali 6:20-35) kifungo Cha NAFSI sababu Ibada ya sanamu ni UZINZI kiroho mbele za Mungu, ( UFUNUO 21:8, (1 korinthians 6:9-11) watendao uchawi na Ibada ya sanamu watatupwa Jehanum.

Ukiamua kuacha na kuokoka, hatua inayofuata ni kushirikisha watumishi kukusaidia kukutenga na madhabahu hizo.

Sadaka ni LAZIMA, sababu, Ulimwengu wa Nuru na Giza sadaka ni inevitable. Amen

HITIMISHO.

Dhambi nilizotaja hapo juu, ni baadhi tu ya dhambi ambazo huwezi tubu pekeako, zimetajwa sawasawa na Ruhusa ya Roho mtakatifu Kwa mtumishi wake sawasawa na ufunuo wake apendavyo.

NB: Si DHAMBI zote zinahitaji kuona mtumishi wa Kweli kukusaidia kufunguliwa pingu za dhambi, ni baadhi ya dhambi ambazo Zina vifungo na attachment na maagano ya kipepo na kishetani.

ANGALIZO: Sadaka tutoazo Si Kwa ajili ya kununua Muujiza, au kununua Msamaha wa Mungu, Yesu msalabani alikwisha maliza yote Kwa Damu yake msalabani. Sadaka tunatoa kama shukrani tu na kuonyesha Upendo Kwa Yale Mungu alikwisha tutendea.

Mungu awabariki.

Source: Nabii Justine Ibrahim, U-Tube., Promover Tv channel U-Tube.

Ikiwa hujampokea Yesu kuwa BWANA na Mwokozi wako, fuatisha Sala hii,

EE YESU, NINAKIRI KWAKO KUWA MIMI NI MWENYE DHAMBI, NINAOMBA UNISAMEHE, ULIFUTE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA HUKUMU,ULIANDIKE KATIKA KITABU CHA UZIMA, NINAOMBA UWEZO WA KUSHINDA DHAMBI, NIWEZESHE NIISHI MAISHA MATAKATIFU.

Ameen
Wakati unatubu zambi kwa mtumishi kwa ndani unakuta na yeye ananyonga bange ukimaliza akavute afu unakuta na tattoo ya nanga kifuani au kama ni wakike unakuta Katia kipini kwenye kisim.i[emoji1787]
 
Mnajiiiiiiiipa presha .Nan kakwambia Mungu ana formalities za kibinadam zaid namna hii!!???

Ujue anayekuondolea hatia sio kutubu mbele za mtu. NI Holly spirit, period!!!! Hii kwenda mbele za watu imekaa kisailolojia tu ili ku bust iman yako ila hata sio lazima wala haina ukwel...
Wapenda showoffs hao, wao kujionyesha ndio fahari yao na mara nyingi watu wa kaliba ya mleta mada hupenda kujikweza. Kuna baadhi ya watu hawaridhiki ikiwa jamii inayowazunguka haijaona / shuhudia mtu huyo kafanya jambo fulani.

Maombi ni uhuru wa bendera, ukombozi wa fikra ni uhuru wa maendeleo.
 
Nimefuatilia mada kwa ukaribu mno kwa sababu nimependa kujifunza mambo mapya katika Imani and it was epic. Sasa my request kwetu wote kwenye hii thread, mi naona imetosha haya mapishano ambayo tumeyadisplay humu.

Neno la Mungu linatuasa kujiepusha na mazungumzo yasiyokuwa na faida, maneno yote yanatakiwa yawe munyu...so, naona huu mjadala uishie hapa. Kwa maana, kila mmoja ameokolewa kwa Neema wala si kwa matendo, tusije tukajisifu.

Kwako Rabbon , umepewa ujumbe na Roho wa Bwana, well and good... as long as umeshapreach, jikung'ute mavumbi endelea na mengine. Maana apandae ni wewe na wengine wote kama Mfalme Sulemani , Proved and so forth, lakini akuzae ni Mungu pekee. Kama ujumbe ulikua wa kweli basi Roho Mtakatifu atashuhudiza ukweli individually mioyoni mwetu juu ya jambo hili, tena tumezidi kujichallenge juu ya uelewa wetu wa mambo ya sadaka, maagano, toba ya kweli, vifungo vya kiroho na mambo kama hayo.

Mi naona wote tuna aim ya kufika mbinguni, tumuache Bwana akachochee ukweli halisi mioyoni mwetu maana yeye anajua kilicho cha kweli na incase kuna corrections katika knowledge tulizosoma humu basi yeye atatufundisha yote. Ilimradi, mwisho wa siku..Utukufu uende kwa Yesu pekee, maana ndani yake yeye tunaishi, tunakwenda na kuwa na uhai wetu, Yeye ni Yote katika Yote.

Kila mmoja wetu azidi kujiimerse katika Kristo ili mambo haya yazidi kufunuliwa kwa ukubwa. Shalom!!
Asante nimepokea ushauri....
 
andiko la kwenye yakobo limesema upeleke sadaka wakati wa kutubu, kama wale wa zamani walivyokuwa wanapeleka sadaka ya wanyama wakachinjwe badala yao kufunika dhambi? Yesu kwa kipindi hiki alichinjwa kwa ajili ya wote hivyo tunasamehewa bure bila kulipa pesa.
Yesu alitoa mwili wake, hivyo hatuhitaji sadaka za wanyama. Ila suala la kuungama liko palepale
 
N



Nimekusoma
Kumbe wewe ni wa Musa!mtu wa sheria ndiyo maana hatuwezi kuelewana
Mchana mwema
BIBLIA haijabadilika, Yesu ameboresha tu AGANO kuwa Imara zaidi.

(Mathayo 5:25)

Patana na mshitaki wako upesi, wakati upo pamoja naye njiani, yule mshitaki asije akakupeleka Kwa kadhi, na kadhi akakupeleka Kwa askari, ukatupwa gerezani.

Leo unakuta mtu ameokoka anakopa na anapiga chenga kulipa, neema Si kudhulumu au kudumu katika Dhambi,

Ukizini na mke wa mtu patana nenda Kwa mtumishi akupatanishe, usamehewe.

Amen
 
N



Nimekusoma
Kumbe wewe ni wa Musa!mtu wa sheria ndiyo maana hatuwezi kuelewana
Mchana mwema
(waebrania 12:14)

Tafuteni Kwa bidii kuwa na Amani na watu wote na huo utakatifu ambao HAPANA atakayemwona Mungu asipokuwa nao.

Dhambi ya UZINZI huwezi pata Amani ukitubu gizani mwenyewe, lazima utafute namna ya kuweka mambo sawa,

Ndomana mtumishi wa Mungu wa Kweli lazima ahusike.

Amen
 
Back
Top Bottom