Dhambi hizi zifuatazo ndizo zinaigharimu Wala Mihogo (Masikini) Yanga SC Mechi za Kimataifa

Dhambi hizi zifuatazo ndizo zinaigharimu Wala Mihogo (Masikini) Yanga SC Mechi za Kimataifa

๐Ÿ™„ ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†
 
Tunamshukuru injinia Kwa kutuongezea misamiati michezoni. Mihogo FC hoyeeee..
 
Prof.wa mchongo + Injinia wa mihogo=Utopolo[emoji818]
 
Yang ni ya Gsm hamna cha wananchi hapo
 
Ulibakia Juha ( Fool ) Wewe tu kutokujua hapa JamiiForums kuwa Mimi GENTAMYCINE ni Shabiki wa Simba SC na Mafia wa Michezo Michafu ya Soka la Bongo ( Tanzania )
Wewe mama isihaka hauna umaarufu wowote nje ya hapo kongowe
 
Nakuaminia sana Mr ma information
Asante na ukiona GENTAMYCINE sijui Kitu / Jambo jua ni bahati mbaya na nadra mno ila kwa jinsi nilivyo na ninavyojiweka ni rahisi sana kupata Taarifa Nyeti, Ngumu na za Hatari kwakuwa nina Vyanzo Takatifu na sahihi karibia Maeneo yote na bahati mbaya Kwako ila nzuri Kwangu 98% ya Watu ninaokuwa nao on a daily basis huwa hawajui kuwa waliyenae ndiyo GENTAMYCINE Mwenyewe wa hapa JamiiForums na huwa Wanafunguka nikiwa nao hadi nawaonea Huruma kwani huwa Wananifaidisha na Taarifa / Habari muhimu.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The Great!!!

Cc: Mshuza2
 
Back
Top Bottom