Kwanza kabisa Mimi Sina dhehebu maalumu japo nimebatizwa Rc na ndoa nikafungia huko.
Napenda kusikiliza mahubiri yoyote Yale. Tofauti tu na mahubiri ya itapeli ya kina mwamposa ya ushuhuda wa huongo hayo Sina muda wa kuyasikiliza hata kidogo.
Huwa nafurahishwa sana na aina hii ya wachungaji/watumishi wa Mungu wanaokemea dhambi bila kupepesa macho.
Siyo watu una hubiri waache dhambi halafu una wabembeleza wee kama kwamba wanachofanya ni sahihi ila kina mdhara! Ni sawa na mzee wa upako kusema kunywa pombe Ni kosa ila sio dhambi.
Padri wangu aliyekuwa hapapasi dhambi ni padre Thomas kabila bilingi. Daima atabaki kuwa padre mzuri mno kuwahi kutokea.
Huyu hata kwenye ndoa kama umepaka makeup umevaa wigi alikuwa hafungi ndoa za namna hiyo lipshine alikuwa anaitwa mavi ya wahindi. Nilimkubali sana.
Nisiwachoshe.
View attachment 3127480
View attachment 3127481
View attachment 3127482
View attachment 3127483
View attachment 3127480
View attachment 3127480