Dhambi inatakiwa ikemewe namna hii. Sio kubembeleza

Dhambi inatakiwa ikemewe namna hii. Sio kubembeleza

Huyo jamaa una mfahamu mkuu? hapo anatimiza wito tu amewa kuwa dr huko mambele na elimu yake sio kama
unavyo mchukulia ukwasi alio nao angekuwa na mbwembwe kama akina geodavie ungekuwa unamjua vzr tangu zamani. na hapo kastaafu anafanya kujitolea kulingana na uzoefu. mimi sio msabato lkn nimeshamfatilia kwa kiasi chake. ana miradi mikubwa mno pia sidhani kama mshahara wa mch kwa sasa unafika hata m1 sina hakika walikua 600k miaka3 iliyopita
Dini zina maokoto mkuu sio Bure Bure tu
 
Dini zina maokoto mkuu sio Bure Bure tu
Mkuu uko sawa kabisa. lakini fanya research ya makanisa haya mawili sda na roma angalia maisha ya wachungaji wao ama ma katekista wa roma. heli hata wasababto wao wana mshahara ahubiri ama asihubiri mwisho wa mwezi unaingia. nje na mshahara ni waumini wenyewe wamfanyie harambe kwa kuwashwa kwao na sio lazima.

Huyu jamaa unae muon hapo kwa kawaida tu miradi yake aliyo nayo angekuwa kashaachana na dini kitambo mno
Laikini hadi leo kanisa lina mtumia japo kastaafu hata kama akipewa m10 kwa mwezi kwa ukwasi alio nao hawezi hangaika na watu kama unavyomuona hapo. Na ndio maana mahubiri yake yamenyooka hataegemei sadaka yako ndo aishi.

Nimefatilia mahubiri yake huwa yana utulivu sana huwezi kuta dada kavaa ovyo nk
 
Mkuu uko sawa kabisa. lakini fanya research ya makanisa haya mawili sda na roma angalia maisha ya wachungaji wao ama ma katekista wa roma. heli hata wasababto wao wana mshahara ahubiri ama asihubiri mwisho wa mwezi unaingia. nje na mshahara ni waumini wenyewe wamfanyie harambe kwa kuwashwa kwao na sio lazima.

Huyu jamaa unae muon hapo kwa kawaida tu miradi yake aliyo nayo angekuwa kashaachana na dini kitambo mno
Laikini hadi leo kanisa lina mtumia japo kastaafu hata kama akipewa m10 kwa mwezi kwa ukwasi alio nao hawezi hangaika na watu kama unavyomuona hapo. Na ndio maana mahubiri yake yamenyooka hataegemei sadaka yako ndo aishi.

Nimefatilia mahubiri yake huwa yana utulivu sana huwezi kuta dada kavaa ovyo nk
Kwa Roma makatekista wanaishi kwenye ufukara lakini mapadre, maparoko na maaskofu wanaishi kianasa
 
Kwa Roma makatekista wanaishi kwenye ufukara lakini mapadre, maparoko na maaskofu wanaishi kianasa
Sawa mapdre hubuni michangoni anayejua yeye parokiani. vilevile sadaka yeye ndo hukusanya na badae hutoa kiasi cha kwenda jimboni nk
 
Mtu mzima unaposubiri uambiwe hiki fanya hiki dhambi basi ujue una matatizo makubwa
Uko sawa kabisa . umeamua mwenyewe kwenda kanisani hujafuatwa na mtu halafu vaa yako ni ya ajabu ajabu
umepaka na makeup sasa huko nani umempakia makeup zako! ubidamu kazi sana.
 
Kwa Roma makatekista wanaishi kwenye ufukara lakini mapadre, maparoko na maaskofu wanaishi kianasa
Wachungaji Hawa wako kwenye neno linasemaje sio baadhi Yao wanao wapetipeti watu. Msikilize huyu pia utoe maoni yake
 
Kwani matusi ndiyo jibu, au unaugua ugonjwa mbaya wa chuki ya kidini. Jitahidi kusema kistarabu, kujitambulisha tabia yako. Kwa maneno haya una tatizo mahala. Ninachosema nakijua kuhusu elimu yake.
Umejuaje mtoto mzuri
 
Back
Top Bottom