Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
- Thread starter
- #61
Kwa uelewa wako uko sahihi.Hatari sana.
Mke wako ni chombo cha kazi
Mke nimekwambia mke wangu Hana huo uchafu wa mawigi makucha ya bandia,Rasta, makeup nk. Hao ulio sema wewe wanaovaa then naenda kuzini nao nikakujibu hao ndo chombo Cha starehe.
Mwanamke yeyote wa namna hiyo ni chombo Cha starehe hata akiwa mke wa mtu mwenye kuvaa wigi,kucha. Za bandia,Rasta,kope za bandia,katoboa Hadi kitovu na kuchora tatoo nasemaje hii ni starehe tu siyo ya kuoa