Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
- Thread starter
-
- #21
Swala la dhambi ziishe ama zizidi sio kazi yake. Kazi yake nikuwaambia watu waache dhambi bila kupepesa macho namna hii.Toka mmeanza kukemea hizo mnazoita dhambi mbona kila siku ndio zinazidi?
Tena siku hizi hao wachungaji wenu ndio wanafanya matukio ya ajabu kama hawana ubongo vile🤔
Nampenda shekh kipozwa jamaa Huwa nacheka sana🤣🤣Hata wale wavaa kubazi kwenye kukemea dhambi hawakopeshi..live live kwa maneneo kuntu.
Wote hao ni wapumbavu tuKwanza kabisa Mimi Sina dhehebu maalumu japo nimebatizwa Rc na ndoa nikafungia huko.
Napenda kusikiliza mahubiri yoyote Yale. Tofauti tu na mahubiri ya itapeli ya kina mwamposa ya ushuhuda wa huongo hayo Sina muda wa kuyasikiliza hata kidogo.
Huwa nafurahishwa sana na aina hii ya wachungaji/watumishi wa Mungu wanaokemea dhambi bila kupepesa macho.
Siyo watu una hubiri waache dhambi halafu una wabembeleza wee kama kwamba wanachofanya ni sahihi ila kina mdhara! Ni sawa na mzee wa upako kusema kunywa pombe Ni kosa ila sio dhambi.
Padri wangu aliyekuwa hapapasi dhambi ni padre Thomas kabila bilingi. Daima atabaki kuwa padre mzuri mno kuwahi kutokea.
Huyu hata kwenye ndoa kama umepaka makeup umevaa wigi alikuwa hafungi ndoa za namna hiyo lipshine alikuwa anaitwa mavi ya wahindi. Nilimkubali sana.
Nisiwachoshe.
View attachment 3127480
View attachment 3127481
View attachment 3127482
View attachment 3127483
View attachment 3127480
View attachment 3127480
Kila kitu kipo kwa sababu wewe kama observer upo ,wakiacha hizo dhambi utajuaje wema ? Wakiacha hizo dhambi police watakula wap?Swala la dhambi ziishe ama zizidi sio kazi yake. Kazi yake nikuwaambia watu waache dhambi bila kupepesa macho namna hii.
Vingi tu mbaga anazingua Huwa anasema yesu angekuwa kanisani angewafukuza wenye nguo fupi kanisani? Angewafukuza wavaa mlegezo? Kwa masikio yangu nilimsikia siku ya sabato pale dodoma kati. Huyu pastor wanakwaya walikuwa wamevaa nguo fupi aliwatimua wote akaawambia ondekeni hapa akataka nyimbo ya kitabu niliona clip hiyo miaka4 imepita.Mbaga aliropoka kwa kudai hajui watu walio single wanaishije.
WatuombeeMtakatifu nyerere
Mtakatifu papa Yohanne wa pili
Mtakatifu kikwete
Mtakatifu martin luther
Hata wewe kuwafundisha ni sawa tu hujakatazwa!Kila kitu kipo kwa sababu wewe kama observer upo ,wakiacha hizo dhambi utajuaje wema ? Wakiacha hizo dhambi police watakula wap?
Hao mnaoita watumishi wafundisheni kila kitu kipo kwa sababu ya balance fulani hata wasipo huburi dhambi zipo na wema upo.
SawaWote hao ni wapumbavu tu
Ni kujipa umuhimu tu kwenye maisha ya watu , mtu anaejitambua na mwenye akili sawa sawa haitaji kutishiwa motoni ili atende mema .Hata wewe kuwafundisha ni sawa tu hujakatazwa!
Kwahiyo aambiwe Kuna baridi?Ni kujipa umuhimu tu kwenye maisha ya watu , mtu anaejitambua na mwenye akili sawa sawa haitaji kutishiwa motoni ili atende mema .
Nini hikiKwahiyo aambiwe Kuna baridi?
Kwanza kabisa Mimi Sina dhehebu maalumu japo nimebatizwa Rc na ndoa nikafungia huko.
Napenda kusikiliza mahubiri yoyote Yale. Tofauti tu na mahubiri ya itapeli ya kina mwamposa ya ushuhuda wa huongo hayo Sina muda wa kuyasikiliza hata kidogo.
Huwa nafurahishwa sana na aina hii ya wachungaji/watumishi wa Mungu wanaokemea dhambi bila kupepesa macho.
Siyo watu una hubiri waache dhambi halafu una wabembeleza wee kama kwamba wanachofanya ni sahihi ila kina mdhara! Ni sawa na mzee wa upako kusema kunywa pombe Ni kosa ila sio dhambi.
Padri wangu aliyekuwa hapapasi dhambi ni padre Thomas kabila bilingi. Daima atabaki kuwa padre mzuri mno kuwahi kutokea.
Huyu hata kwenye ndoa kama umepaka makeup umevaa wigi alikuwa hafungi ndoa za namna hiyo lipshine alikuwa anaitwa mavi ya wahindi. Nilimkubali sana.
Nisiwachoshe.
View attachment 3127480
View attachment 3127481
View attachment 3127482
View attachment 3127483
View attachment 3127480
View attachment 3127480
Nimependa anavyowasilisha ujumbe. Anaitwa nani?Kwanza kabisa Mimi Sina dhehebu maalumu japo nimebatizwa Rc na ndoa nikafungia huko.
Napenda kusikiliza mahubiri yoyote Yale. Tofauti tu na mahubiri ya itapeli ya kina mwamposa ya ushuhuda wa huongo hayo Sina muda wa kuyasikiliza hata kidogo.
Huwa nafurahishwa sana na aina hii ya wachungaji/watumishi wa Mungu wanaokemea dhambi bila kupepesa macho.
Siyo watu una hubiri waache dhambi halafu una wabembeleza wee kama kwamba wanachofanya ni sahihi ila kina mdhara! Ni sawa na mzee wa upako kusema kunywa pombe Ni kosa ila sio dhambi.
Padri wangu aliyekuwa hapapasi dhambi ni padre Thomas kabila bilingi. Daima atabaki kuwa padre mzuri mno kuwahi kutokea.
Huyu hata kwenye ndoa kama umepaka makeup umevaa wigi alikuwa hafungi ndoa za namna hiyo lipshine alikuwa anaitwa mavi ya wahindi. Nilimkubali sana.
Nisiwachoshe.
View attachment 3127480
View attachment 3127481
View attachment 3127482
View attachment 3127483
View attachment 3127480
View attachment 3127480
Nadhani ulitakiwa upimwe IQ yako kwanza maana haiwezekani mtu akiongea usichopenda uone hana akili timamu😁Anyways anaweza akawa sawa ila inaonekana huyu mzee ana matatzo ya afya ya akili
Mwasomola, Katengu Kuyenga ni wakweli kupita kiasi. Kuyenga mkamtimua, Katengu mkamtimua, Huyu mka mstaafisha kwa lazima ili mfanye wizi wenu.Huyo Pastor amenyooka vibaya huwa harembeshi anaitwa Pastor Mwasomola
Pastor mwasomolaNimependa anavyowasilisha ujumbe. Anaitwa nani?
Huyo hayupo kimaokoto. Ni mtu mmoja ana Hela sana na elimu imekaa hapoMambo ya mbingu siyo ya kulazimishana ni kushauliana na kuokotana vibunda basi kila mmoja apite hivi.
👍Mwasomola, Katengu Kuyenga ni wakweli kupita kiasi. Kuyenga mkamtimua, Katengu mkamtimua, Huyu mka mstaafisha kwa lazima ili mfanye wizi wenu.