Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
- Thread starter
-
- #61
Kwa uelewa wako uko sahihi.Hatari sana.
Mke wako ni chombo cha kazi
Wakati Yesu mwenyewe alikuwa akifunga safari kwenda kijiji cha Bethania kumwona Mariamu dada yake Lazaro. Yesu hakuwa na noma kabisa na kina dada. Yesu alikuwa anamaindi sana wanaofanya biashara kanisani. Angekuwepo angepiga marufuku jina lake kutumika kibiashara na kisiasa.Vingi tu mbaga anazingua Huwa anasema yesu angekuwa kanisani angewafukuza wenye nguo fupi kanisani? Angewafukuza wavaa mlegezo? Kwa masikio yangu nilimsikia siku ya sabato pale dodoma kati. Huyu pastor wanakwaya walikuwa wamevaa nguo fupi aliwatimua wote akaawambia ondekeni hapa akataka nyimbo ya kitabu niliona clip hiyo miaka4 imepita.
Uko sawa.hao unawasemea akina mwamposa. Yesu angekuwepo Leo wanawake wavaa vimini kanisani angewatimua na kuwaambia ondokeni na msigeuze nyumba ya baba yangu kuwa pango la ukahabaWakati Yesu mwenyewe alikuwa akifunga safari kwenda kijiji cha Bethania kumwona Mariamu dada yake Lazaro. Yesu hakuwa na noma kabisa na kina dada. Yesu alikuwa anamaindi sana wanaofanya biashara kanisani. Angekuwepo angepiga marufuku jina lake kutumika kibiashara na kisiasa.
Sawaaa. Mke wako ni chombo cha kaziKwa uelewa wako uko sahihi.
Mke nimekwambia mke wangu Hana huo uchafu wa mawigi makucha ya bandia,Rasta, makeup nk. Hao ulio sema wewe wanaovaa then naenda kuzini nao nikakujibu hao ndo chombo Cha starehe.
Mwanamke yeyote wa namna hiyo ni chombo Cha starehe hata akiwa mke wa mtu mwenye kuvaa wigi,kucha. Za bandia,Rasta,kope za bandia,katoboa Hadi kitovu na kuchora tatoo nasemaje hii ni starehe tu siyo ya kuoa
View attachment 3127669
Mtu mwenye PHD na hajitangazi kama Dr na wewe na nani ana matatizo ya Akili. Kusema jambo kwa uwazi ndio ugonjwa wa akili au ?Anyways anaweza akawa sawa ila inaonekana huyu mzee ana matatzo ya afya ya akili
100%Sawaaa. Mke wako ni chombo cha kazi
huyu mtumishi angekuwa wengine akina Geodav angefahamika tz nzimaMtu mwenye PHD na hajitangazi kama Dr na wewe na nani ana matatizo ya Akili. Kusema jambo kwa uwazi ndio ugonjwa wa akili au ?
Tuseme ukweli... Hapa kaongea kweli gani hasa, kwamba kupaka rangi na lipstick ni dhambi? Ubaya wake ni nini kama hata yeye anapaka mafuta... Why mtu akipaka makeup akapendeza mnasena dhambi....? Je hii sio akili ya ujima... Wale wa kujihesabia haki kwa matendo ya Sheria?Huyo Pastor amenyooka vibaya huwa harembeshi anaitwa Pastor Mwasomola
Wee kweli bwabwa sasa umejuaje kama ana PhD... Useless idiot weweMtu mwenye PHD na hajitangazi kama Dr na wewe na nani ana matatizo ya Akili. Kusema jambo kwa uwazi ndio ugonjwa wa akili au ?
Kweli wew asshole 💩 kapimwe akili na hormones... Soma kabla hujapost usikurupuke mtoto mzuriNadhani ulitakiwa upimwe IQ yako kwanza maana haiwezekani mtu akiongea usichopenda uone hana akili timamu😁
Kwani matusi ndiyo jibu, au unaugua ugonjwa mbaya wa chuki ya kidini. Jitahidi kusema kistarabu, kujitambulisha tabia yako. Kwa maneno haya una tatizo mahala. Ninachosema nakijua kuhusu elimu yake.Wee kweli bwabwa sasa umejuaje kama ana PhD... Useless idiot wewe
Nimeishia hapa kusoma nikaona kichwani haunazo wewe ni Tahira pumpuni kabisa.Why mtu akipaka makeup akapendeza mnasena dhambi....?
NakubaliHuyu OG hana mbamba,rula imenyooka.
Hapo na wewe unaamini utaiona mbingu wakati umetukana🤣🤣🤣 Alafu mwaona kosa makeup na lipstick.... Au hujui alikosa sheria moja amekosea katika zote!!Nimeishia hapa kusoma nikaona kichwani haunazo wewe ni Tahira pumpuni kabisa.
makeup unapendenza kuliko ulivyo umbwa na Mungu? ukivaa wigi unapendeza?
Ninyi ndo mnao kubali hata kujikrimu sio dhambi kisa haijaandikwa.
Tahira,ujinga,upumbavu, na hii pumpuni sio matusi. kama hujui maana zake sema uelimishwe. swala la kuiona mbinguHapo na wewe unaamini utaiona mbingu wakati umetukana🤣🤣🤣 Alafu mwaona kosa makeup na lipstick.... Au hujui alikosa sheria moja amekosea katika zote!!
Siku ukikutana na Yesu ukajua ukweli utalaumu Sana wachungaji wako!
Mi nakuombea ujue kweli ya Kristo... Uwe na Uhuru na sio kufungwa nira na mafundisho ya kidini... Ila sikukatazi.. Mkeo kumfanya awe chukuchuku!!,😁😁😁
Magugu na ngano boss. na hii kwa sabbu wachunguji hawakemei dhambi namna hii.hapa mwenge SDA wanavovaa vimin yaan daaah naendaga kanisan naishia kusimamisha tuu daaah full vimini .....yaan na vijana wananyoa denge plus wainjilist na wazee wa kanisa ety tunaenda paradiso mmm labda ile ya mabikra 72
Wote wanahubiri pesa tu toa ndugu toa ulichonacho kingine ndo maana clip ya kwanza hataki watu wapake rangi kucha ila watoe zaka lakini yeye kavaa suti ya mamilioni Kwa zaka za waumini lakini hataki waumini wapendezeKwanza kabisa Mimi Sina dhehebu maalumu japo nimebatizwa Rc na ndoa nikafungia huko.
Napenda kusikiliza mahubiri yoyote Yale. Tofauti tu na mahubiri ya kitapeli na ushuhuda wa uongo, hayo Sina muda wa kuyasikiliza hata kidogo.
Huwa nafurahishwa sana na aina hii ya wachungaji/watumishi wa Mungu wanaokemea dhambi bila kupepesa macho.
Siyo watu una hubiri waache dhambi halafu una wabembeleza wee kama kwamba wanachofanya ni sahihi ila kina madhara! Ni sawa na mzee wa upako kusema kunywa pombe Ni kosa ila sio dhambi.
Padri wangu aliyekuwa hapapasi dhambi ni padre Thomas kabila bilingi. Daima atabaki kuwa padre mzuri mno kuwahi kutokea.
Huyu hata kwenye ndoa kama umepaka makeup umevaa wigi alikuwa hafungi ndoa za namna hiyo.
Nilimkubali sana.
Nisiwachoshe.
View attachment 3127480
View attachment 3127481
View attachment 3127482
View attachment 3127483
View attachment 3127480
View attachment 3127480
Huyo jamaa una mfahamu mkuu? hapo anatimiza wito tu amewa kuwa dr huko mambele na elimu yake sio kamaWote wanahubiri pesa tu toa ndugu toa ulichonacho kingine ndo maana clip ya kwanza hataki watu wapake rangi kucha ila watoe zaka lakini yeye kavaa suti ya mamilioni Kwa zaka za waumini lakini hataki waumini wapendeze