Dhana nzima ya Futari na Daku

Dhana nzima ya Futari na Daku

Nilishamaliza kazi mda mrefu ,

La kwanza nilithibitisha Muhammad alikuwa hajui chochote kuhusu kufunga , akaiga kwa wayahudi Cha kushangaza sio Allah kamwambia [emoji23][emoji23][emoji23]

La pili nimethibitisha Allah alitengeneza masanamu ya Malaika na mitume akaweka msikitini waislamu wakawa wanayaangalia na kukumbuka kumuomba Allah

Swali lilibaki kwako bado hujajibu

Kati ya masanamu ya Suleimani na jiwe la macca kipi kilitangulia?

Kwa nini Allah aliyaondoa masanamu likabaki jiwe tu ?
Hahaha kweli chizi sio mpaka avue nguo

Mpaka sasa hujajibu yesu gani alie waambia mfungue saa 12

Alafu hizo hoja zako juu za kutunga

Mosi hakuna sehemu suleiman kwamba aliyaweka masanam msikitini


Pili funga alio twambia Allah ya Lazima ni Ramadhani nikakuuliza wapi mayahudi walikua wanafunga ramdhani hukujibu

Tatu masanam aliyo kua anayachonga suleimani sio kwa ajili ya kuabudiwa kama nyie mnavyo fanya sanam la deacon

Nne masanam hayo hayakua katika msikiti wa makka wala hayajawekwa katika msikiti pia

Mwisho mimi nimemaliza kazi maana imeshindwa kutuambia wapi yesu kawaambia mfungue saa 12

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mwisho mimi nimemaliza kazi maana imeshindwa kutuambia wapi yesu kawaambia mfungue saa 12
Shida Yako kubwa ni kutokujibu swali moja baada ya lingine

Swali lilibaki kwako bado hujajibu

Kati ya masanamu ya Suleimani na jiwe la macca kipi kilitangulia?

Kwa nini Allah aliyaondoa masanamu likabaki jiwe tu ?

Soma swali jibu kama lilivyo ulizwa
 
Tatu masanam aliyo kua anayachonga suleimani sio kwa ajili ya kuabudiwa kama nyie mnavyo fanya sanam la deacon
Akili itakukaa sawa , umeona majini yalijenga msikitini na masanamu ya mitume
Kwa Nini Allah alikuja badae tena kukataa kazi zake na yeye ndie alianzisha ?

Ni wapi na andiko gani linasema wakristo wanaabudu sanamu?
 
Pili funga alio twambia Allah ya Lazima ni Ramadhani nikakuuliza wapi mayahudi walikua wanafunga ramdhani hukujibu
Kati ya ile funga aliyoiga kwa wayahudi na funga ya ramadhani ipi ukifunga unasemehewa dhambi za mda mrefu? Weka na rejea
 
Shida Yako kubwa ni kutokujibu swali moja baada ya lingine

Swali lilibaki kwako bado hujajibu

Kati ya masanamu ya Suleimani na jiwe la macca kipi kilitangulia?

Kwa nini Allah aliyaondoa masanamu likabaki jiwe tu ?

Soma swali jibu kama lilivyo ulizwa
Hahahha yani wewe hujijui kama huna shida tangu jana mpaka leo umeshindwa kusema yesu gani kawaambia mufunge saa 12 hivi unatumia akili kweli


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hahahha yani wewe hujijui kama huna shida tangu jana mpaka leo umeshindwa kusema yesu gani kawaambia mufunge saa 12 hivi unatumia akili kweli


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Swali lilibaki kwako bado hujajibu

Kati ya masanamu ya Suleimani na jiwe la macca kipi kilitangulia?

Kwa nini Allah aliyaondoa masanamu likabaki jiwe tu ?

Soma swali jibu kama lilivyo ulizwa
 
Akili itakukaa sawa , umeona majini yalijenga msikitini na masanamu ya mitume
Kwa Nini Allah alikuja badae tena kukataa kazi zake na yeye ndie alianzisha ?

Ni wapi na andiko gani linasema wakristo wanaabudu sanamu?
13. Walikuwa wakimfanyia alipendalo, kama mihrabu, na masanamu, na madeste makubwa kama mahodhi, na masufuria makubwa yasiyo ondolewa mahala pake. Enyi watu wa Daudi! Fanyeni kazi kwa kushukuru. Ni wachache katika waja wangu wanao shukuru

Haya wapi hapo aya inasema masanam yamejengwa ndani ya msikiti

Na hapo mbona aliekua akifanyiwa apendalo ni Suleman au hujui kusoma

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Swali lilibaki kwako bado hujajibu

Kati ya masanamu ya Suleimani na jiwe la macca kipi kilitangulia?

Kwa nini Allah aliyaondoa masanamu likabaki jiwe tu ?

Soma swali jibu kama lilivyo ulizwa
Hahhahaha ndio jibu hilo hivi tangu jana unashindwa kujibu

Wewe hadithi si umetoa mwenyewe

Au hujui nani alie waambia mfungue saa 12 mkaamua kutuiga
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
13. Walikuwa wakimfanyia alipendalo, kama mihrabu, na masanamu, na madeste makubwa kama mahodhi, na masufuria makubwa yasiyo ondolewa mahala pake. Enyi watu wa Daudi! Fanyeni kazi kwa kushukuru. Ni wachache katika waja wangu wanao shukuru

Haya wapi hapo aya inasema masanam yamejengwa ndani ya msikiti

Na hapo mbona aliekua akifanyiwa apendalo ni Suleman au hujui kusoma

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
34:13 They made for him what he willed: synagogues and statues of angels, prophets and other righteous servants so that people look at them and follow their example of worshipping Allah,

Synagogue la waislamu ni nini?
 
Hahhahaha ndio jibu hilo hivi tangu jana unashindwa kujibu

Wewe hadithi si umetoa mwenyewe
Ndio maana naamua kukupotezea ,haujibu

Swali lilibaki kwako bado hujajibu

Kati ya masanamu ya Suleimani na jiwe la macca kipi kilitangulia?

Kwa nini Allah aliyaondoa masanamu likabaki jiwe tu ?

Soma swali jibu kama lilivyo ulizwa
 
34:13 They made for him what he willed: synagogues and statues of angels, prophets and other righteous servants so that people look at them and follow their example of worshipping Allah,

Synagogue la waislamu ni nini?
Hahahha sinagogi hulijui soma hii

Ndipo Hana akainuka, walipokwisha kula na kunywa huko Shilo. Naye Eli, kuhani, alikuwa akiketi kitini pake penye mwimo wa hekalu la Bwana.


Alafu nakuuliza wewe kwanini mnafungua saa 12 au mmeamua kutuiga.?[emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Ndio maana naamua kukupotezea ,haujibu

Swali lilibaki kwako bado hujajibu

Kati ya masanamu ya Suleimani na jiwe la macca kipi kilitangulia?

Kwa nini Allah aliyaondoa masanamu likabaki jiwe tu ?

Soma swali jibu kama lilivyo ulizwa
Hahaha nimekuuliza aya gani inasema macca Allah alieka masanam[emoji23][emoji23]?
Akaamua kuyaondoa au unaugua mwenzetu

Wewe uwezo wa kunijibu huna swali moja tu tena tangu jana mmeamua tu kutuiga basi

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hahaha nimekuuliza aya gani inasema macca Allah alieka masanam
Swali lilibaki kwako bado hujajibu

Kati ya masanamu ya Suleimani na jiwe la macca kipi kilitangulia?

Kwa nini Allah aliyaondoa masanamu likabaki jiwe tu ?

Suleiman muislamu na masanamu walikuwa wanaishi wapi?

Soma swali jibu kama lilivyo ulizwa
 
Swali lilibaki kwako bado hujajibu

Kati ya masanamu ya Suleimani na jiwe la macca kipi kilitangulia?

Kwa nini Allah aliyaondoa masanamu likabaki jiwe tu ?

Suleiman muislamu na masanamu walikuwa wanaishi wapi?

Soma swali jibu kama lilivyo ulizwa
kila siku utaendelea kushindwa tu kama masaa 27 na umeshindwa kujibu nani alie waambia mfungue saa 12 mkifunga

Unahangaika sana wewe ulisema juu Allah kaeka masanam akayaondoa nimekuomba andiko huna unaendelea kuhangaika

Jibu kwanza kiporo chako

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Swali ni hili
Synagogue la waislamu ni nini?

Jibu kama swali lilivyoulizwa

Kama hutajibu kama nilivyouliza nakupotezea
Kwa hiyo ulivyo kua unaongopa hovyo ulijua watu hawajui au mimi nina kupa kwa maandiko kuku wewe sio kunipotezea kama kukupotezea mimi ningekupotezea muda tu tangu jana umeshindwa kujibu swali moja tu

Huna jipya we kama unakimbia sema

Suleiman alikua anatengenezewa 𝐌𝐀𝐇𝐄𝐊𝐀𝐋𝐔 unatakaaana maana gani nyingine ikiwa hiyo ndio maana yake

Jibu wewe wapi yesu aliwaambia mfungue saa 12



Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom