Sina mttHuna watoto? Utaandikaje mdogo wako Kama una watoto mjinga wewe? Nina mifano kibao baba wadogo au wakubwa wanadhulumu mali za watoto baba yao akifa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sina mttHuna watoto? Utaandikaje mdogo wako Kama una watoto mjinga wewe? Nina mifano kibao baba wadogo au wakubwa wanadhulumu mali za watoto baba yao akifa
Ndug zng wanawezaHao ndugu zako hawawezi kujitafutia? Sijuagi kuna nini hapa kati mwanaume anaona ni bora amuandike hata mzazi wake ila mke na watoto watajijua sijuagi mna sababu gani.
Sina watoto M/Mungu akipenda mwez wa 3 natarajia kupat mtt wng wa kwanz wa kiume mim na mke wngUnamuandika mdogo wako?!..bora hata umwandike mwanao..au umwandike kabisa huyo mkeo hata ukifa watoto itawahusu ila kumwandika mdogo wako wanao hawatapata chochote kwenye hiyo nyumba..tafakari upya!
UkikubaliOa wewe ,maisha kila mtu ana yake.
😉Ukikubali
Mungu akamfanyia Adam MsaidiziMwanaume unaoa mwanamke ili akusaidie kulea familia? Lazima una udumavu wa akili. Oa mke umpendaye ili muishi kwa mapenzi na amani. Siyo ili aje akusaidie au achangie kujenga nyumba.
MkuuMwanaume unaoa mwanamke ili akusaidie kulea familia? Lazima una udumavu wa akili. Oa mke umpendaye ili muishi kwa mapenzi na amani. Siyo ili aje akusaidie au achangie kujenga nyumba.
Kama ndo hivo c uache kabisa kuoa maisha gani hayo ya kuficha mali zako mtaishi kiunafiki tu.- Usimwamini Mwanamke.
- Usimwoneshe mali zako zote
- Usimmilikishe mali zako zote
- Usitake mazoea na ndugu zake
Ila hili la Mali ni muhimu kufata huu ushauri.Kama ndo hivo c uache kabisa kuoa maisha gani hayo ya kuficha mali zako mtaishi kiunafiki tu.
Unahoja moja tu ndio naikubali, yaani abadilishe jina kwenye hati lisiwe la mdogo wake bali la wanae au kama hawajazaa basi la kwake au mama yake mzazi. Lakini yaliyobaki sitokaa hata siku moja nimuamini mwanamke. Hata siku moja usifanye hilo kosa, hasa kwaupande wa mali. Hayo yakunisaidia yangefaa kipindi kile ambapo ndoa zilikuwa haziharibiki kirahisi ila sio sasa. Upendo huisha usipokuwa wa mtoto na wazazi na kamwe mwanamke hafanyi jambo kama hatajua hatapata faida juu yake. Mwanamke hata umtendee wema kiasi gani ila hisia zake zikienda kushoto atakuona na kukudharau kama mjinga fulani. So, mwanamke tutatunza ndoa ila kuhusu assets hata siku moja hatutashirikiana. Kama atakopa akaenda kujenga, ni pesa yake na mkopo ni wake hivyo halitanisumbua kwachochote. Tulijifunza mengi na mwanamke sitasahau kuwa haaminiki isipokuwa mama yangu tu.Mkuu mbona una roho hiyo kwani wewe hauna watoto husiwe na roho hiyo husiwachukie wanawake huyo umesema ni mke wako tena kajitokeza kukopa pesa kwaajili ya familia lakini we hutaki" sasa wanawake wakitumia pesa zao peke yao tuna walaumu, mfano huyo mke wako angekopa pesa akajega nyumba yake naamini ungekuja hapa kuleta mada, Huyo mdogo wako ukimuandika kwenye hati ya nyumba au mali zako humkomoi huyo mkeo bali unawakomoa watoto wako ndiyo watakuja kuteseka. Nimeanza kuwaelewa Wanzugu kwanini wanamjali sana mwanamke na watoto kuna pakujifunza hapa, Tatizo sisi wa Africa tunaamini mali ndiyo kila kitu yani tunaweza kufanya jambo baya kuwaajiri tu ya kupata mali.
Ushapigwa acha tu shemeji dada kaniambiaNgoja nami nianze utaratibu wa Kupata Hati ya Makazi yenye majina YANGU
Safi, na hio uliyonayo ndio akili timamu ya mwanaume .Tupo wote. Lakini unapooa ni vema kuangalia mbali zaidi ya "kusaidiwa" na mwanamke. Kwa utamaduni na asili yangu, nikioa ili nisaidiwe ni aibu sana. Sijalibadilisha akili mwangu. Bibie wangu hata kama ana kazi na mshahara, huo ni wake na watoto. Simuulizi chochote. Akiamua atoe. Akikataa ni sawa. That's the benefit of being a man with a gun, fella!