Dhana ya kuoa mtumishi mwenzake ili wasaidiane kimaendeleo imemponza

Dhana ya kuoa mtumishi mwenzake ili wasaidiane kimaendeleo imemponza

Ishu ya kushare na mke siitaki hata kidogo kuna kiwanja changu nishakianza foundation naona wife anajitiatia kwamba anichukulie mkopo bank tunyanyue yote nimemwabia ukweli kwamb sitaki hata 100 yake 😂 na nyumba yangu nikimaliza namuandikia mdogo wangu.
Hili nalo ni jambo la kujisifu hadharani?
Ulimuoa wa nini sasa kama mambo yenyew ndio hayo
 
Achana na hiyo
Mwenzio nlituma money kwa mshua akaninunulia akaandika na jina lake kama mmikiki
Nlitak kusema huyu mshua aje!!!?

Ila juzi nmemuomba na nida yake nataka
Maji na umeme vipite hukohuko
Kifupi sina kitu[emoji16][emoji16][emoji16]
Daah noma san 😂
 
Dah mala mseme tusipoowa tunakua mashoga
Tukioww mnatupapua

Nye wadada mnataka kitu gani???


By the way nadhani tunjifunza kutokana na mkosa

Jf imebadilisha system ya maisha yangu kwa kiasi kipana sana
Najiona kama nmekua na chembechembe za moyo Mkavu!!
 
Hili nalo ni jambo la kujisifu hadharani?
Ulimuoa wa nini sasa kama mambo yenyew ndio hayo
Kwan kuna ulazima wakushirikiana? Au kuna ubaya gan kukataa? Mali natafuta kwa jasho langu halaf nikiandikia ndug zng uumie si utakua uchawi uwo
 
Ishu ya kushare na mke siitaki hata kidogo kuna kiwanja changu nishakianza foundation naona wife anajitiatia kwamba anichukulie mkopo bank tunyanyue yote nimemwabia ukweli kwamb sitaki hata 100 yake [emoji23] na nyumba yangu nikimaliza namuandikia mdogo wangu.
We ndo akili hamna.
 
Hili nalo ni jambo la kujisifu hadharani?
Ulimuoa wa nini sasa kama mambo yenyew ndio hayo

Umesoma kisa hapo juu? Umekielewa?
Kama ndio basi huwezi kutoa lawama kwa maamuzi haya!

Dada yangu mambo yameshabadilika
Na huko tumakoenda ndoa zitapungua kama sio kuisha kabisa kabisa
Sasa unaowa ili iwaje?

Maisha ni tough sister
Pesa imekua ngumu sana sana
Hivyo bila ya AKILI hutoboi
Wakati huo Kumbuka unakimbizana na muda usikutupe mkono

Wewe kama mpenzi wangu unaona hustle zangu suppport yako ni muhimu ikiwa utapenda
Ikiwa hupend Siwez kukulazimisha ufanye

Ila kwa sasa hata mimi sitaki hata 100 ya woman kwenye mapambano yangu sababu hata kama hatutaachana bado kuna dhalau zipo ikiwa mtafanya kila kitu pamoja

[mention]Extrovert [/mention] amenipa kauli moja madhubuti hapo juu kua ufukara unazaa uchoyo

Mentality ya fedha kwenye vichwa vya wadada wakibongo ni mbaya mbaya mbaya
Ndio maana hata wewe huwez kua na mimi hadi ujue kwanza status yangu ki maendeleo (umiliki) ila pengine hata family status yangu ikawa mwishoni kwako (sio muhimu)
 
Mwanaume unaoa mwanamke ili akusaidie kulea familia? Lazima una udumavu wa akili. Oa mke umpendaye ili muishi kwa mapenzi na amani. Siyo ili aje akusaidie au achangie kujenga nyumba.
Bado uko beyond..! OA mwanamke anayekupenda il akuheshmu na kukujal...!!
Mwanamke unayempenda atakusumbua kama akiwa kimasirai
 
Use brain Heriel,

Mkuu hati ya nyumba iko kwenye majina ya huyu mwanamke ilimlazimu baada ya kununua kiwanja aibadili aiweke kwenye majina yake ila apate mkopo mwingine wa kufanya finishing jamaa yangu hakusutuka kabisa, sasa hivi ndio ameanza kuona makosa when its too late
Sasa kama walinunua wakiwa kwenye ndoa kwann asiombe 50 50?
 
Karma is a bitch.
Ninammama namfahamu nae alifanya hivyohivyo Sasa hivi yupo kwenye late of 45's kakongoroka na Sukari, maisha ni ubatili tujifunze kutenda na kuacha alama ya wema haigharimu

Kuna nyingine huku nkiandika vidole vitauma tu


Me nnaamini kua jasho la mtu ni haki ya wema

Kamwe siwezi na sijawah kumdhulumu mtu haki yake

Kuna site moja nlipewa niifanye
Kutokana na mchakato fulani nkampa dogo( amaechipukia) aifanye

Alipomaliza nkamwambia twende kwa boss pamoja
Mbele yake nlichukua fedha na hata tsh100 sikuipunguza nkampa...yule dogo alishangaa nadhan alijua labda ningemlia udalali au aje!!!

Kushangaa kwake kulimpelekea hadi kumwambia moja ya watu wangu wa karibu
Kua anashangaa

Nkaja ambiwa dogo haamini (nadhan yeye kuna kiwango alijiwekea kua angepata)


Kamwe usile JASHO ya mtu (((Mwanzo 3:17))
Ni dhambi
Fedha yake ina laana na hupuputika kama maji!
 
Amepigwa ngumu "ndoige". Cha muhimu amemuachia uhai. Haki itapatikana hapa hapa duniani
 
Umesoma kisa hapo juu? Umekielewa?
Kama ndio basi huwezi kutoa lawama kwa maamuzi haya!

Dada yangu mambo yameshabadilika
Na huko tumakoenda ndoa zitapungua kama sio kuisha kabisa kabisa
Sasa unaowa ili iwaje?

Maisha ni tough sister
Pesa imekua ngumu sana sana
Hivyo bila ya AKILI hutoboi
Wakati huo Kumbuka unakimbizana na muda usikutupe mkono

Wewe kama mpenzi wangu unaona hustle zangu suppport yako ni muhimu ikiwa utapenda
Ikiwa hupend Siwez kukulazimisha ufanye

Ila kwa sasa hata mimi sitaki hata 100 ya woman kwenye mapambano yangu sababu hata kama hatutaachana bado kuna dhalau zipo ikiwa mtafanya kila kitu pamoja

[mention]Extrovert [/mention] amenipa kauli moja madhubuti hapo juu kua ufukara unazaa uchoyo

Mentality ya fedha kwenye vichwa vya wadada wakibongo ni mbaya mbaya mbaya
Ndio maana hata wewe huwez kua na mimi hadi ujue kwanza status yangu ki maendeleo (umiliki) ila pengine hata family status yangu ikawa mwishoni kwako (sio muhimu)
Shida wanaume wengi siku hizi hawajiamini na wanaona wanawake wapo hapo kwa ajili ya hela zao af unakuta wengine hata hizo hela hawana sasa.

La muhimu hapo ni upendo wa dhati, ila mkiishi kwa kuviziana viziana kisa mali basi hiyo ndoa ina shida
 
Kwan kuna ulazima wakushirikiana? Au kuna ubaya gan kukataa? Mali natafuta kwa jasho langu halaf nikiandikia ndug zng uumie si utakua uchawi uwo
Mali ni nini juu ya familia yako (mkeo)?
As if ukifa unazikwa nazo
 
Bado uko beyond..! OA mwanamke anayekupenda il akuheshmu na kukujal...!!
Mwanamke unayempenda atakusumbua kama akiwa kimasirai
Hayo ni mawàzo yako.Sasa utaoa mke anayekupenda tu wakati weye huna habari naye?Unaposoma mistari hata kama ipo kwenye vitabu vya dini jaribu kuomba hekima ya kupata uwanda mpana wa tafsiri inayotekelezeka maishani.
 
Kuna wanaume wengine wanataka wapendwe na wafanyiwe mambo yote kama walemavu.Huwa wanaoa hadi wake wengi na kuwafanya mtaji wakati wao wanazurula na kustarehe tu.
Hili sasa ni Povu kwa Wanaume wenye wake wengi, au siyo!!??
 
Back
Top Bottom