Dhana ya kurushwa na umeme ukweli ni huu!

Dhana ya kurushwa na umeme ukweli ni huu!

Huna hoja ya kubishana na mimi..
Mi ni fundi mkuu nimesoma umeme miaka miwili...

Labda niulize chochote kuhusu umeme nikujibu..
Nimesoma umeme toka form 4 na nimetoka na 1 kali ya physics

Adv nimesoma PCM nimesoma umeme wa advance..
Sasa sijui unataka kunirekebisha nini hapo...
Unatanguliza neno unadhani.. mbele yangu..
Mbona jamaa kaeleza vizuri tuu! Au umeelewa tofauti,
 
Umejiunga juzi tuu jf hapa unataka kubishana na mimi daah
We jamaa unaonekana unapenda shari na mbaya zaidi umeme wenyewe umesoma miaka miwili tu tena ya form five na six 🤣🤣🤣🤣 level ya chini kabisa kama unavyo jinadi,wewe unaamini hiyo ndiyo elimu ya juu kabisa ya umeme kufikiwa? Wapo watu wa electrical engineering hapa wana kuzoom tu unavyo jimwambafai wakati wewe umesoma kama ki topic tu kwenye physics. Acha hizo bwana mdogo nyie vitoto vya 2000 mnamakasiriko sana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Sasa mimi utanilipua vipi yaani hapo ni sawa na kuhakikishia wana jf kuwa huyu jamaa ni mtaalamu sawa fanya vyovyote ila jua kabisa bado huna hoja
LEO NAKUSUBIRI,JAA TU.

ILA NILISEMA TOKEA MWANZO,MTU MWENYE ELIMU YA KUUNGA UNGA HUKU AKIWA HAJIAMINI HUTAFUTA SANA KUBISHANA KWA VYETI NA MATOKEO HUKU AKIONGEA TU UNAJUA HAPA KICHWANI NI HAKUNA KITU.

WEWE NI MUONGO SANA,NA ILE HOJA YA TRANSISTOR ULIYOBISHA ILIKUWA SAHIHI.
 
We jamaa unaonekana unapenda shari na mbaya zaidi umeme wenyewe umesoma miaka miwili tu tena ya form five na six 🤣🤣🤣🤣 level ya chini kabisa kama unavyo jinadi,wewe unaamini hiyo ndiyo elimu ya juu kabisa ya umeme kufikiwa? Wapo watu wa electrical engineering hapa wana kuzoom tu unavyo jimwambafai wakati wewe umesoma kama ki topic tu kwenye physics. Acha hizo bwana mdogo nyie vitoto vya 2000 mnamakasiriko sana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Sio mtoto wa 2000 mimi mkuu.
Kuwa na heshima kama huna hoja ya kubishana na mimi tulia.

Wenzako wanabishana kwa cv hapa ukute hata ujue mambo ya parallel na series connection ya ammeter..
So cool down
 
LEO NAKUSUBIRI,JAA TU.

ILA NILISEMA TOKEA MWANZO,MTU MWENYE ELIMU YA KUUNGA UNGA HUKU AKIWA HAJIAMINI HUTAFUTA SANA KUBISHANA KWA VYETI NA MATOKEO HUKU AKIONGEA TU UNAJUA HAPA KICHWANI NI HAKUNA KITU.

WEWE NI MUONGO SANA,NA ILE HOJA YA TRANSISTOR ULIYOBISHA ILIKUWA SAHIHI.
Hakuna kitu kama hiko..
Achana na mimi
 
We jamaa unaonekana unapenda shari na mbaya zaidi umeme wenyewe umesoma miaka miwili tu tena ya form five na six 🤣🤣🤣🤣 level ya chini kabisa kama unavyo jinadi,wewe unaamini hiyo ndiyo elimu ya juu kabisa ya umeme kufikiwa? Wapo watu wa electrical engineering hapa wana kuzoom tu unavyo jimwambafai wakati wewe umesoma kama ki topic tu kwenye physics. Acha hizo bwana mdogo nyie vitoto vya 2000 mnamakasiriko sana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Jamaa ni mjinga sanaa!

Anasema amesoma umeme eti kwenye physics in education topic ya ELECTROMAGNETISM🤣
 
Back
Top Bottom