Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Kuna lecture anaitwa mahenge pale alinifundisha ITWeka hao ambao zipo au idara wanayotoka na kufundisha hizo kozi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna lecture anaitwa mahenge pale alinifundisha ITWeka hao ambao zipo au idara wanayotoka na kufundisha hizo kozi.
Wewe ujajua na huna hoja mkuuLEO NI LEO.
Umejiunga juzi tuu jf hapa unataka kubishana na mimi daahJamaa ameniudhi sana.
Muongo muongo tu.
Hata hoja aliyokuwa anabisha hadi kufika hapa alikosea.
Huyu ni wale vihiyo.
Mbona jamaa kaeleza vizuri tuu! Au umeelewa tofauti,Huna hoja ya kubishana na mimi..
Mi ni fundi mkuu nimesoma umeme miaka miwili...
Labda niulize chochote kuhusu umeme nikujibu..
Nimesoma umeme toka form 4 na nimetoka na 1 kali ya physics
Adv nimesoma PCM nimesoma umeme wa advance..
Sasa sijui unataka kunirekebisha nini hapo...
Unatanguliza neno unadhani.. mbele yangu..
Una akili sana.Boss hasira zako ziko jirani sana aisee.......yani from no where uje umejaa kiasi hichi....
Basi nisamehe mkuu...mimi hua sijihusishi na mabishano au ugomvi wa hivi......
Nisamehe boss....wewe upo sahihi kwa kila kitu...
Kama huna hoja nyamaza...Mbona jamaa kaeleza vizuri tuu! Au umeelewa tofauti,
Shukrani🙏Una akili sana.
Hiyo ni hoja nyingine...Sasa naanza kupata majibu kwa nini Tanzania umeme unakatika kila wakati
Hahaha!Sasa naanza kupata majibu kwa nini Tanzania umeme unakatika kila wakati
Unacatch feelings mapema mnooNimeandika CV ili ujue who is talking....
Kingine usitanie mtu usiyemjua sometimes is you can get harmful
Kama huna hoja we nyamaza..Unacatch feelings mapema mnoo
We jamaa unaonekana unapenda shari na mbaya zaidi umeme wenyewe umesoma miaka miwili tu tena ya form five na six 🤣🤣🤣🤣 level ya chini kabisa kama unavyo jinadi,wewe unaamini hiyo ndiyo elimu ya juu kabisa ya umeme kufikiwa? Wapo watu wa electrical engineering hapa wana kuzoom tu unavyo jimwambafai wakati wewe umesoma kama ki topic tu kwenye physics. Acha hizo bwana mdogo nyie vitoto vya 2000 mnamakasiriko sana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Umejiunga juzi tuu jf hapa unataka kubishana na mimi daah
LEO NAKUSUBIRI,JAA TU.Sasa mimi utanilipua vipi yaani hapo ni sawa na kuhakikishia wana jf kuwa huyu jamaa ni mtaalamu sawa fanya vyovyote ila jua kabisa bado huna hoja
We unadhani unajua sana kuhusu umeme ?Kama huna hoja nyamaza...
Nataka nitoe elimu kuhusu umeme
Kichwa cha kuku.Kama wewe umetoa kwenye tovuti unazani hyo CHATGPT HYO TAARIFA IMEJITUNGIA AU...
MKUU EBU BEFORE UJAFANYA KITU THINK TWICE
Sio mtoto wa 2000 mimi mkuu.We jamaa unaonekana unapenda shari na mbaya zaidi umeme wenyewe umesoma miaka miwili tu tena ya form five na six 🤣🤣🤣🤣 level ya chini kabisa kama unavyo jinadi,wewe unaamini hiyo ndiyo elimu ya juu kabisa ya umeme kufikiwa? Wapo watu wa electrical engineering hapa wana kuzoom tu unavyo jimwambafai wakati wewe umesoma kama ki topic tu kwenye physics. Acha hizo bwana mdogo nyie vitoto vya 2000 mnamakasiriko sana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hakuna kitu kama hiko..LEO NAKUSUBIRI,JAA TU.
ILA NILISEMA TOKEA MWANZO,MTU MWENYE ELIMU YA KUUNGA UNGA HUKU AKIWA HAJIAMINI HUTAFUTA SANA KUBISHANA KWA VYETI NA MATOKEO HUKU AKIONGEA TU UNAJUA HAPA KICHWANI NI HAKUNA KITU.
WEWE NI MUONGO SANA,NA ILE HOJA YA TRANSISTOR ULIYOBISHA ILIKUWA SAHIHI.
Jamaa ni mjinga sanaa!We jamaa unaonekana unapenda shari na mbaya zaidi umeme wenyewe umesoma miaka miwili tu tena ya form five na six 🤣🤣🤣🤣 level ya chini kabisa kama unavyo jinadi,wewe unaamini hiyo ndiyo elimu ya juu kabisa ya umeme kufikiwa? Wapo watu wa electrical engineering hapa wana kuzoom tu unavyo jimwambafai wakati wewe umesoma kama ki topic tu kwenye physics. Acha hizo bwana mdogo nyie vitoto vya 2000 mnamakasiriko sana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nishataja jina la lecture unatakajeKichwa cha kuku.
Tumia akili kidogo basi hizohizo za kuku.
Unaidhalilisha UDOM sana.