Dhana ya kurushwa na umeme ukweli ni huu!

Dhana ya kurushwa na umeme ukweli ni huu!

eti CV unajua CV yangu?
unabishana kwa one ya ngapi?

Umesema una 1 kali ya Physics,sema ikoje?,sio kuanza na hoja zingine.

Watu dhaifu hutanguliza elimu zao za hovyo kujifanya wamesoma.

Sasa elimu ya physics form na advance nae unatusumbua hapa?

Akili gani hizi.

Umesoma umeme miaka miwili sio,ndio unasema unajua sana na Una one kali ya Physics? ,

Unajisifia advance wewe kama wengine hatuijui hiyo advance?

Sikia wewe,nimesoma Physics miaka 9,nimefanya umeme kwa miaka 23,nimepita kila elimu ambayo wewe huna,ndani na nje ya nchi.

Wewe unakuja hapa kutaka kupotosha watu na miaka miwili ya umeme na kusoma Physics form four?

Ukitaka tufungue files zetu na tuache IDs fake tuone nani mkweli.

JAMAA ALIKUA SAHIHI KWA MAELEZO YAKE KUHUSU ULILOKUWA UNABISHA.
Huna hoja ya kuanza kubishana na mimi nishakupa cv yangu yangu hapo toa na wewe..

Hvi kwanini munakua waongo waongo...
Wewe uwongo utakupeleka wapi et oooh umesoma umeme miaka 23 ..

Umesoma wapi..?
Skia wewe mi huwa mkali sana mtu anapogusa fani za watu aiwezekani mtu katoka alipotoka anapotosha watu alafu mimi niwe nacheka cheka tuu...

Wewe before that nadhani ujajua unaongea na nani na nina mchango gani katila maendeleo ya technology hapa tanzania...

Kingine kama huna hoja kaa kimya weka cv tutembee na cv hapa sio unakuja na hoja zako za ajabu ajabu.
 
Yaani JF mtu tu unatoka huko unaanza kuuliza wenzio eti umepita advance wewe?

Yaani wewe kwenye masuala ya umeme uniulize hilo swali la elimu ya advance hasa hiyo physics kweli?

Wewe muda huu kwenu ni saa 12:48 asubuhi,mimi ninapoandika muda huu ni saa 10: 48 kabla ya asubuhi,na kilichonileta hapa nilipo ni umeme huohuo,halafu kuna mtanzania yuko anasumbua watu na 1 kali ya Physics form four,na advance amesoma PCM eti amesoma umeme miaka miwili.

Kwa CV yako hiyo hufai kuchangia mjadala huu,endelea kuwa mtazamaji.

Usitishe watu kwa CV dhaifu.
 
Yaani JF mtu tu unatoka huko unaanza kuuliza wenzio eti umepita advance wewe?

Yaani wewe kwenye masuala ya umeme uniulize hilo swali la elimu ya advance hasa hiyo physics kweli?

Wewe muda huu kwenu ni saa 12:48 asubuhi,mimi ninapoandika muda huu ni saa 10: 48 kabla ya asubuhi,na kilichonileta hapa nilipo ni umeme huohuo,halafu kuna mtanzania yuko anasumbua watu na 1 kali ya Physics form four,na advance amesoma PCM eti amesoma umeme miaka miwili.

Kwa CV yako hiyo hufai kuchangia mjadala huu,endelea kuwa mtazamaji.

Usitishe watu kwa CV dhaifu.
Mpaka sasa naona unabisha bisha tuu..
Nimeuliza advance una one ya ngapi..

Mbona mambo madogo haya au ndo nyie wa kuunga unga huko na vyeti vyenu vya ajabu...

Unajua kufunga submeter wewe?
Nikuulize vtu vichache kuhusu umeme utanijibu..?
 
Huna hoja ya kuanza kubishana na mimi nishakupa cv yangu yangu hapo toa na wewe..

Hvi kwanini munakua waongo waongo...
Wewe uwongo utakupeleka wapi et oooh umesoma umeme miaka 23 ..

Umesoma wapi..?
Skia wewe mi huwa mkali sana mtu anapogusa fani za watu aiwezekani mtu katoka alipotoka anapotosha watu alafu mimi niwe nacheka cheka tuu...

Wewe before that nadhani ujajua unaongea na nani na nina mchango gani katila maendeleo ya technology hapa tanzania...

Kingine kama huna hoja kaa kimya weka cv tutembee na cv hapa sio unakuja na hoja zako za ajabu ajabu.
UMESEMA UNA 1 KALI YA PHYSICS FORM FOUR?,ELEZA HII IKOJE KWENYE MFUMO WA ELIMU TANZANIA.

CV YAKO HIYO YA KUSOMA UMEME MIAKA MIWILI?,HIYO NI CV AU TAKATAKA?,HILO NAE LA KUSEMA HADHARANI?

WEWE TUACHE IDs FAKE TUTOE UTAMBULISHO WETU HADHARANI LEO TUMALIZE HILI.

TUONE KAMA UNAWEZA KUBISHANA KWA CV YA KUSOMA UMEME MIAKA MIWILI.
 
Mpaka sasa naona unabisha bisha tuu..
Nimeuliza advance una one ya ngapi..

Mbona mambo madogo haya au ndo nyie wa kuunga unga huko na vyeti vyenu vya ajabu...

Unajua kufunga submeter wewe?
Nikuulize vtu vichache kuhusu umeme utanijibu..?
Yaani kufunga submeter ndio unasema part ya CV🤣🤣🤣🤣?

Sikia,advance nimepita,ordinary level nimepita,vyuo nimepita,sio chuo elewa vyuo,nimefanya kazi na kampuni za kutengeneza vifaa ya umeme sio kufunga submeters tu.

Wewe si unajua kuhusu submeters mimi nimekaa kiwandani nafanya assembling ya hizo submeters na vifaa vingine vingi vya umeme.

Achana na maswali,njoo na IDs halisi,tuweke CV zetu hapa,si unataka CV tu.

Mtu una elimu ya VETA hapa kufunga submeters eti nae unasema najua.

Hivi serious umeuliza kuwa najua kufunga submeters?

Kweli wewe umesoma umeme miaka miwili aisee.
 
Mpaka sasa naona unabisha bisha tuu..
Nimeuliza advance una one ya ngapi..

Mbona mambo madogo haya au ndo nyie wa kuunga unga huko na vyeti vyenu vya ajabu...

Unajua kufunga submeter wewe?
Nikuulize vtu vichache kuhusu umeme utanijibu..?
Sitaki mengi,tuache IDs fake,tuweke CV zetu halisi na tuombe Mods watupe verification leoleo.

Tuweke mjadala kwa kutumia real IDs kama utasimama na mimi.
 
UMESEMA UNA 1 KALI YA PHYSICS FORM FOUR?,ELEZA HII IKOJE KWENYE MFUMO WA ELIMU TANZANIA.

CV YAKO HIYO YA KUSOMA UMEME MIAKA MIWILI?,HIYO NI CV AU TAKATAKA?,HILO NAE LA KUSEMA HADHARANI?

WEWE TUACHE IDs FAKE TUTOE UTAMBULISHO WETU HADHARANI LEO TUMALIZE HILI.

TUONE KAMA UNAWEZA KUBISHANA KWA CV YA KUSOMA UMEME MIAKA MIWILI.
Mkuu mpaka sasa ujasema umesoma advance au laaah..

Oky one kali ya phy namaanisha nilipata A sio form four mpaka advance...

Take this one ya physics...
Huo umeme unaosemea hapa nimecheza nao na mpaka sasa nipo nauchezea hapa sijui unanielewa mkuu sibahatishi mimi.

Huyu ni mimi my short cv hiyo sawa mkuu
Screenshot_2024-12-27-06-59-03-932_com.nvpowersolution.nvpower.jpg
 
Yaani kufunga submeter ndio unasema part ya CV🤣🤣🤣🤣?

Sikia,advance nimepita,ordinary level nimepita,vyuo nimepita,sio chuo elewa vyuo,nimefanya kazi na kampuni za kutengeneza vifaa ya umeme sio kufunga submeters tu.

Wewe si unajua kuhusu submeters mimi nimekaa kiwandani nafanya assembling ya hizo submeters na vifaa vingine vingi vya umeme.

Achana na maswali,njoo na IDs halisi,tuweke CV zetu hapa,si unataka CV tu.

Mtu una elimu ya VETA hapa kufunga submeters eti nae unasema najua.

Hivi serious umeuliza kuwa najua kufunga submeters?

Kweli wewe umesoma umeme miaka miwili aisee.
Nakuja pm mkuu
 
Mkuu mpaka sasa ujasema umesoma advance au laaah..

Oky one kali ya phy namaanisha nilipata A sio form four mpaka advance...

Take this one ya physics...
Huo umeme unaosemea hapa nimecheza nao na mpaka sasa nipo nauchezea hapa sijui unanielewa mkuu sibahatishi mimi.

Huyu ni mimi my short cv hiyo sawa mkuu View attachment 3185948
Sasa hii ni CV?
 
Mkuu naandaa cv hapa nataka nibishane na ww ili ujue unaebishana nae ni nani maana kuna mambo watu hamuamini mpaka mthibitishiwe
CV yenye 1 kali ya form four?
Hii ndio elimu yako?

Hii ndio tunabishana sio.

Kufunga submeters,installation ya submeters?

Watu tumesimamia projects hizo za design na sasa hivi tunafanyia maongezi ya AI wewe unasema kufunga🤔
 
Huna hoja ya kubishana na mimi..
Mi ni fundi mkuu nimesoma umeme miaka miwili...

Labda niulize chochote kuhusu umeme nikujibu..
Nimesoma umeme toka form 4 na nimetoka na 1 kali ya physics

Adv nimesoma PCM nimesoma umeme wa advance..
Sasa sijui unataka kunirekebisha nini hapo...
Unatanguliza neno unadhani.. mbele yangu..
Chuo umeendelea nao?
 
CV yenye 1 kali ya form four?
Hii ndio elimu yako?

Hii ndio tunabishana sio.

Kufunga submeters,installation ya submeters?

Watu tumesimamia projects hizo za design na sasa hivi tunafanyia maongezi ya AI wewe unasema kufunga🤔
Badae nipo hapa na uzi huu utakua ni kuchuana mimi na wewe tu...

Nataka nikufundishe kitu maana naona unaongelea issue za installation za submeter bila hata kujua who founder of NV power solution
 
Back
Top Bottom