Dhana ya kurushwa na umeme ukweli ni huu!

Dhana ya kurushwa na umeme ukweli ni huu!

Huna hoja ya kubishana na mimi..
Mi ni fundi mkuu nimesoma umeme miaka miwili...

Labda niulize chochote kuhusu umeme nikujibu..
Nimesoma umeme toka form 4 na nimetoka na 1 kali ya physics

Adv nimesoma PCM nimesoma umeme wa advance..
Sasa sijui unataka kunirekebisha nini hapo...
Unatanguliza neno unadhani.. mbele yangu..
Kumbe kuna one Kali ya physics na hamsemi
 
Wewe tulia sa tisa uwepo hapa
Ili nibishane na mtu anasema amesoma umeme miaka miwili?

Yaani umekiri mwenyewe kusoma umeme miaka miwili,na eti umeme ule wa kwenye physics ordinary level na advanced level ndio unasema una elimu kubwa ya masuala ya umeme!

Mara uniulize najua kufunga submeters,ni nini hicho nabishana nacho sasa!

Kazi njema.
 
Ushaanza jichanganya saa moja hii unasema saa 11..

Sasa kama mambo madogo haya ushaanza jikanyaga utaweza simama na mimi wewe
UNAONA AKILI ZAKO,KWENYE HOJA ZILIZOPITA NIMESHAONYESHA SIPO TANZANIA KWA TOFAUTI YA MASAA MAWILI,AU NAE UNABISHA TU HUKUONA?

ILE ONE KALI YA PHYSICS UMESHINDWA KUJUA HILI TU MAPEMA?
 
UNAONA AKILI ZAKO,KWENYE HOJA ZILIZOPITA NIMESHAONYESHA SIPO TANZANIA KWA TOFAUTI YA MASAA MAWILI,AU NAE UNABISHA TU HUKUONA?
Mkuu hakuna sehemu umesema hvo..
Ndio maana nasema wewe mpaka sasa kuna kitu unahofia sasa nasemaje saa tisa nipo hapa....
 
View attachment 3181222
Kurushwa na umeme ni dhana hakuna kitu kama hicho kisayansi ,ukweli ni huu hapa.

Kuna kauli umesha wahi zisikia,mtu akisema amerushwa na umeme si ndiyo..??

Mtu huyo anaweza shuhudia kabisa kuwa karushwa na umeme toka sebuleni hadi chumbani...

Basi ukweli ni huu,umeme haurushi mtu,ila umeme unaweza

1. Shika mtu na akashindwa kujitoa.

kama tu huo umeme utakua katika kiasi cha kupoozesha mfumo wake wa fahamu...mtu huyo hata jichomoa ataganda hapo hapo hadi maji yake mwilini yapungue ndo ataachiwa...

DHANA YA KURUSHWA NA UMEME.

2. Ukikuta umehisi umerushwa na umeme maana yake umeme uliingilia mifumo yako ya fahamu na ukashindwa kukushika(kukunasa,kulukausha maji),hali iliosababisha wewe kupata hitirafu ya fahamu,ya kumbukumbu ambapo ulihama mwenyewe eneo moja kwenda jingine bila kujitambua...

Fahamu kua mfumo wa fahamu wa binadamu huwasiliana kwa njia ya umeme..na ikitokea umeme wa ziada umeingia katika mwili hupelekea mfumo huo kuvurugika...

Pale binadamu anapogusa umeme bahati mbaya,ubongo wake husababisha awashe hisia za kujiokoa..

Kwakua kilichosababisha changamoto ni umeme husababisha taarifa mvurugano hupelekea mtu huyo kusahau nyakati flani ambazo alikua akijiokoa..

Hivyo kama ikitokea umegusa kifaa cha umeme sebuleni na baadae ghafla ukajikuta chumbani si kwamba umerushwa hadi huko...hapana

Ulikimbilia huko wewe mwenyewe kwa miguu yako...sema tukio lilitokea kwa haraka ukiwa katika hali ya kupoteza kumbukumbu...kutokana na mfumo wako wa fahamu kuingiliwa na umeme...

So pale kumbukumbu zitakapo kurejea utahisi umefika hapo kwa kurushwa...

Kuna mmoja alirushwa toka jikoni hadi kwa jirani....hahahah

USIKU MWEMA.

Transiator.
Umeme unaingilia mifumo ya umeme wa mwili,misuli, muscles, zina kuwa paralyzed , zinashindwa kupokea taarifa kutoka kwenye ubongo,kujinasua, kama vile ukikanyaga mwiba au moto, unavyonyanyua mguu haraka,ndivyo hivyo misuli inabidi ifanye kutoa mkono kwenye nyaya za umeme, lakini kwa vile, umeme wa mwili umeishaingiliwa, misuli inashindwa kufanya kazi, ni si kweli, umeme utakuachia, pale maji yameisha mwilini,
 
Umeme unaingilia mifumo ya umeme wa mwili,misuli, muscles, zina kuwa paralyzed , zinashindwa kupokea taarifa kutoka kwenye ubongo,kujinasua, kama vile ukikanyaga mwiba au moto, unavyonyanyua mguu haraka,ndivyo hivyo misuli inabidi ifanye kutoa mkono kwenye nyaya za umeme, lakini kwa vile, umeme wa mwili umeishaingiliwa, misuli inashindwa kufanya kazi, ni si kweli, umeme utakuachia, pale maji yameisha mwilini,
Yass kitaalamu tunaita reflex arc
 
Weee una one ya. Ngap advanced??
Umesoma physics..?
Yaani hii hoja dhaifu sana.

Uliza Einstein ana one ya ngapi ana alifanya nini kwenye sayansi!

Wewe kufunga submeters ndio umeona jambo la maana sana eeh?

Sikia,niko chimbo hizo submeters designs ni projects za watoto huku.

Wewe unajua kufunga na kutumia submeters wengine tunafanya assembling ya hizo submeters factories.
 
Hahaa nadhani inatakiwa iwe hivii.....Ndo maana unashauriwa uvae viatu vyenye soli pana wakati unahudumia vifaa vya umeme...

Kwenye matembezi hata peku tembea tu...hahahaha
Hayo matembezi yasiambatane naradi
 
Yaani hii hoja dhaifu sana.

Uliza Einstein ana one ya ngapi ana alifanya nini kwenye sayansi!

Wewe kufunga submeters ndio umeona jambo la maana sana eeh?

Sikia,niko chimbo hizo submeters designs ni projects za watoto huku.

Wewe unajua kufunga na kutumia submeters wengine tunafanya assembling ya hizo submeters factories.
Saa tisa nipo hapa
 
Nimesoma ndio... Phy in education
Damn man, hiyo ndio inakufanya ujue umeme?
Hauko deep man, watu wameenda EE engineering kutoka reputated university for 4 fuckin years asomea umeme
Ww unatishia phy in education? Get serious man
 
Saa tisa nipo hapa
Wewe elimu yako ina shida.
Watu unaoishi nao wanapata tabu sana.

Suala alilosema Transistor halikuhitaji kuuliza mtu ana one kali ya Physics,eti umesoma umeme miaka miwili,huo ni udhaifu mkubwa kiakili.

Mtu mwenye akili haitaji kuuthibitishia umma kuwa ana akili,ila hawa wajinga wasiojua mambo au wale waliokariri hutaka sana kuonekana wanajua.
 
Back
Top Bottom