Dhana ya kurushwa na umeme ukweli ni huu!

Dhana ya kurushwa na umeme ukweli ni huu!

Damn man, hiyo ndio inakufanya ujue umeme?
Hauko deep man, watu wameenda EE engineering kutoka reputated university for 4 fuckin years asomea umeme
Ww unatishia phy in education? Get serious man
Ujasema umesoma advance au laa nataka nikuulize kitu hapa sio unaznguka
 
Wewe elimu yako ina shida.
Watu unaoishi nao wanapata tabu sana.

Suala alilosema Transistor halikuhitaji kuuliza mtu ana one kali ya Physics,eti umesoma umeme miaka miwili,huo ni udhaifu mkubwa kiakili.

Mtu mwenye akili haitaji kuuthibitishia umma kuwa ana akili,ila hawa wajinga wasiojua mambo au wale waliokariri hutaka sana kuonekana wanajua.
Huna hoja ya kubishana na mimi..
 
Damn man, hiyo ndio inakufanya ujue umeme?
Hauko deep man, watu wameenda EE engineering kutoka reputated university for 4 fuckin years asomea umeme
Ww unatishia phy in education? Get serious man
Jamaa ni wale watu wa kuungaunga.

Physics in education.

Aje,aseme amesoma umeme chuo gani miaka miwili?

Je,hii ni cheti,diploma,degree,masters au elimu ipi?
 
Jamaa ni wale watu wa kuungaunga.

Physics in education.

Aje,aseme amesoma umeme chuo gani miaka miwili?

Je,hii ni cheti,diploma,degree,masters au elimu ipi?
Degree...
Nimesoma miaka minne kama general physics

Nikasoma electricity semester mbili za mwisho kama short course
 
WAPI?

CHUO GANI?

ACHA UPOTOSHAJI WEWE?

GENERAL PHYSICS NDIO NINI?

GENERAL PHYSICS INASOMWA CHUO GANI DODOMA KWA MIAKA MINNE?

HIVI MKUU UNAJUA UNAPOTOSHA SANA WATU.
Nimesoma physics in education...
General physics ni part ndogo sana katika kozi yangu na nimesoma sasa unataka kubishana na ndio au..

Nimesoma dodoma udom miaka minne na umeme nimesoma
 
Nimesoma physics in education...
General physics ni part ndogo sana katika kozi yangu na nimesoma sasa unataka kubishana na ndio au..

Nimesoma dodoma udom miaka minne na umeme nimesoma
KWAHIYO UMESOMA GENERAL PHYSICS UDOM SIO?

KWA MIAKA MINNE?

HIVI KWANINI UMEADHALILISHA UDOM KIASI HIKI?
 
Back
Top Bottom