The Spirit of Tanzania
JF-Expert Member
- Mar 7, 2020
- 1,045
- 1,868
Jamaa ameniudhi sana.Chatgpt sio reliable source of information. Ai huwa sometimes zinapita kitu kinaitwa AIhallucination ambacho kina create false or relation information but si correct
Nenda tovuti ya udom kajihakikishie , UROM hawana bachelor of education yenye miaka minne.
Na hii ni confirmed had kwneye mfumo wao wa application na matokeo
So hujawahi kusoma na hujui nini unaongelea
Una kichwa cha kuku.Mbona kila.kitu kipo hapo unataka kusema chat GP inaongopa au
Shame upon you all
Nimesoma miaka miinne pale naelewa naongea nini nimesema nilete na notice hapa au nilete namba za malecture walionifundisha pale .Chatgpt sio reliable source of information. Ai huwa sometimes zinapita kitu kinaitwa AIhallucination ambacho kina create false or relation information but si correct
Nenda tovuti ya udom kajihakikishie , UROM hawana bachelor of education yenye miaka minne.
Na hii ni confirmed had kwneye mfumo wao wa application na matokeo
So hujawahi kusoma na hujui nini unaongelea
Unajua katika static electricity hyo ee maana yake nini ?Huna lolote.
Mwalimu wa umeme hujui EE ni nini?
NITAJIE HAPA HAO LECTURERS WALIOKUFUNDISHA MIAKA MINNE?Nimesoma miaka miinne pale naelewa naongea nini nimesema nilete na notice hapa au nilete namba za malecture walionifundisha pale .
Why people mnakua wabishi na mnashadadia vtu ambavyo hamna elimu navyo
Huna hoja bado maana uwezi sema mi muongo wakat nimekupa mpaka source hapoJamaa ameniudhi sana.
Muongo muongo tu.
Hata hoja aliyokuwa anabisha hadi kufika hapa alikosea.
Huyu ni wale vihiyo.
Hapana uwezi niita mimi hivo..naona kabisa ushaiwshiwa hojaUna kichwa cha kuku.
Wewe ni mjinga sana.Unajua katika static electricity hyo ee maana yake nini ?
Wee unazani itakua sahihi kuweka majina ya malecture hapaNITAJIE HAPA HAO LECTURERS WALIOKUFUNDISHA MIAKA MINNE?
NA NI KOZI GANI HIYO MIAKA MINNE?
WEKA MAJINA YAO HAPA.
UMESOMA DEGREE GANI UDOMHuna hoja bado maana uwezi sema mi muongo wakat nimekupa mpaka source hapo
Saa tisa nipo hapa usikimbie tuu mkuu..Wewe ni mjinga sana.
Nasubiri CV yako tu.
Kwa hoja hizi,unapotea.
Kichwa cha kuku.
Kwani kuna shida gani?Wee unazani itakua sahihi kuweka majina ya malecture hapa
Shame upon you
Nimekupa screenshot pale vipi mbona bado unakataa mkuu..UMESOMA DEGREE GANI UDOM
HIYO PHYSICS IN EDUCATION HAIPO UDOM NA HAKUNA DEGREE YA UMEME UDOM.
WEWE LEO NAKULIPUA.Saa tisa nipo hapa usikimbie tuu mkuu..
Leo hii kuna heshima flani watu watakua nayo hapa jf ya kuchukulia watu poa
Hapana kuna wengine hazipo mkuuKwani kuna shida gani?
Mbona majina na CV zao ziko mtandaoni.
KICHWA CHA KUKU.Nimekupa screenshot pale vipi mbona bado unakataa mkuu..
Hizo taarfa za ww kuwa udom hakuna hyo degree umetolea wapi
Sasa mimi utanilipua vipi yaani hapo ni sawa na kuhakikishia wana jf kuwa huyu jamaa ni mtaalamu sawa fanya vyovyote ila jua kabisa bado huna hojaWEWE LEO NAKULIPUA.
NA MAJINA YAKO YOTE NINAYO.
NJOOO.
NAKUHAKIKISHIA UNAKWISHA.
Weka hao ambao zipo au idara wanayotoka na kufundisha hizo kozi.Hapana kuna wengine hazipo mkuu
LEO NI LEO.Sasa mimi utanilipua vipi yaani hapo ni sawa na kuhakikishia wana jf kuwa huyu jamaa ni mtaalamu sawa fanya vyovyote ila jua kabisa bado huna hoja
Kama wewe umetoa kwenye tovuti unazani hyo CHATGPT HYO TAARIFA IMEJITUNGIA AU...KICHWA CHA KUKU.
TAARIFA CHA CHATGPT NDIO NITUMIE WAKATI TOVUTI YA UDOM IPO,PROSPECTUS IPO NA KOZI UNAYOSEMA HAIPO PALE.
KICHWA CHA KUKU ACHA UJINGA.